johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,873
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA amesema yeye siyo maarufu kuliko Taasisi na kwamba wanategemeana
Taasisi ni Jukwaa linalokufanya uonekane hivyo huwezi kuwa maarufu kuliko kwa sababu mnategemeana, amesema
Hata Mzee Lowassa alipoyapoteza majukwaa ya CCM na CHADEMA ndio akapotea kabisa
Chanzo: Global tv
Taasisi ni Jukwaa linalokufanya uonekane hivyo huwezi kuwa maarufu kuliko kwa sababu mnategemeana, amesema
Hata Mzee Lowassa alipoyapoteza majukwaa ya CCM na CHADEMA ndio akapotea kabisa
Chanzo: Global tv