Tundu Lissu mahojiano yake na KTN kuwasema vibaya Jomo Kenyatta na Moi hakuwatendea haki Wakenya

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,909
51,904
Kwenye mahojiano jana na television ya Kenya ya KTN live akiwa Ubelgiji aliwaponda sana mzee Jomo Kenyatta na Daniel Arap Moi kuwa walikuwa madikteta akawapongeza wakenya kujitoa kwenye mikucha yao na kuwa vizuri sasa.

Hakuwatendea haki .Naomba wakenya wenyewe rejeeni hayo mahojiano ni ukosefu wa shukrani katibiwa kipindi cha serikali ya Mtoto wa Kenyatta ambaye ni Uhuru Kenyatta sikutarajia atoe matamko kama yale.
 
Nikadhani una ushahidi wa kupinga hiyo hoja kumbe hutaki ukweli kwa sababu mtoto wa Kenyatta ndio Rais kwa sasa, wakenya wenyewe ndio humshutumu Moi kuwa alikuwa dictator na ndio maana walianza kufikiria kuwa na katiba mpya ili kumbana raisi (mambo ya Moi) yasijirudie tena.

Ukiwaambia walikatae hilo dunia nzima itawaona wao ni vigeugeu na waongo kwani hizo ndio zilikuwa hoja zao za siku zote.
 
... ni ukosefu wa shukrani katibiwa kipindi cha serikali ya Mtoto wa Kenyatta ambaye i Uhuru Kenyatta sikutarajia atoe matamko kama yale
Angekaa kimya au kusifia kinafiki kwa kuwa ametibiwa enzi za mwana wa Jomo yaani Uhuru, sasa hiyo ndio ingekuwa rushwa
 
Nikadhani una ushahidi wa kupinga hiyo hoja kumbe hutaki ukweli kwa sababu mtoto wa Kenyatta ndio Rais kwa sasa, wakenya wenyewe ndio humshutumu Moi kuwa alikuwa dictator na ndio maana walianza kufikiria kuwa na katiba mpya ili kumbana raisi (mambo ya Moi) yasijirudie tena.
Ukiwaambia walikatae hilo dunia nzima itawaona wao ni vigeugeu na waongo kwani hizo ndio zilikuwa hoja zao za siku zote.
Sijakataa chochote lakini hayo ni mambo yao ya ndani nadhani wangeongea wenyewe sawa sio mtanzania.Ni kuingilia mambo ya ndani ya nchi.Alihojiwa kuhusu mambo ya Magufuli akasema ohh Maguguli hakuwa mzuri kwenye diplomacy sina shida ni.maoni yake lakini je kuingiñia mambo ya ndani ya Kenya yeye akiwa mwanasiasa wa Tanzania ni good diplomacy?

Diplomacy haiishii chama tawala tu inaenda hata oppossition .Lisu is not a presidential material wala good diplomat ni mropokaji asiyejua hata mipaka ya kuropoka mwisho wapi? Yeye ni.ñ mwanaharakati wa Tanzania sio kenya alichoongea ni kuharibu tu diplomstic relation kati ya wakenya na yeye na chama chake cha Chadema

Ieleweke kuwa Chadema walikuwa marafiki wa ODM ya Raila Odinga walipoona kuwa Raila wanamuunga mkono Magufuli Chadema wakahamia muungano wa Jubilee wa Kenyatta na Moi kupitia Rutto sasa Lisu jana Kalitibua kaamua kuwaponda watoto Kenyatta na Rutto wenye Jubilee kwa kuwaponda baba zao Jomo Kenyatta na Daniel Arap Moi wenye Jubilee.

Ina maana foreign relations ya Chadema na Kenya imeuawa rasmi kwa Lisu kuhitimisha kuiponda mbeleko iñiyombeba wakati akiumwa
 
Mimi Mkenya hapa na nakubaliana na yeye asilimia 100%

Huyo jamaa napenda sana ujasiri wake, huwa harembi na hata kuna siku nilimskia akimkosoa Nyerere ambaye Watanzania huwa hawataki asemwe, kwamba alikua kama mungu mtu na mtimilifu 100%

Kubali kuambiwa ukweli ili ikuweke huru, hao Kenyatta na Moi walifanya madudu sana na kama hatungepambana kutafuta ukombozi wa pili, nchi yetu ingeendelea kuwa maskini miaka yote chini ya chama dhalimu kama ilivyo Tanzania ya leo.

Mimi nilihusika kwenye mapambano ya miaka ya tisini mpaka tukafika hapa tulipo, nina makovu kama ishara ya uhusika wangu.

Leo tuna katiba nzuri, nchi yetu inapepea kiuchumi na kwenye kila taasisi na idara, ni dhahiri hatujafika lakini tunakwenda vizuri.
 
Mimi Mkenya hapa na nakubaliana na yeye asilimia 100%
Huyo jamaa napenda sana ujasiri wake, huwa harembi na hata kuna siku nilimskia akimkosoa Nyerere ambaye Watanzania huwa hawataki asemwe, kwamba alikua kama mungu mtu na mtimilifu 100%

Kubali kuambiwa ukweli ili ikuweke huru, hao Kenyatta na Moi walifanya madudu sana na kama hatungepambana kutafuta ukombozi wa pili, nchi yetu ingeendelea kuwa maskini miaka yote chini ya chama dhalimu kama ilivyo Tanzania ya leo.
Mimi nilihusika kwenye mapambano ya miaka ya tisini mpaka tukafika hapa tulipo, nina makovu kama ishara ya uhusika wangu.

Leo tuna katiba nzuri, nchi yetu inapepea kiuchumi na kwenye kila taasisi na idara, ni dhahiri hatujafika lakini tunakwenda vizuri.
Wewe utakuwa ODM Haina shida Shida yangu msimamo wa Chadema ulikuwa huo wako wa ODM na wakawa rafiki wa ODM wakahamia baadayeJubilee .Sasa Chadema wako na Jubleee kama Chama wakati Lisu kama makamu mwenyekiti wa Chadema taifa kabaki msimamo wa ODM !!!! What a paradox !! Anyway Chadema nao wanatakiwa kutoa tamko wanadimamia wapi kwenye foreign relations na Kenya ODM au Jubilee? Lisu anaonyesha ni single mover ha stand kwenye corporate devisions !! anabeka tu na kubwata anachokiamini yeye kama yeye na kusahau kuwa yeye ni high level political leader ambaye anatakiwa kuangalia misimamo ya chama chake.

Lisu kuna siku atawaporomoshea matusi ya nguoni wakenya sisi tunamjua huyo mtajijua
 
Mimi Mkenya hapa na nakubaliana na yeye asilimia 100%
Huyo jamaa napenda sana ujasiri wake, huwa harembi na hata kuna siku nilimskia akimkosoa Nyerere ambaye Watanzania huwa hawataki asemwe, kwamba alikua kama mungu mtu na mtimilifu 100%

Kubali kuambiwa ukweli ili ikuweke huru, hao Kenyatta na Moi walifanya madudu sana na kama hatungepambana kutafuta ukombozi wa pili, nchi yetu ingeendelea kuwa maskini miaka yote chini ya chama dhalimu kama ilivyo Tanzania ya leo.
Mimi nilihusika kwenye mapambano ya miaka ya tisini mpaka tukafika hapa tulipo, nina makovu kama ishara ya uhusika wangu.

Leo tuna katiba nzuri, nchi yetu inapepea kiuchumi na kwenye kila taasisi na idara, ni dhahiri hatujafika lakini tunakwenda vizuri.
Nchi yetu sio maskini mzee, na ccm sio kanu.
Najua umeona smooth transition ilivyotokea, something which can not happen in your tribalist country.
Kwa iyo chill, mambo ndio kwanza, yana anza
 
Mtoto wa Iddi amini sio sawa na baba yake nduli Iddi Amin Dada
Kwenye mahojiano jana na television ya Kenya ya KTN live akiwa Ubelgiji aliwaponda sana mzee Jomo Kenyatta na Daniel Arap Moi kuwa walikuwa madikteta akawapongeza wakenya kujitoa kwenye mikucha yao na kuwa vizuri sasa

Hakuwatendea haki .Naomba wakenya wenyewe rejeeni hayo mahojiano ni ukosefu wa shukrani katibiwa kipindi cha serikali ya Mtoto wa Kenyatta ambaye i Uhuru Kenyatta sikutarajia atoe matamko kama yale
 
Nchi yetu sio maskini mzee, na ccm sio kanu.
Najua umeona smooth transition ilivyotokea, something which can not happen in your tribalist country.
Kwa iyo chill, mambo ndio kwanza, yana anza
Wakenya Mungu apishe mbali angekuwa Uhuru Kenyatta kafariki wangechinjana kama kuku na umoja wa mataifa ungemtaka Kikwete na viongozi wa wastaafu wa kimataifa waende kuwasuluhisha kule kana ilivyotokea uchaguzi ule Kikwete na Akina Mbei nk walienda suluhisha .Huwa wanavizia visababu vidogo tu walianzishe
 
Lisu hujiona yeye ni mkenya!

Hata angepata urais angekuwa ana kesha ikulu ya nairobi
 
Wewe utakuwa ODM Haina shida Shida yangu msimamo wa Chadema ulikuwa huo wako wa ODM na wakawa rafiki wa ODM wakahamia baadayeJubilee .Sasa Chadema wako na Jubleee kama Chama wakati Lisu kama makamu mwenyekiti wa Chadema taifa kabaki msimamo wa ODM !!!! What a paradox !! Anyway Chadema nao wanatakiwa kutoa tamko wanadimamia wapi kwenye foreign relations na Kenya ODM au Jubilee? Lisu anaonyesha ni single mover ha stand kwenye corporate devisions !! anabeka tu na kubwata anachokiamini yeye kama yeye na kusahau kuwa yeye ni high level political leader ambaye anatakiwa kuangalia misimamo ya chama chake.

Lisu kuna siku atawaporomoshea matusi ya nguoni wakenya sisi tunamjua huyo mtajijua

Umeanguka mtihani kwenye hiyo sentensi ya kwanza, sio kila Mkenya ana milengo ya vyama, kunao baadhi yetu ambao ni wazalendo na huwa tunasifia mazuri na kuponda mabaya, kwa mfano rais Uhuru japo amejaribu sana kwenye baadhi ya vitu ila kunavyo huwa ananiboa kishenzi, hivyo ukiijadili nchi yako weka Uchadema na UCCM pembeni, itazame kama Mtanzania mzalendo anayeitakia mafanikio.
 
Nchi yetu sio maskini mzee, na ccm sio kanu.
Najua umeona smooth transition ilivyotokea, something which can not happen in your tribalist country.
Kwa iyo chill, mambo ndio kwanza, yana anza

Lini mumekua na transition, kile hutendeka kwenu ni hicho chama kina wazee fulani huchagua nani akiwakilishe na huwachinjia pale Dodoma. Kwanza mlikua mumeanza jitihada za kubadilisha eti Magu atawale milele, mna mfumo wa hovyoo sana na ndo maana mtazidi kuwa maskini miaka yote licha ya raslimali zote hizo.

Sisi kwetu hapa tumetawaliwa na vyama tofauti hatujaganda kama mazezeta kwenye chama kimoja.
 
Lini mumekua na transition, kile hutendeka kwenu ni hicho chama kina wazee fulani huchagua nani akiwakilishe na huwachinjia pale Dodoma. Kwanza mlikua mumeanza jitihada za kubadilisha eti Magu atawale milele, mna mfumo wa hovyoo sana na ndo maana mtazidi kuwa maskini miaka yote licha ya raslimali zote hizo.

Sisi kwetu hapa tumetawaliwa na vyama tofauti hatujaganda kama mazezeta kwenye chama kimoja.
Kenya kuna makabila 42 lini mtawapa uongozi wa juu wa serikali au bunge au mahakama watu wasio Jaluo au kikuyu au kalenjini?
 
Kenya kuna makabila 42 lini mtawapa uongozi wa juu wa serikali au bunge au mahakana watu wasio Jaluo au kikuyu au kalenjini?

Hehehe!! Unavyohamisha magoli, umekuja ukimponda Lissu, sasa umehamia kwenye makabila ya Wakenya, MATAGA bana.
Hivi CCM lini mtaachia nchi yenu iongozwe na wazalendo, muache hiyo desturi ya kuchinjia pale Dodoma. Kwa kweli mumekandamiza sana na huo upumbavu tulipambana na kuondokana nawo kabisa kwetu hapa.
 
Lini mumekua na transition, kile hutendeka kwenu ni hicho chama kina wazee fulani huchagua nani akiwakilishe na huwachinjia pale Dodoma. Kwanza mlikua mumeanza jitihada za kubadilisha eti Magu atawale milele, mna mfumo wa hovyoo sana na ndo maana mtazidi kuwa maskini miaka yote licha ya raslimali zote hizo.

Sisi kwetu hapa tumetawaliwa na vyama tofauti hatujaganda kama mazezeta kwenye chama kimoja.
Your transitions lazima watu zaidi ya 50 wafe, our transitions, few to umaskini una affect kwenu zaidi, tukienda kitakwimu.
 
Kwenye mahojiano jana na television ya Kenya ya KTN live akiwa Ubelgiji aliwaponda sana mzee Jomo Kenyatta na Daniel Arap Moi kuwa walikuwa madikteta akawapongeza wakenya kujitoa kwenye mikucha yao na kuwa vizuri sasa

Hakuwatendea haki .Naomba wakenya wenyewe rejeeni hayo mahojiano ni ukosefu wa shukrani katibiwa kipindi cha serikali ya Mtoto wa Kenyatta ambaye i Uhuru Kenyatta sikutarajia atoe matamko kama yale
nyie Mataga kwa akili hizi ndiyo mtu akikuharishia usoni unalamba uharo wake kwasababu muhusika aliwahi kukununulia kikombe cha alkasusu.
 
Hehehe!! Unavyohamisha magoli, umekuja ukimponda Lissu, sasa umehamia kwenye makabila ya Wakenya, MATAGA bana.
Hivi CCM lini mtaachia nchi yenu iongozwe na wazalendo, muache hiyo desturi ya kuchinjia pale Dodoma. Kwa kweli mumekandamiza sana na huo upumbavu tulipambana na kuondokana nawo kabisa kwetu hapa.
Ni depression plus anger.Mpa kipato is no more they have been rendered jobless now😂😂
 
Back
Top Bottom