mshale21
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 2,050
- 4,903
Mh. Tundu Lissu, baada ya kupewa taarifa juu ya ukandamizwaji wa haki za wasikilizaji na wafuatiliaji wa case ameandika;
"Nimetaarifiwa kwamba Polisi na/au Mahakama wanazuia watu kuingia na simu mahakamani ili kudhibiti utoaji wa taarifa za yanayoendelea kwenye kesi ya uongo dhidi ya Mwenyekiti Mbowe. Haki lazima ifanyike na ionekane imefanyika. Haki haiwezi kufanyika gizani na ikaonekana imefanyika"
"Mahakama lazima iruhusu watu kusikiliza kesi hii ya kihistoria bila vizingiti visivyo & msingi. Ni lazima watu waingie & simu ili kutuhabarisha juu ya kinachoendelea mahakamani. Ni haki yetu kujua. Mahakama ya gizani sio mahakama huru au ya haki. Tunataka mahakama huru & ya haki!"
Kwenye Mahakama za Kenya kesi kubwa zinaendeshwa hadharani & kuonyeshwa on 'Live TV.' Kwenye Mahakama za Tanzania ya Chifu Hangaya, wanataka kesi kubwa & ya kihistoria kama hii iendeshwe gizani & mafichoni. Haikubaliki! Mahakama ya gizani & mafichoni sio mahakama huru au ya haki!
"Nimetaarifiwa kwamba Polisi na/au Mahakama wanazuia watu kuingia na simu mahakamani ili kudhibiti utoaji wa taarifa za yanayoendelea kwenye kesi ya uongo dhidi ya Mwenyekiti Mbowe. Haki lazima ifanyike na ionekane imefanyika. Haki haiwezi kufanyika gizani na ikaonekana imefanyika"
"Mahakama lazima iruhusu watu kusikiliza kesi hii ya kihistoria bila vizingiti visivyo & msingi. Ni lazima watu waingie & simu ili kutuhabarisha juu ya kinachoendelea mahakamani. Ni haki yetu kujua. Mahakama ya gizani sio mahakama huru au ya haki. Tunataka mahakama huru & ya haki!"
Kwenye Mahakama za Kenya kesi kubwa zinaendeshwa hadharani & kuonyeshwa on 'Live TV.' Kwenye Mahakama za Tanzania ya Chifu Hangaya, wanataka kesi kubwa & ya kihistoria kama hii iendeshwe gizani & mafichoni. Haikubaliki! Mahakama ya gizani & mafichoni sio mahakama huru au ya haki!