Tundu Lissu: Mahafali ya CHASO mkoa wa Dodoma (akifafanua juu ya rasilimali za nchi)

king Davidson

JF-Expert Member
Feb 9, 2017
252
1,063



Tundu lissu UPDATES chaso mkoa wa dodoma

sitetei wazungu mie
hata leo nikiomba visa ya kwenda Canada siwezi kuruhusiwa kwasababu wazungu hawanipendi,,,, wakati napigania maswala ya sheria za mazingira...
This is rubish,,,




lissu: ili unishinde kisheria ni lazima ujipange...
lissu; mimi ni mjuaji kweli kweli na hakuna wa kunishinda mpaka ajipange kweli kweli,,,
lissu: nataka vijana wa CHASO muwe kama mimi
lissu: hakuna kitu kizuri kuwa kama mjuaji,,,, fikiria tu opposite ya ujuaji ni nini...
lissu: jifunzeni kila kitu,,, mimi nasoma kila kitu,,, mie sio geologist,, mimi ni mwanasheria ,, nilisoma geografia, historia na uchumi kidogo
lissu: naweza kuchambua kitu chochote kutokana na kusoma kwangu vitu vingi,,, nawahasa sana vijana

lissu: kuna mtu anaweza kuniita nina blah blah...

lissu: mimi ni mwanasiasa nisie na blah blah,,, nataka kujua kila kitu,,, nasoma muda wote,,, nikiwa safarin nisipokuwa na kitabu basi nakuwa na gazet,, kila wakati nasoma...

lissu: jifunzeni kupambana na pambaneni kujifunza ,,,,

lissu: mkijifunza ujuaji mtakuwa raia bora na wazalendo wa kweli,,, na tafsri yangu ya uzalendo sio ile la akina magufuli bali ni obedience to principles and not to the government or president.....

lissu,, uzalendo wangu ni utiifu kwa nchi na sio serikali,, nchi na serikali ni vitu viwili tofauti,,, natii nchi na sio serikali kwani serikali ni hizi,,, za akina mkapa, magufuli na kikwete,,,,

Lissu, sikuwa mtiifu kwa mkapa, sikuwa mtiifu kwa kikwete,, na sio mtiifu kwa magufuli bali ni mtiifu kwa nchi na principals,,,,

lissu: nitasema ukweli hata kama nikibaki peke yangu

Lissu: Asanteni kwa kunisikiliza,,,,
 
Nasikia Chadema wanataka makontena yachunguzwe upya na wao wawepo kushuhudia..
Tundu anasemaje?
 
lissu: mkijifunza ujuaji mtakuwa raia bora na wazalendo wa kweli,,, na tafsri yangu ya uzalendo sio ile la akina magufuli bali ni obedience to principles and not to the government or president.....
====
Huu ni uhaini...unafundishaje vijana kuwa wakorofi kwa serikali?
 
Back
Top Bottom