mangikule
JF-Expert Member
- Jun 11, 2012
- 6,052
- 5,423
Ni hatari sana kuwa na Rais mwizi halafu mkali. Ukimsema anakuua, anakuteka, anakutesa! Jk ndiyo kulikuwepo na madudu lakini alikuwa mstaarabu sana na aliyafanyia kazi. Mkapa hivyo hivyo lakini huyu marehemu dah! alibagua majizi ya kushughulikia! na aliua wanaomsema!Lissu anadhani Magufuli alikuwa malaika? hebu atuambie ni Rais yupi ambaye wakati wake akiongoza hapakuwa na kasoro kwenye utendaji wake.
Naona ameshasahau Katiba Mpya, wenzie wamkumbushe, Magufuli is no more.
Madudu yalikuwepo toka enzi za Mkapa, akaja Kikwete, na Magufuli akafanya kwa kiasi chake mpaka pale alipoishia, vyema atafute ajenda nyingine kabla 2025 haijakaribia.
Siyo vyema kumsema marehemu lakini nashindwa kujizuia kusema "Rot in Hell" Magufuli