Tundu Lissu: Legacy ya hayati Magufuli imeanza kusambaratika,uchunguzi usiishie TPA na ATCL

Pitia post yangu uliyoniquote kama nimemtaja Lisu popote, ni aidha umepanick au unajishuku. Kuhusu Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti zaidi ya miaka 15, suala sio kuwa matured maana alikuwa hagombei na Lisu.

Hilo la kwamba Lisu ni mwanaharakati ni tafsiri ya huko ccm, na hii tulilisikia hata Slaa alipokuwa mwiba kwa ccm kuwa ni mwanaharakati. Alipotoka cdm akawa anamwagiwa sifa kuwa alikuwa mpinzani wa kweli! Linapokuja suala la busara sioni kama ni tatizo, maana kama Magufuli alikuwa hana busara na Kawa rais, sijui utaniambia nini. Hakuna anayemfikia Mbowe? Au ni kwakuwa huwa anawakubalia ccm porojo zao kirahisi? Nasema hivi, unafiki huwa una mwisho wake. Ww tapika propaganda zako mfu za ccm lakini nimekufahamu vizuri, hutaki kunywa sumu ufe fullstop.
Calm down tindo, kijana hajielewi.
 
Lakini hajasema kwamba hiyo ndiyo ajenda.

Haya kayaongelea sasa, kwa sababu ndiyo yaliyopo sasa.

Inakuwaje wewe uone kuwa ndiyo ajenda pekee?

Kwa hiyo kwa vile madudu yalikuwepo hata kwenye awamu nyingine, hiyo ndiyo iwe sababu ya kutoibua madudu yaliyofanyika chini ya Magufuli?

Mbona 'reasoning' ya ajabu hii!

Amepanick huyo, alikuwa siku zote anajifanya ni mwanacdm, kumbe alikuwa mwanaccm aliyejificha kwenye sura ya cdm ili kubeba ajenda zao. Naona msiba umetokea ghafla akishindwa kuficha uhusika kwake, sasa hivi anatapika propaganda za ccm mpaka anachekesha.
 
Amepanick huyo, alikuwa siku zote anajifanya ni mwanacdm, kumbe alikuwa mwanaccm aliyejificha kwenye sura ya cdm ili kubeba ajenda zao. Naona msiba umetokea ghafla akishindwa kuficha uhusika kwake, sasa hivi anatapika propaganda za ccm mpaka anachekesha.
Mimi nafikiri Lissu ameongea jambo la msingi. Ile dhana kuwa Atcl itafufuliwa na kuleta faida haipo tena maana ni hasara. Kwa hiyo tulichodhania kuwa tunapata urithi wa JPM kufufua ATCL tusahau. Hii hoja ya Lissu haipo kichama zaidi.
 
That’s why he will never ever be president.

Too infantile.

Nchi hii kwa sasa ina watu 60m, katika hao ni watu 6 tu wamefanikiwa kuwa marais, hivyo hata yeye asipokuwa rais, hilo sio tatizo kwani ni suala la Bahati zaidi kuliko uwezo. Una jingine tukusaidie?
 
Amepanick huyo, alikuwa siku zote anajifanya ni mwanacdm, kumbe alikuwa mwanaccm aliyejificha kwenye sura ya cdm ili kubeba ajenda zao. Naona msiba umetokea ghafla akishindwa kuficha uhusika kwake, sasa hivi anatapika propaganda za ccm mpaka anachekesha.
Hata mimi imenishangaza sana alivyogeuka!
 
Mimi nafikiri Lissu ameongea jambo la msingi. Ile dhana kuwa Atcl itafufuliwa na kuleta faida haipo tena maana ni hasara. Kwa hiyo tulichodhania kuwa tunapata urithi wa JPM kufufua ATCL tusahau. Hii hoja ya Lissu haipo kichama zaidi.

Hili la kwamba ATCL ilikuwa haipati faida tulilisema toka mwanzo kabisa, kutokana na mwenendo wa uendeshaji wa hilo shirika. Lakini uendeshaji wake, na utetezi wake ulikuwa kichama na kisiasa zaidi.
 
Hili la kwamba ATCL ilikuwa haipati faida tulilisema toka mwanzo kabisa, kutokana na mwenendo wa uendeshaji wa hilo shirika. Lakini uendeshaji wake, na utetezi wake ulikuwa kichama na kisiasa zaidi.
Kwa hiyo? Leo mnajibu mapigo kichama?
 
Hata mimi imenishangaza sana alivyogeuka!
Huyo nilimstukia muda tu, but he was smart enough, finaly shaka yangu kwake imedhibitika baada ya msiba huu. Wala nisikufiche, hata cdm kuna baadhi yetu tunaikubali, lakini nina mashaka sana na Mbowe, na huyu alikuwa mtetezi wake kuhakikisha Mbowe anaendelea kuwa mwenyekiti wa cdm. Tunza hii post yangu kwa ajili ya uchakataji huko mbeleni, na ni nani alipeleka wanawake wa covid19 huko bungeni kinyemela.
 
Huyo nilimstukia muda tu, but he was smart enough, finaly shaka yangu kwake imedhibitika baada ya msiba huu. Wala nisikufiche, hata cdm kuna baadhi yetu tunaikubali, lakini nina mashaka sana na Mbowe, na huyu alikuwa mtetezi wake kuhakikisha Mbowe anaendelea kuwa mwenyekiti wa cdm. Tunza hii post yangu kwa ajili ya uchakataji huko mbeleni, na ni nani alipeleka wanawake wa covid19 huko bungeni kinyemela.
Mnaanza kuvuana suruali sasa.
 
Fools
Kwanza sina imani na report ya CAG! Naye achinguzwr! Pili huyo tundu hatapata anachotamani kuchafuliwa ,legacy' ya Magu! Hiyo report ingemfikia Magu akiwa hai wengi wangetumbuliwa on the spot! Hivyo mtubakivuruga Magu hakuwa na ajizi!
Mama SSH naamini ataendelea kutumbu hao wote wasioenda na kasi ya hapa kazi tu! Magu alifanya kwa kiasi chake ila baadhi ya wateule hawakutaka kubadirika ndio maana hata yy Magu alisema hao wezi na wala rushwa bado wapo na kazi ya utumbuaji ni endelevu!
Sasa mapoyoyo kama tundu wanatafuta chochote watakachoshika ili wamchafue asiyechafuliwa🤣😂🤣!
Tupo na Magufuli wetu no matter what, he'll always be our hero! Rest peaceful eterally our genuine hero Magufuli!
Fools. Eti angekuwa Magu angewatumbua on spot! Sema, hii ripoti isingesomwa kali ilivyosomwa leo. Asingependa watu tujue kuwa ATCL inaendeshwa kwa hasara.

Wakati mwingine watu wa aina yako huwa siwaelewi.
 
Lissu anadhani Magufuli alikuwa malaika? hebu atuambie ni Rais yupi ambaye wakati wake akiongoza hapakuwa na kasoro kwenye utendaji wake.

Naona ameshasahau Katiba Mpya, wenzie wamkumbushe, Magufuli is no more.

Madudu yalikuwepo toka enzi za Mkapa, akaja Kikwete, na Magufuli akafanya kwa kiasi chake mpaka pale alipoishia, vyema atafute ajenda nyingine kabla 2025 haijakaribia.
Nenda kaburini ukalale na marehemu aendelee kuwa bwana ako
 
Kwa hiyo? Leo mnajibu mapigo kichama?
Mimi nilisimamia ukweli bila kupotezwa na propaganda mfu za awamu ya Magu. Na kama huyu mama ataamua kweli kusimamia ukweli bila kuchengesha, utajua misimamo yetu dhabiti dhidi ya utawala katili uliopita, tulikuwa sahihi kwenye mambo mengi. Tunaposema Mungu ameamua kufanya mabadiliko ya kweli bila kumwaga damu hatukosei.
 
Mkuu lakini kipindi chake mlisema amemaliza ufisadi na shirika linaingiza faida
Lissu anadhani Magufuli alikuwa malaika? hebu atuambie ni Rais yupi ambaye wakati wake akiongoza hapakuwa na kasoro kwenye utendaji wake.

Naona ameshasahau Katiba Mpya, wenzie wamkumbushe, Magufuli is no more.

Madudu yalikuwepo toka enzi za Mkapa, akaja Kikwete, na Magufuli akafanya kwa kiasi chake mpaka pale alipoishia, vyema atafute ajenda nyingine kabla 2025 haijakaribia.
 
Mimi nilisimamia ukweli bila kupotezwa na propaganda mfu za awamu ya Magu. Na kama huyu mama ataamua kweli kusimamia ukweli bila kuchengesha, utajua misimamo yetu dhabiti dhidi ya utawala katili uliopita, tulikuwa sahihi kwenye mambo mengi. Tunaposema Mungu ameamua kufanya mabadiliko ya kweli bila kumwaga damu hatukosei.
Mh..!
 
Back
Top Bottom