Kanzastone
JF-Expert Member
- Jan 14, 2021
- 244
- 355
Tena kwa kutumia vyombo vya habari hasa magazeti, kwasababu magazeti kipindi kile yalikuwa huru na hivyo kuwawezesha kufanya utafiti wa hali ya juu bila hata restrictions zozote zile.
Nakumbuka magazeti kama, Mwanahalisi, Mawio, Mseto, Freemedia n.k
Nakumbuka magazeti kama, Mwanahalisi, Mawio, Mseto, Freemedia n.k
Madudu ya akina Mkapa yalikuwa yanawekwa wazi, tofauti na tulivyoamishwana miaka hii mitano.