britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Katika kuyajibu maswali aliyoulizwa kuna sehem kaulizwa uhusiano wake na Magufuli nje ya siasa akasema haya
swali lililotangulia kwamba je ni kweli ana mpango wa kwenda ICC amejibu hapana na akasema si kwamba amesahau kwamba mahakama ya ICC haishughulikii kesi, bali kesi za aina hii haziendi huko hivo hana mpango wa kwenda huko,
Pili kwa wasiojua Magufuli nimesoma naye akiwa anasoma UDSM mi nikisoma Masters., amezoea kuniita mdogo wangu na mi namuita ni kaka yangu hivo ni kaka yangu,
Pia kipindi nimepata msiba wa mdogo wangu rais Magufuli alikuja baada ya kunipigia simu na kunipa mchango sitasema ni kiasi gani lakini ni heshima,
nilitumia robo saa nzima kuusema wema wake bungeni wakati wa hotuba yangu, lakin baada ya kuusema wema nikaanza kumshughulikia kama kazi yangu inavyopaswa,
Hivo sijawahi kuwa na shida na Magufuli kama Magufuli, ila Magufuli Rais ndo Tatizo
swali lililotangulia kwamba je ni kweli ana mpango wa kwenda ICC amejibu hapana na akasema si kwamba amesahau kwamba mahakama ya ICC haishughulikii kesi, bali kesi za aina hii haziendi huko hivo hana mpango wa kwenda huko,
Pili kwa wasiojua Magufuli nimesoma naye akiwa anasoma UDSM mi nikisoma Masters., amezoea kuniita mdogo wangu na mi namuita ni kaka yangu hivo ni kaka yangu,
Pia kipindi nimepata msiba wa mdogo wangu rais Magufuli alikuja baada ya kunipigia simu na kunipa mchango sitasema ni kiasi gani lakini ni heshima,
nilitumia robo saa nzima kuusema wema wake bungeni wakati wa hotuba yangu, lakin baada ya kuusema wema nikaanza kumshughulikia kama kazi yangu inavyopaswa,
Hivo sijawahi kuwa na shida na Magufuli kama Magufuli, ila Magufuli Rais ndo Tatizo