Jana nilisema hawa jamaa wanakata tawi walilolikalia.
Tundu Lissu kuwaponza Lowassa na Sumaye kwenye sakata la madini
Tundu Lissu kuwaponza Lowassa na Sumaye kwenye sakata la madini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unazipiga=anazipigaKivipi mkuu?...wale kwa sasa ni kitu kimoja...hizo bla bla unazipiga huku kwa magu tu, lowassa alishakuwa msafi kwa Lissu siku nyingii.!
Awe msafi kwa Lissu au vinginevyo, kama wanahusika sheria ifuate mkondo wake. Nina amini wana uwezo wa kujitetea. Jukumu liko kwa serikali kuchukua hatua stahiki. Na wao watasema yale wanayo yajua.Kivipi mkuu?...wale kwa sasa ni kitu kimoja...hizo bla bla unazipiga huku kwa magu tu, lowassa alishakuwa msafi kwa Lissu siku nyingii.!
eti ccm wanaionea huruma chademaHuko ni kuwa na mawazo ya kiccm kwamba kwa vile hawa ni wanachama wa "chama chetu" basi wasistakiwe.
Ujinga huo haupo, kwa Chadema. Hata mwenyekiti mwenyewe kama anahusika sietututaka apelekwe mahakamani ili sheria ichukue mkondo wake.
Mbona tunapiga kelele hapa kila siku kuwa Lowassa kama upo ushahidi kuwa amekwiba apelekwe mahakamani lakini ni serikali hiyo hiyo inajificha uvunguni na kukaa kimya. Msilinganishe kabisa tabia za ccm na Chadema, ccm kuna laana!
juzi wamevunja bilcanas na kuharibu shaba LA mbowe lakini kuwachukulia hatua wastaafu wanawagwayaeti ccm wanaionea huruma chadema