Tetesi: Tundu Lissu kutua nchini Dec 9, 2019

Status
Not open for further replies.
Tundu lissu ni shujaa kwa jambo gani. Kujeruhiwa kwa risasi haukumpa ushujaa wala sifa za kuwa Rais. Tanzania isifanywe nchi ya majaribio.
 
Huyu akirudi hapa NCHINI atatangaza kugombea URAIS na hii ni baada ya kuwa tayari AMEISHA FANYA MAZUNGUMZO NA WATU/MATAIFA BAADHI YENYE MASLAHI NA NCHI YETU....hivyo huyu jamaa anakuja KUWA MPIGANIA MASLAHI YA MATAIFA YA NJE NA SI YA WATANZANIA.....na mkubali mkatae LISSU ni chambo kwa ajili MABEBERU....
Hii ndiyo maana halisi ya KUROPOKA, yaani kupayuka bila kufikiri.
 
Huyu akirudi hapa NCHINI atatangaza kugombea URAIS na hii ni baada ya kuwa tayari AMEISHA FANYA MAZUNGUMZO NA WATU/MATAIFA BAADHI YENYE MASLAHI NA NCHI YETU....hivyo huyu jamaa anakuja KUWA MPIGANIA MASLAHI YA MATAIFA YA NJE NA SI YA WATANZANIA.....na mkubali mkatae LISSU ni chambo kwa ajili MABEBERU....
Huo ni uzwazwa, tupo tuliochoshwa na usanii wa awamu ya 5,tupo na Lissu na hatuna shaka na uzalendo wake
 
Acha ujinga wewe, kadanganye Lumumba sio humu kwa ma GT
nyie akili yenu bado inahamu ya kutawaliwa yaani kila kitu watu wa nje huyo lisssu wanamtega tu usifikiri wanampenda wakija hao tayari tunaanza kuwa watumwa tena
 
Eti nini?!.. usalama utaangaliwa na vyombo vya kimataifa, serously? Ila haka kajamaa mnakakuza mno. Tena bila sababu ya msingi.
 
Aisee mazwazwa wa Lumumba mnaboa
Tatizo la mtu huyu ni kuamini kwamba ana ubora wa juu zaidi yetu. Anaamini tunamsubili sana arudi. Ukiona mtu anaeleza ujio wake kwa miezi hiyo, anaamini ujio huo ni muhimu sana. Yeye atueleze juu ya afya yake. Kama imeimalika, basi arudi awasaidie wana Ikungi badala ya kuwakoga kwa mambo ya uhuru sijii wa kitu gani. Hakuchaguliwa kuwafundisha watu mambo ya uhuru wa Tanganyika.
 
Huyu akirudi hapa NCHINI atatangaza kugombea URAIS na hii ni baada ya kuwa tayari AMEISHA FANYA MAZUNGUMZO NA WATU/MATAIFA BAADHI YENYE MASLAHI NA NCHI YETU....hivyo huyu jamaa anakuja KUWA MPIGANIA MASLAHI YA MATAIFA YA NJE NA SI YA WATANZANIA.....na mkubali mkatae LISSU ni chambo kwa ajili MABEBERU....
haya ccm si chambo cha mabeberu wamefanya nini zaidi ya miaka 55 wametawala na nchi imesheheni utajiri hatuoni lolote la maana zaidi ya njaa
 
Tatizo la mtu huyu ni kuamini kwamba ana ubora wa juu zaidi yetu. Anaamini tunamsubili sana arudi. Ukiona mtu anaeleza ujio wake kwa miezi hiyo, anaamini ujio huo ni muhimu sana. Yeye atueleze juu ya afya yake. Kama imeimalika, basi arudi awasaidie wana Ikungi badala ya kuwakoga kwa mambo ya uhuru sijii wa kitu gani. Hakuchaguliwa kuwafundisha watu mambo ya uhuru wa Tanganyika.
Kama hutaki kumsikia tundu lissu ziba masikio mkuu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom