Now Confimed: Tundu Lissu kuwasili nchini tarehe 07.09.2019 baada ya mabadiliko ya ratiba.
------
Shujaa Mhe. Tundu Lissu anatarajiwa kutua nchini siku ya kumbukumbu ya uhuru wa Tanganyika tarehe 09.12 na kupokelewa na viongozi, wanachama na wafuasi wa vyama 9 vya upinzani ambavyo vimedhibitisha kushiriki kwenye mapokezi hayo. Baada ya kupokewa Mhe. Tundu Lissu anafikia kwenye moja ya hoteli mashuhuri jijini Dar-es-salaam na kuzungumza na Watanzania.
Moja ya ajenda kuu ni mweleko wa Tanzania kisiasa, kiuchumi na kijamii lakini vilevile atajikita katika mwelekeo ya nchi kwenye diplomasia ya kimataifa. Baada ya tarehe 09.12.2019 kunatarajiwa na kuwa na misa ya shukrani ambayo inatarajiwa kufanyika jijini Dar-es-salaam ikiongozwa na viongozi wa dini kutoka madhehebu mbalimbali. Katika hatua za sasa maandalizi yanaendelea kuhakikisha kunakuwepo na usalama wa kutosha nchini kwa uangalizi wa vyombo vya kimataifa.
------
Shujaa Mhe. Tundu Lissu anatarajiwa kutua nchini siku ya kumbukumbu ya uhuru wa Tanganyika tarehe 09.12 na kupokelewa na viongozi, wanachama na wafuasi wa vyama 9 vya upinzani ambavyo vimedhibitisha kushiriki kwenye mapokezi hayo. Baada ya kupokewa Mhe. Tundu Lissu anafikia kwenye moja ya hoteli mashuhuri jijini Dar-es-salaam na kuzungumza na Watanzania.
Moja ya ajenda kuu ni mweleko wa Tanzania kisiasa, kiuchumi na kijamii lakini vilevile atajikita katika mwelekeo ya nchi kwenye diplomasia ya kimataifa. Baada ya tarehe 09.12.2019 kunatarajiwa na kuwa na misa ya shukrani ambayo inatarajiwa kufanyika jijini Dar-es-salaam ikiongozwa na viongozi wa dini kutoka madhehebu mbalimbali. Katika hatua za sasa maandalizi yanaendelea kuhakikisha kunakuwepo na usalama wa kutosha nchini kwa uangalizi wa vyombo vya kimataifa.