Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,204
- 42,064
Wasalaam wana jamvi!
Wakati wengine wakifurahia kupata ubunge kwa upande wa Mh Tundu Lissu imekuwa ni matatizo makubwa kwani ubunge umemsababishia umasikini kabisa!
Wana jamvi waswahili wanasema ukiona mtu mzima ana lia hadharani ujue kuna jambo.....Mh Tundu Lissu alikaririwa akisema ubunge umemsababishia umasikini na hivyo ana hitaji zile pesa 230+ walizo kuwa wametengewa!
Kwakweli mimi nilisikitishwa sana na kukuguswa sana na kilio chake na niliamini kabisa Lissu ni mtu makini sana anaposema ubunge umemsababishia umaskini ana maanisha kabisa na pengine tusije tukashangazwa kama hatogombea tena maana mtu makini kama Mh Tundu Lissu awezi kuendelea na kitu kinacho mtia umasikini!
Hivyo ndio maana nimepata wasi wasi kama kweli Lissu atagombea ubunge tena lasivyo ni vyema Chadema wakamfikiria zaidi Mh Lissu kwa kumpa hata mshahara wa ziada ili kumuondoa kwenye umasikini alio upata baada ya kuwa mbunge!
Kama kweli Dr.W.Slaa aliweza kusikilizwa na kuwa ana lipwa kama mbunge kutokana na umuhimu wake ni vyema na Mh Lissu akapewa mshahara wa ziada kutoka kwenye chama kutokana na kazi anayo ifanya!
Bado najiuliza kweli Mh Lissu atagombea ubunge tena ikiwa huu ubunge umemletea umasikini hadi ana tangaza hadharani?
Ni vyema ili jambo likatazamwa vyema ili Mh Lissu asije akagomea kugombea ubunge kutokana na umasikini!
Karibuni wana jamvi!
Wakati wengine wakifurahia kupata ubunge kwa upande wa Mh Tundu Lissu imekuwa ni matatizo makubwa kwani ubunge umemsababishia umasikini kabisa!
Wana jamvi waswahili wanasema ukiona mtu mzima ana lia hadharani ujue kuna jambo.....Mh Tundu Lissu alikaririwa akisema ubunge umemsababishia umasikini na hivyo ana hitaji zile pesa 230+ walizo kuwa wametengewa!
Kwakweli mimi nilisikitishwa sana na kukuguswa sana na kilio chake na niliamini kabisa Lissu ni mtu makini sana anaposema ubunge umemsababishia umaskini ana maanisha kabisa na pengine tusije tukashangazwa kama hatogombea tena maana mtu makini kama Mh Tundu Lissu awezi kuendelea na kitu kinacho mtia umasikini!
Hivyo ndio maana nimepata wasi wasi kama kweli Lissu atagombea ubunge tena lasivyo ni vyema Chadema wakamfikiria zaidi Mh Lissu kwa kumpa hata mshahara wa ziada ili kumuondoa kwenye umasikini alio upata baada ya kuwa mbunge!
Kama kweli Dr.W.Slaa aliweza kusikilizwa na kuwa ana lipwa kama mbunge kutokana na umuhimu wake ni vyema na Mh Lissu akapewa mshahara wa ziada kutoka kwenye chama kutokana na kazi anayo ifanya!
Bado najiuliza kweli Mh Lissu atagombea ubunge tena ikiwa huu ubunge umemletea umasikini hadi ana tangaza hadharani?
Ni vyema ili jambo likatazamwa vyema ili Mh Lissu asije akagomea kugombea ubunge kutokana na umasikini!
Karibuni wana jamvi!