Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,638
- 218,073
Mikutano mikubwa ya kampeni ya Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ), ambaye magwiji wa siasa nchini Tanzania wanamkadiria kushinda kiti hicho kwa zaidi 70% inaendelea tena , na leo ikiwa ni zamu ya Jimbo la Tabata Segerea.
UPDATES
Tabata Liwiti - Segerea
UPDATES
Tabata Liwiti - Segerea