kantasundwa
JF-Expert Member
- May 25, 2020
- 1,550
- 2,381
Ujue ccm makando kando yao yamekuwa yakibadilika sio ndo yale yale...usilaumu tuToka 2005 nilipoanza kufuatilia siasa tena nikiwa chadema damu.
Mpaka leo hii ni miaka 20 imepita. Yale waliokua wakilalamikia mwaka ule wa 2005 ndio yaleyale wanayolalamikia 2020.
Hata mtoto mdogo hua anajifunza vitu vilivyowahi kumuumiza huwa na tahadhari navyo.
Sidhani kama walikua hawajui kutakuwepo na rafu kwenye uchaguzi huu, na tahadhari gani wameweza kuchukua zaidi ya kulalamika!
Nawapa pole maana kila uchaguzi wanasema watashinda lakini huu kidogo pole yao. Bado niko na kumbukumbu ya mwaka ule wa 2015.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app