Mimi raia wa kawaida sawa na wengine tu.Naona Lisu anawapa kibarua kizito sana Hahahahahah. Kwa akili ya kawaida tu ulitegemea Lisu arudi?Kwa akili ya kawaida tu Lisu bado anaumwa?Hao madaktari wanampa ruhusa ya kuzurula Ulaya na sio kurudi nyumbani, then bavicha mnashangilia tu Hahahahahah. Mungu awasaidie sana.Niambie Tiss wa jf.
Huwa najiuliza Mbowe aliwatoa misukule au nini maana wanachama hawa ni vichwa panzi balaa.Hakuna watu vichwa maji kama chadema
Ni wepesi kudanganyika na kuhadaika
Mbowe kila anapitaka kuwasahaulisha uchaguzi wa mwenyekiti lazima atatoa santuri ya kuwahamisha Tanapa
Mpaka muda huu wapi kinyaa kama sio wao
Mkuu upande uliopo unakibarua kizito sana na lazima mda mwingi uishi kwa kujitoa ufaham. Yaani mnaburuzwa buruzwa sana.
HahahahahahMakamanda leo watakuwpo terminal 3.....
Vipi utakuwepo airport kumpokea Mh Lisu?Ungejua upande niliopo nilivyo na raha wala usingejisumbua. Nina zaidi ya miaka 10 upande huu, na huo upande ulioko sijawahi hata kuutamani wala kuuonea wivu kwa lolote. Sina yoyote anayeniburuza na haitakaa itokee.
Mimi raia wa kawaida sawa na wengine tu.Naona Lisu anawapa kibarua kizito sana Hahahahahah. Kwa akili ya kawaida tu ulitegemea Lisu arudi?Kwa akili ya kawaida tu Lisu bado anaumwa?Hao madaktari wanampa ruhusa ya kuzurula Ulaya na sio kurudi nyumbani, then bavicha mnashangilia tu Hahahahahah. Mungu awasaidie sana.
Vipi utakuwepo airport kumpokea Mh Lisu?