Tundu Lissu kurudi bila dereva wake, maisha yake yako shakani

Hapo hakuna maswali bali ni uvumi ambao tukiambiwa kuwa tunaishi in a shithole country tunalalamika,dereva huyu anajificha kwa nani?kwani dereva ndio missing part ili kukamilisha uchunguzi wao?je polisi walishatueleza kuwa wamefikia uchunguzi hapa na ukamilikaji wake ni lazima dereva apatikane?polisi wameshindwa hata kutambua silaha zilizotumika kwenye crime scene ile!,kupona au kutopona kwa dereva ni mambo yake na doctor wake,dont put your noise usipotakiwa.

Kwa hiyo unataka wakutangazie?
Kama anasubiliwa yeye ili wa prove uchunguzi waliofanya je?
Katika hali ya kawaida hiyo deleva anogopa nini kurudi,
Kwa nini asije ahojiwe kisha arudi huko ubelgiji kama amepapenda ?
 
*TUNDU LISSU KURUDI BILA DEREVA WAKE*

- *Ni yule aliyekuwa naye wakati anashambuliwa Dodoma*

- *Chadema walimtorosha akiwa Dar baada ya kuhitajika na Afande Mroto kwa mahojiano*

- *Chadema walimtorosha kwa gari yao walioifunga bendera ya CCM hadi mpakani Namanga*

- *Haijulikani ni kwa nini Chadema wana hofu kubwa huyo dereva kutoa maelezo juu ya tukio lile*

- *Maisha yake yako shakani, anahitaji msaada*

Taarifa isiyo na shaka niliyoipokea toka makao makuu ya Chadema inaeleza mvutano uliopo kati ya Tundu Lissu na Freeman Mbowe juu ya lini Lissu anarudi na zaidi juu ya yeye kurejea nchini akiwa na dereva wake.

Chadema wamekuwa na wasiwasi mwingi juu ya dereva huyo kuhojiwa na Polisi kuhusu tukio la kikatili la kushambuliwa kwa Tundu Lissu.

Dereva huyo alitoroshwa kwenda Kenya akitokea Dar es Salaam siku ambayo RPC wa Dodoma alipotangaza kumtaka dereva huyo afike kituo cha Polisi Dodoma kwa mahojiano akiwa kama shahidi wa kwanza aliyekuwepo eneo la tukio.

Chadema walitumia gari aina ya Toyota Landcruiser na kuifunga bendera ya CCM ili wasipate usumbufu njiani na kuwafanya askari wafikiri anayepita ni kiongozi. Gari hilo lilimpeleka dereva huyo hadi Namanga, akavuka mpaka na kwenda Nairobi.

Chadema inajulikana kwa kupanga njama ovu dhidi ya watu wanaoonekana tishio kwenye nafasi ya uenyekiti wa Freeman Mbowe. Kati yao wengine walifukuzwa uanachama na wengine walipoteza maisha katika mazingira ya kutatanisha, kama ilivyokuwa kwa Marehemu Chacha Wangwe na Marehemu Philipo Magadula Shelembi.

Hivyo hofu ya viongozi wa Chadema kutotaka dereva huyo afanye mahojiano na Jeshi la Polisi inatia shaka uhusika wa viongozi wa Chadema katika tukio lililompata Tundu Lissu, na ndio maana pamoja na mengine juhudi kubwa zinafanyika ili asiwe mgombea wao wa Urais katika uchaguzi utakaofanyika October 2020.

Hadi sasa hawajafikia muafaka sababu ya hofu hiyo. Na bado wanaendelea na mazungumzo na ndio maana hadi sasa bado ratiba ya ujio wa Lissu bado haijawekwa hadharani.

Ushauri wangu kwa huyo dereva ni awe makini na usalama wake, kwani kuna watu ndani ya Chadema hawataki atoe ushahidi kuhusu tukio lililompata Tundu Lissu, hivyo kama hawataki ahojiwe kwa njia yoyote basi hata usalama wake uko shakani.

Anapaswa alitazame hilo katika jicho la kiintelijensia na ajue wabaya wake wasiotaka ahojiwe na jeshi la Polisi, na wanaweza chukua hatua yoyote kuhakikisha hafiki mikononi mwa Polisi. Nawashauri pia ndugu zake walitazame hili, pia na Jeshi la Polisi waangalie namna ya kumsaidia huyo kijana maana yuko katika mikono isiyo salama kwake. Ova.

Imeandikwa na:-

Deo Meck.

Mitaa ya Ufipa, Dar es Salaam.

ndio michezo yao
 
*TUNDU LISSU KURUDI BILA DEREVA WAKE*

- *Ni yule aliyekuwa naye wakati anashambuliwa Dodoma*

- *Chadema walimtorosha akiwa Dar baada ya kuhitajika na Afande Mroto kwa mahojiano*

- *Chadema walimtorosha kwa gari yao walioifunga bendera ya CCM hadi mpakani Namanga*

- *Haijulikani ni kwa nini Chadema wana hofu kubwa huyo dereva kutoa maelezo juu ya tukio lile*

- *Maisha yake yako shakani, anahitaji msaada*

Taarifa isiyo na shaka niliyoipokea toka makao makuu ya Chadema inaeleza mvutano uliopo kati ya Tundu Lissu na Freeman Mbowe juu ya lini Lissu anarudi na zaidi juu ya yeye kurejea nchini akiwa na dereva wake.

Chadema wamekuwa na wasiwasi mwingi juu ya dereva huyo kuhojiwa na Polisi kuhusu tukio la kikatili la kushambuliwa kwa Tundu Lissu.

Dereva huyo alitoroshwa kwenda Kenya akitokea Dar es Salaam siku ambayo RPC wa Dodoma alipotangaza kumtaka dereva huyo afike kituo cha Polisi Dodoma kwa mahojiano akiwa kama shahidi wa kwanza aliyekuwepo eneo la tukio.

Chadema walitumia gari aina ya Toyota Landcruiser na kuifunga bendera ya CCM ili wasipate usumbufu njiani na kuwafanya askari wafikiri anayepita ni kiongozi. Gari hilo lilimpeleka dereva huyo hadi Namanga, akavuka mpaka na kwenda Nairobi.

Chadema inajulikana kwa kupanga njama ovu dhidi ya watu wanaoonekana tishio kwenye nafasi ya uenyekiti wa Freeman Mbowe. Kati yao wengine walifukuzwa uanachama na wengine walipoteza maisha katika mazingira ya kutatanisha, kama ilivyokuwa kwa Marehemu Chacha Wangwe na Marehemu Philipo Magadula Shelembi.

Hivyo hofu ya viongozi wa Chadema kutotaka dereva huyo afanye mahojiano na Jeshi la Polisi inatia shaka uhusika wa viongozi wa Chadema katika tukio lililompata Tundu Lissu, na ndio maana pamoja na mengine juhudi kubwa zinafanyika ili asiwe mgombea wao wa Urais katika uchaguzi utakaofanyika October 2020.

Hadi sasa hawajafikia muafaka sababu ya hofu hiyo. Na bado wanaendelea na mazungumzo na ndio maana hadi sasa bado ratiba ya ujio wa Lissu bado haijawekwa hadharani.

Ushauri wangu kwa huyo dereva ni awe makini na usalama wake, kwani kuna watu ndani ya Chadema hawataki atoe ushahidi kuhusu tukio lililompata Tundu Lissu, hivyo kama hawataki ahojiwe kwa njia yoyote basi hata usalama wake uko shakani.

Anapaswa alitazame hilo katika jicho la kiintelijensia na ajue wabaya wake wasiotaka ahojiwe na jeshi la Polisi, na wanaweza chukua hatua yoyote kuhakikisha hafiki mikononi mwa Polisi. Nawashauri pia ndugu zake walitazame hili, pia na Jeshi la Polisi waangalie namna ya kumsaidia huyo kijana maana yuko katika mikono isiyo salama kwake. Ova.

Imeandikwa na:-

Deo Meck.

Mitaa ya Ufipa, Dar es Salaam.

YAMETIMIA, NI KWELI NIMEJARIBU KUCHUNGUZA NA KUGUNDUA NI KWELI, TUNDU HAKUJA NA DEREVA WAKE, NI KWANINI HATAKI JAMAA AHOJIWE NA POLISI?

WANAFICHA NINI NA KWA FAIDA YA NANI?
 
*TUNDU LISSU KURUDI BILA DEREVA WAKE*

- *Ni yule aliyekuwa naye wakati anashambuliwa Dodoma*

- *Chadema walimtorosha akiwa Dar baada ya kuhitajika na Afande Mroto kwa mahojiano*

- *Chadema walimtorosha kwa gari yao walioifunga bendera ya CCM hadi mpakani Namanga*

- *Haijulikani ni kwa nini Chadema wana hofu kubwa huyo dereva kutoa maelezo juu ya tukio lile*

- *Maisha yake yako shakani, anahitaji msaada*

Taarifa isiyo na shaka niliyoipokea toka makao makuu ya Chadema inaeleza mvutano uliopo kati ya Tundu Lissu na Freeman Mbowe juu ya lini Lissu anarudi na zaidi juu ya yeye kurejea nchini akiwa na dereva wake.

Chadema wamekuwa na wasiwasi mwingi juu ya dereva huyo kuhojiwa na Polisi kuhusu tukio la kikatili la kushambuliwa kwa Tundu Lissu.

Dereva huyo alitoroshwa kwenda Kenya akitokea Dar es Salaam siku ambayo RPC wa Dodoma alipotangaza kumtaka dereva huyo afike kituo cha Polisi Dodoma kwa mahojiano akiwa kama shahidi wa kwanza aliyekuwepo eneo la tukio.

Chadema walitumia gari aina ya Toyota Landcruiser na kuifunga bendera ya CCM ili wasipate usumbufu njiani na kuwafanya askari wafikiri anayepita ni kiongozi. Gari hilo lilimpeleka dereva huyo hadi Namanga, akavuka mpaka na kwenda Nairobi.

Chadema inajulikana kwa kupanga njama ovu dhidi ya watu wanaoonekana tishio kwenye nafasi ya uenyekiti wa Freeman Mbowe. Kati yao wengine walifukuzwa uanachama na wengine walipoteza maisha katika mazingira ya kutatanisha, kama ilivyokuwa kwa Marehemu Chacha Wangwe na Marehemu Philipo Magadula Shelembi.

Hivyo hofu ya viongozi wa Chadema kutotaka dereva huyo afanye mahojiano na Jeshi la Polisi inatia shaka uhusika wa viongozi wa Chadema katika tukio lililompata Tundu Lissu, na ndio maana pamoja na mengine juhudi kubwa zinafanyika ili asiwe mgombea wao wa Urais katika uchaguzi utakaofanyika October 2020.

Hadi sasa hawajafikia muafaka sababu ya hofu hiyo. Na bado wanaendelea na mazungumzo na ndio maana hadi sasa bado ratiba ya ujio wa Lissu bado haijawekwa hadharani.

Ushauri wangu kwa huyo dereva ni awe makini na usalama wake, kwani kuna watu ndani ya Chadema hawataki atoe ushahidi kuhusu tukio lililompata Tundu Lissu, hivyo kama hawataki ahojiwe kwa njia yoyote basi hata usalama wake uko shakani.

Anapaswa alitazame hilo katika jicho la kiintelijensia na ajue wabaya wake wasiotaka ahojiwe na jeshi la Polisi, na wanaweza chukua hatua yoyote kuhakikisha hafiki mikononi mwa Polisi. Nawashauri pia ndugu zake walitazame hili, pia na Jeshi la Polisi waangalie namna ya kumsaidia huyo kijana maana yuko katika mikono isiyo salama kwake. Ova.

Imeandikwa na:-

Deo Meck.

Mitaa ya Ufipa, Dar es Salaam.

yametimia. kwa nini Lissu hataki dereva wake ahojiwe na Polisi?
 
Sio bure kuna kitu hapa haiwezekani maguvu yote haya yatumike kumficha mtu mmoja


Wanahofia atakuja kusema nini
 
Back
Top Bottom