Tundu Lissu kurudi bila dereva wake, maisha yake yako shakani

Mnatakq mmulazimishe atoe maelezo kuwa waliomshambulia Lissu ni viongozi wa chadema kama mlivyofanya kwa mfanyakazi wa Lucy Nkya mlivyotaka kumlazimisha aseme Mh Mbowe alikuwa amelewa....mnaandikaga mkiwa mnajichokonoa mavi au mnalambaga Pen-V huko mlipo...
Deo meck kaja kishamba sana anazani watanzania ni wajinga kama yeye, chadema walijua mapema kuwa madalali wa siasa huko CCM wanamwinda Dereva wamrubuni apakaze uongo.
 
Nyie vibaraka wa jiwe mnafanya mauaji kila kona kulinda matumbo yenu mjue Mungu anatenda haki kwa watu wake yetu macho.
Madalali wa siasa huko CCM hawana pesa wameamua kubuni kila wawezalo wapate uteuzi
 
Inajulikana kuwa mwamba hapendi mtu yeyoyote anayeibuka pale cdm kuanza kuonekana ni maarufu kuliko yeye.
Lakini je!, huyo dereva angekufa kwenye hilo shambulio na upelelezi/uchunguzi ndo ungekuwa umeshashindikana?
Lakini kuna hizo vurugu anazofanyiwa tl na akina job ,hizo nazo zinafikirisha sana. Cctv camera inasemekana ziling'olewa.
 
Deo meck soma alama za nyakati Tambua kuwa watanzania siyo wajinga
 
*TUNDU LISSU KURUDI BILA DEREVA WAKE*

- *Ni yule aliyekuwa naye wakati anashambuliwa Dodoma*

- *Chadema walimtorosha akiwa Dar baada ya kuhitajika na Afande Mroto kwa mahojiano*

- *Chadema walimtorosha kwa gari yao walioifunga bendera ya CCM hadi mpakani Namanga*

- *Haijulikani ni kwa nini Chadema wana hofu kubwa huyo dereva kutoa maelezo juu ya tukio lile*

- *Maisha yake yako shakani, anahitaji msaada*

Taarifa isiyo na shaka niliyoipokea toka makao makuu ya Chadema inaeleza mvutano uliopo kati ya Tundu Lissu na Freeman Mbowe juu ya lini Lissu anarudi na zaidi juu ya yeye kurejea nchini akiwa na dereva wake.

Chadema wamekuwa na wasiwasi mwingi juu ya dereva huyo kuhojiwa na Polisi kuhusu tukio la kikatili la kushambuliwa kwa Tundu Lissu.

Dereva huyo alitoroshwa kwenda Kenya akitokea Dar es Salaam siku ambayo RPC wa Dodoma alipotangaza kumtaka dereva huyo afike kituo cha Polisi Dodoma kwa mahojiano akiwa kama shahidi wa kwanza aliyekuwepo eneo la tukio.

Chadema walitumia gari aina ya Toyota Landcruiser na kuifunga bendera ya CCM ili wasipate usumbufu njiani na kuwafanya askari wafikiri anayepita ni kiongozi. Gari hilo lilimpeleka dereva huyo hadi Namanga, akavuka mpaka na kwenda Nairobi.

Chadema inajulikana kwa kupanga njama ovu dhidi ya watu wanaoonekana tishio kwenye nafasi ya uenyekiti wa Freeman Mbowe. Kati yao wengine walifukuzwa uanachama na wengine walipoteza maisha katika mazingira ya kutatanisha, kama ilivyokuwa kwa Marehemu Chacha Wangwe na Marehemu Philipo Magadula Shelembi.

Hivyo hofu ya viongozi wa Chadema kutotaka dereva huyo afanye mahojiano na Jeshi la Polisi inatia shaka uhusika wa viongozi wa Chadema katika tukio lililompata Tundu Lissu, na ndio maana pamoja na mengine juhudi kubwa zinafanyika ili asiwe mgombea wao wa Urais katika uchaguzi utakaofanyika October 2020.

Hadi sasa hawajafikia muafaka sababu ya hofu hiyo. Na bado wanaendelea na mazungumzo na ndio maana hadi sasa bado ratiba ya ujio wa Lissu bado haijawekwa hadharani.

Ushauri wangu kwa huyo dereva ni awe makini na usalama wake, kwani kuna watu ndani ya Chadema hawataki atoe ushahidi kuhusu tukio lililompata Tundu Lissu, hivyo kama hawataki ahojiwe kwa njia yoyote basi hata usalama wake uko shakani.

Anapaswa alitazame hilo katika jicho la kiintelijensia na ajue wabaya wake wasiotaka ahojiwe na jeshi la Polisi, na wanaweza chukua hatua yoyote kuhakikisha hafiki mikononi mwa Polisi. Nawashauri pia ndugu zake walitazame hili, pia na Jeshi la Polisi waangalie namna ya kumsaidia huyo kijana maana yuko katika mikono isiyo salama kwake. Ova.

Imeandikwa na:-

Deo Meck.

Mitaa ya Ufipa, Dar es Salaam.
Instagram media - Bt2Krycj3b7.jpg
 
Watengeneza propaganda wa CCM hawana kumbukumbu kabsa wameendelea kukariri kuwa watanzania ni wajinga kama wao binafsi
 
Issue ya Lisu ishaanza kunifikirisha sana.

1. Ilikuwaje dereva wake hasipate risasi hata moja mwilini mwake??

2. Risasi zote karibu 36 zimlenge mguuni tu na sio kwenye moyo, Liver, kidney au kichwa??

3. Kwa nini dereva wake yupo nje ya nchi naye hana adui yeyote.??

4. Nani anahusika ?? Wa serikalini au wa upinzani?

5. Licha ya serikali kutolizungumzia kabisa ? Chadema wameshindwa kabisa kumjua muhusika?

6. Kwa nini serikali ipo kimya??

SIASA NI MCHEZO MCHAFU SANA.
Hi akili uliyotumia kuwaza maswali haya hebu itumie Tena kuwaza hivi,

Kama serikali imegundua kuwa Mabeberu walitaka kuhujumu Nchi kupitia COVID19 KWANINI WAMESHINDWA KUFANYA UCHUNGUZI NA KUWABAINI HAO UBAOWASINGIZIA??
 
*TUNDU LISSU KURUDI BILA DEREVA WAKE*

- *Ni yule aliyekuwa naye wakati anashambuliwa Dodoma*

- *Chadema walimtorosha akiwa Dar baada ya kuhitajika na Afande Mroto kwa mahojiano*

- *Chadema walimtorosha kwa gari yao walioifunga bendera ya CCM hadi mpakani Namanga*

- *Haijulikani ni kwa nini Chadema wana hofu kubwa huyo dereva kutoa maelezo juu ya tukio lile*

- *Maisha yake yako shakani, anahitaji msaada*

Taarifa isiyo na shaka niliyoipokea toka makao makuu ya Chadema inaeleza mvutano uliopo kati ya Tundu Lissu na Freeman Mbowe juu ya lini Lissu anarudi na zaidi juu ya yeye kurejea nchini akiwa na dereva wake.

Chadema wamekuwa na wasiwasi mwingi juu ya dereva huyo kuhojiwa na Polisi kuhusu tukio la kikatili la kushambuliwa kwa Tundu Lissu.

Dereva huyo alitoroshwa kwenda Kenya akitokea Dar es Salaam siku ambayo RPC wa Dodoma alipotangaza kumtaka dereva huyo afike kituo cha Polisi Dodoma kwa mahojiano akiwa kama shahidi wa kwanza aliyekuwepo eneo la tukio.

Chadema walitumia gari aina ya Toyota Landcruiser na kuifunga bendera ya CCM ili wasipate usumbufu njiani na kuwafanya askari wafikiri anayepita ni kiongozi. Gari hilo lilimpeleka dereva huyo hadi Namanga, akavuka mpaka na kwenda Nairobi.

Chadema inajulikana kwa kupanga njama ovu dhidi ya watu wanaoonekana tishio kwenye nafasi ya uenyekiti wa Freeman Mbowe. Kati yao wengine walifukuzwa uanachama na wengine walipoteza maisha katika mazingira ya kutatanisha, kama ilivyokuwa kwa Marehemu Chacha Wangwe na Marehemu Philipo Magadula Shelembi.

Hivyo hofu ya viongozi wa Chadema kutotaka dereva huyo afanye mahojiano na Jeshi la Polisi inatia shaka uhusika wa viongozi wa Chadema katika tukio lililompata Tundu Lissu, na ndio maana pamoja na mengine juhudi kubwa zinafanyika ili asiwe mgombea wao wa Urais katika uchaguzi utakaofanyika October 2020.

Hadi sasa hawajafikia muafaka sababu ya hofu hiyo. Na bado wanaendelea na mazungumzo na ndio maana hadi sasa bado ratiba ya ujio wa Lissu bado haijawekwa hadharani.

Ushauri wangu kwa huyo dereva ni awe makini na usalama wake, kwani kuna watu ndani ya Chadema hawataki atoe ushahidi kuhusu tukio lililompata Tundu Lissu, hivyo kama hawataki ahojiwe kwa njia yoyote basi hata usalama wake uko shakani.

Anapaswa alitazame hilo katika jicho la kiintelijensia na ajue wabaya wake wasiotaka ahojiwe na jeshi la Polisi, na wanaweza chukua hatua yoyote kuhakikisha hafiki mikononi mwa Polisi. Nawashauri pia ndugu zake walitazame hili, pia na Jeshi la Polisi waangalie namna ya kumsaidia huyo kijana maana yuko katika mikono isiyo salama kwake. Ova.

Imeandikwa na:-

Deo Meck.

Mitaa ya Ufipa, Dar es Salaam.
Ila kuwa CCM automatic unakuwa na Roho ya Kiibilisi

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Issue ya Lisu ishaanza kunifikirisha sana.

1. Ilikuwaje dereva wake hasipate risasi hata moja mwilini mwake??

2. Risasi zote karibu 36 zimlenge mguuni tu na sio kwenye moyo, Liver, kidney au kichwa??

3. Kwa nini dereva wake yupo nje ya nchi naye hana adui yeyote.??

4. Nani anahusika ?? Wa serikalini au wa upinzani?

5. Licha ya serikali kutolizungumzia kabisa ? Chadema wameshindwa kabisa kumjua muhusika?

6. Kwa nini serikali ipo kimya??

SIASA NI MCHEZO MCHAFU SANA.

Mimi CCM damu damu, ila unafiki sina. Na niseme ukweli ktk hili CCM tunakera sana tena sana. Hata mbele ya mwenyekiti litasemwa wazi.

Ikiwa sie ni vidume kwa nini tulikimbilia kutoa CCTV? Ingeonesha jinsi gani alikwepa.
 
Hiki takataka peleka sebuleni kwa mwenyekiti wako anaetuhumiwa kuhusika na unyama huu.

Nini kinawazuia kuruhusu uchunguzi huru wa hili tukio?

Hata wagonjwa walioko Mirembe wanajua nani alihusika na tukio la Lissu kupigwa risasi.
KWANINI MNAOGOPA DREVA KUHOJIWA NYIE MNAJUA ALIYEFANYA UNYAMA HUU NI HUKOHUKO
 
Uzi umeuleta ki muhemuko sana
Namba ya simu ya Deo meck hii hapa 0715481628 alikuwa msaidizi wa mbowe akamuibia pesa ofisini kwake akamfukuza kazi ni kijana mdokozi muongo muongo mwenye chuki kubwa na mbowe kuliko hata viongozi wake wa CCM, mpigie simu mkataze aache propaganda za kishamba watanzania wameamka hawataki ujinga
 
Namba ya simu ya Deo meck hii hapa 0715481628 alikuwa msaidizi wa mbowe akamuibia pesa ofisini kwake akamfukuza kazi ni kijana mdokozi muongo muongo mwenye chuki kubwa na mbowe kuliko hata viongozi wake wa CCM, mpigie simu mkataze aache propaganda za kishamba watanzania wameamka hawataki ujinga
Asante sana ngoja nimtafute
 
Sawa.

Na wewe ni nani, ni kati ya wale waliowaondoa walinzi siku ya tukio?

Hebu tueleze hilo kwa kuwa unao ufahamu mkubwa juu ya jambo hili.
Pengine Deo meck ndiye Dereva wa ile Nissan nyeupe iliyotumika kwenye shambulio kwani ni mtu mwenye roho mbaya sana haitakuwa ajabu kusikia alihusika moja kwa moja kwenye shambulio la Tundu lisu
 
*TUNDU LISSU KURUDI BILA DEREVA WAKE*

- *Ni yule aliyekuwa naye wakati anashambuliwa Dodoma*

- *Chadema walimtorosha akiwa Dar baada ya kuhitajika na Afande Mroto kwa mahojiano*

- *Chadema walimtorosha kwa gari yao walioifunga bendera ya CCM hadi mpakani Namanga*

- *Haijulikani ni kwa nini Chadema wana hofu kubwa huyo dereva kutoa maelezo juu ya tukio lile*

- *Maisha yake yako shakani, anahitaji msaada*

Taarifa isiyo na shaka niliyoipokea toka makao makuu ya Chadema inaeleza mvutano uliopo kati ya Tundu Lissu na Freeman Mbowe juu ya lini Lissu anarudi na zaidi juu ya yeye kurejea nchini akiwa na dereva wake.

Chadema wamekuwa na wasiwasi mwingi juu ya dereva huyo kuhojiwa na Polisi kuhusu tukio la kikatili la kushambuliwa kwa Tundu Lissu.

Dereva huyo alitoroshwa kwenda Kenya akitokea Dar es Salaam siku ambayo RPC wa Dodoma alipotangaza kumtaka dereva huyo afike kituo cha Polisi Dodoma kwa mahojiano akiwa kama shahidi wa kwanza aliyekuwepo eneo la tukio.

Chadema walitumia gari aina ya Toyota Landcruiser na kuifunga bendera ya CCM ili wasipate usumbufu njiani na kuwafanya askari wafikiri anayepita ni kiongozi. Gari hilo lilimpeleka dereva huyo hadi Namanga, akavuka mpaka na kwenda Nairobi.

Chadema inajulikana kwa kupanga njama ovu dhidi ya watu wanaoonekana tishio kwenye nafasi ya uenyekiti wa Freeman Mbowe. Kati yao wengine walifukuzwa uanachama na wengine walipoteza maisha katika mazingira ya kutatanisha, kama ilivyokuwa kwa Marehemu Chacha Wangwe na Marehemu Philipo Magadula Shelembi.

Hivyo hofu ya viongozi wa Chadema kutotaka dereva huyo afanye mahojiano na Jeshi la Polisi inatia shaka uhusika wa viongozi wa Chadema katika tukio lililompata Tundu Lissu, na ndio maana pamoja na mengine juhudi kubwa zinafanyika ili asiwe mgombea wao wa Urais katika uchaguzi utakaofanyika October 2020.

Hadi sasa hawajafikia muafaka sababu ya hofu hiyo. Na bado wanaendelea na mazungumzo na ndio maana hadi sasa bado ratiba ya ujio wa Lissu bado haijawekwa hadharani.

Ushauri wangu kwa huyo dereva ni awe makini na usalama wake, kwani kuna watu ndani ya Chadema hawataki atoe ushahidi kuhusu tukio lililompata Tundu Lissu, hivyo kama hawataki ahojiwe kwa njia yoyote basi hata usalama wake uko shakani.

Anapaswa alitazame hilo katika jicho la kiintelijensia na ajue wabaya wake wasiotaka ahojiwe na jeshi la Polisi, na wanaweza chukua hatua yoyote kuhakikisha hafiki mikononi mwa Polisi. Nawashauri pia ndugu zake walitazame hili, pia na Jeshi la Polisi waangalie namna ya kumsaidia huyo kijana maana yuko katika mikono isiyo salama kwake. Ova.

Imeandikwa na:-

Deo Meck.

Mitaa ya Ufipa, Dar es Salaam.

Nina uhakika uzi huu utatolewa na mods mapema saaana. Yaani uzi unaongea mabaya waziwazi kuhusu CHADEMA?? lazima mods wauondoe mapema sana. Tena hata kufikia muda huu wamechelewa aiseee
 
Back
Top Bottom