Tundu Lissu kurejea nchini kwa lengo la kuja kugombea urais?

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,011
144,371
kupitia twitter,kada wa CHADEMA,Vitusi Nkuna leo ameandika kuwa Lissu katangaza nia ya kugombea uraisi kupitia CHADEMA.

Kama haitoshi,Mayor wa Ubungo, Boniface Jacob muda wa kama lisaa limoja lililopita, kaandika kupitia twitter maneno haya hapo chini huku akiambatanisha tweet yake na picha hii:



Welcome back home, The Game Changer.!
1590958206099.png


Kwa maelezo haya ya leo ya hawa viongozi na makada wa CHADEMA kupitia twitter,je,maelezo haya si kuashiria Lissu anarudi nchini na atagombea uraisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA?

Na kwakuwa hatuna Tume Huru ya Uchaguzi,Lissu atakuwa anagombea tu pasipokuwa amejipanga?

Wacha tusubiri muda uje uthibitishe.
 
Strategy....plan....organisation = victory.

Wao wakitumia nguvu; wewe tumia akili, Hakuna Kususa.

Chadema must do something, waiweke ile Tume under pressure, don't let them leave for free like that.
 
Huyu ndo angekuwa Mwenyekiti wa CDM. Jamaa ni kichwa na ana guts haswa, Lissu amekaa kiupambanaji haswa, sio kama mfanyabiashara Mbowe.

Kete ya Lowassa mpaka leo haijafutika akilini. Lissu ndo mtu pekee tumwaminiye ndani ya Chama.
Akili za Mbowe za kibiashara ndizo zinaisumbua CCM na serikali yake, hawali.. hawalali, anzia bungeni mpaka serikalini mfanyabiashara anawavuruga!.
 
kupitia twitter,kada wa CHADEMA,Vitusi Nkuna leo ameandika kuwa Lissu katangaza nia ya kugombea uraisi kupitia CHADEMA.

Kama haitoshi,Mayor wa Ubungo, Boniface Jacob muda wa kama lisaa limoja lililopita, kaandika kupitia twitter maneno haya hapo chini huku akiambatanisha tweet yake na picha hii:



Welcome back home, The Game Changer.!
View attachment 1465097

Kwa maelezo haya ya leo ya hawa viongozi na makada wa CHADEMA kupitia twitter,je,maelezo haya si kuashiria Lissu anarudi nchini na atagombea uraisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA?

Na kwakuwa hatuna Tume Huru ya Uchaguzi,Lissu atakuwa anagombea tu pasipokuwa amejipanga?

Wacha tusubiri muda uje uthibitishe.
Nina imani hiyo ni haki yake
 
kupitia twitter,kada wa CHADEMA,Vitusi Nkuna leo ameandika kuwa Lissu katangaza nia ya kugombea uraisi kupitia CHADEMA.

Kama haitoshi,Mayor wa Ubungo, Boniface Jacob muda wa kama lisaa limoja lililopita, kaandika kupitia twitter maneno haya hapo chini huku akiambatanisha tweet yake na picha hii:
Welcome back home, The Game Changer.!
View attachment 1465097

Kwa maelezo haya ya leo ya hawa viongozi na makada wa CHADEMA kupitia twitter,je,maelezo haya si kuashiria Lissu anarudi nchini na atagombea uraisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA?

Na kwakuwa hatuna Tume Huru ya Uchaguzi,Lissu atakuwa anagombea tu pasipokuwa amejipanga?

Wacha tusubiri muda uje uthibitishe.
Kama Kamanda anarejea itakuwa poa na atakuwa ni shujaa kuliko Nelson Mandela
Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela!

Pia tulishauri hivi
Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home!
P
 
Karibu nyumbani kumenoga

Bora angegombea ubunge angepata ila uraisi ni ndoto za mchana labda kupitia twitter ndo atashinda,
 
Kabla ya kurudi,yeye na dereva wake warudishe zile hati za kusafiria za kibelgiji walizopewa pale Nairobi na kuutangazia ulimwengu Tanzania ni nchi salama na yenye amani.
 
Back
Top Bottom