Hakuna lolote hapa wabunge wote hope.les.s tu, kwa mshahara wa Wabunge kwa miaka mitano na kwa idadi ya Wabunge wote, the Tundu Lissu haoni kuwa wao pia wanalitia hasara Taifa? Na kuwafanya Watumishi wa umma kunyanyasika ukizingatia hata hilo Bunge hakuna linachofanya?