Tundu Lissu kuongea na vyombo vya habari muda mfupi ujao

G Sam

JF-Expert Member
Apr 20, 2013
11,555
35,880
Tundu Lissu mgombea urais wa JMT kupitia CHADEMA anatarajia kuongea na vyombo vya habari leo majira ya saa kumi na nusu jioni.

-----

Wito wa dharura, Mkutano na Waandishi wa Habari

Chief, habari za muda huu?

Naomba kukutaarifu kuwa Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mhe. Tundu Lissu, atazungumza na vyombo vya habari vya kitaifa na kimataifa, nyumbani kwake, Tegeta (Azania) jijini Dar es Salaam leo Ijumaa, Oktoba 2, 2020, *saa 10.30, jioni, kuhusu jambo la dharura na muhimu katika kampeni za Uchaguzi Mkuu zinazoendelea nchini.

Tunatanguliza shukrani na samahani kwa wito huu wa dharura sana. Asante sana.

Tumaini Makene
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano
Chadema
 
Tundu Lissu mgombea urais wa JMT kupitia CHADEMA anatarajia kuongea na vyombo vya habari leo majira ya saa kumi na nusu jioni.

Pamoja na mambo mengine anatatajiwa kupuuzilia mbali katazo la kufanya kampeni kwa siku saba kutoka tume.
Lissu ni mgombea wa hovyo kuwahi kutokea
Ni heri akate rufaa kuliko kupuuza,ratiba inatolewa na tume na sio chadema
 
*Wito wa dharura, Mkutano na Waandishi wa Habari*

Chief, habari za muda huu?

Naomba kukutaarifu kuwa Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mhe. Tundu Lissu, atazungumza na vyombo vya habari vya kitaifa na kimataifa, nyumbani kwake, *Tegeta (Azania) jijini Dar es Salaam leo Ijumaa, Oktoba 2, 2020, *saa 10.30, jioni*, kuhusu jambo la dharura na muhimu katika kampeni za Uchaguzi Mkuu zinazoendelea nchini.

Tunatanguliza shukrani na samahani kwa wito huu wa dharura sana. Asante sana.

*Tumaini Makene*
*Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano*
*Chadema*
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom