Chadema Diaspora
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 480
- 644
Jumanne, February 5, 2019 saa 9:00 hadi 10:30 asubuhi, Mbunge Tundu Lissu atakua na maongezi na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha George Washington kilichopo makao makuu ya Marekani, Washington D.C.
Topic ya maongezi ni "Tanzania's Democratic Challenge”
Topic ya maongezi ni "Tanzania's Democratic Challenge”