Ahsanteeee....chamsingi aweke account yake nimdondosheee 150,000 faster..yaani ipo kwa ajili yake.Waliombwa kuchanga hawaumii, wewe unaumia na nini?
Na wewe si uombe uchangiwe
Nimeona kuna video inaranda randa mitandaoni ikimtuhumu Tundu Lissu kuomba kuchangiwa fedha. Nimekuwa na maswali yasiyo na majinu. Tundu Lissu watoto wanatakiwa kusoma Bure katika shule za serikali. Anakaa katika nyumba ya serikali na anahudumiwa na Bunge kama mtumishi wa Umma. Aidha, amelipwa hivi karibuni takribani milioni 250 na ushee hivi kwa mujibu wa spika. Hii kitu ya kuchangisha haiturudishi nyumba kweli tukaonekana ngozi nyeusi shida Ulaya na Marekani?
Nelson,
Dodoma
Hao unaowapingania au wewe mwenyewe upo kwa manufaa ya nani?Lissu is a political entrepreneur yuko kwenye siasa kwa ajili ya kuchuma tu na kupotosha watu kwa manufaa yake. Never take him serious.
Pole mkuu.Wanae wanasema international school wako wanasoma shule za kayumba changia sababu wanao hutaki wasome international school.Lisu aliapa wanae hawawezi soma Kayumba.Changia wewe usiyependa wanao wasome international school unayependa wanao wasome kayumba shule choka mbaya ili wa Tundu Lisu wasome Elite schools
Hujui lolote ni heri ungekaa kimya.unafikiri watanzania wote wanaakili za kiccm? Kuna watanzania wanaongoza makampuni hukoNamia Mbunge wangu anaomba fedha kwa watu wasio na ajira. Wengi walioko marekani wanasoma na kutafuta maisha. Kiasi wanachopata wanakula na familia zao. Sasa Lisu anawaongezea mzigo. Hapo ndipo ninapoumia mimi.
wewe acha kwani umelazimishwa? Kutoa si utajiri ila kama unasubiri uwe tajiri ndo utoe basi biga kimyaMtu anapokea mshahara wa mamilioni,
Mm ninaepokea vilaki vyangu bado nimchangie yeye.
Daah kuna waafrika wenzetu ni wanyonyaji sana huyu mzee ni mmoja wao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni hiyari ndgNamia Mbunge wangu anaomba fedha kwa watu wasio na ajira. Wengi walioko marekani wanasoma na kutafuta maisha. Kiasi wanachopata wanakula na familia zao. Sasa Lisu anawaongezea mzigo. Hapo ndipo ninapoumia mimi.
Umedandia gari kwa mbele mkuuKwani Lissu hana mtoto? acheni maneno mabaya. Tundu Lissu kaomba fedha kwa ajili ya watoto wake na yeye asilale kwenye baridi. Ila Kuomba fedha kazi sana.
Hata US kuna watanzania wafia chama kama wewe mkuu.ambao kwao ccm ni kila kituWAMEVUJISHA HIYO CLIP, ALIYETUMA KAANDIKA MANENO MASHAFU SANA MSITAKE TUYAWEKE HAPA. WANASEMA AMEKUWA OMBAOMBA UNADHANI HAYO MANENO MAZURI KWELI?
Kuna kautafiti umefanya? Au ni hisia tu hizo?Namia Mbunge wangu anaomba fedha kwa watu wasio na ajira. Wengi walioko marekani wanasoma na kutafuta maisha. Kiasi wanachopata wanakula na familia zao. Sasa Lisu anawaongezea mzigo. Hapo ndipo ninapoumia mimi.
Unatishia nyau tu dogo.WAMEVUJISHA HIYO CLIP, ALIYETUMA KAANDIKA MANENO MASHAFU SANA MSITAKE TUYAWEKE HAPA. WANASEMA AMEKUWA OMBAOMBA UNADHANI HAYO MANENO MAZURI KWELI?
Kama hakuwa anawekeza shauri yake na ufipa iliyomlea.Nimeona kuna video inaranda randa mitandaoni ikimtuhumu Tundu Lissu kuomba kuchangiwa fedha. Nimekuwa na maswali yasiyo na majinu. Tundu Lissu watoto wanatakiwa kusoma Bure katika shule za serikali. Anakaa katika nyumba ya serikali na anahudumiwa na Bunge kama mtumishi wa Umma. Aidha, amelipwa hivi karibuni takribani milioni 250 na ushee hivi kwa mujibu wa spika. Hii kitu ya kuchangisha haiturudishi nyumba kweli tukaonekana ngozi nyeusi shida Ulaya na Marekani?
Nelson,
Dodoma
Kwaiyo shule za kayumba ni choka mbaya CCM zaidi ya miaka 50 imeshindwa kuboroshe elimu imezalisha vilanza wengi ambao ndio mtaji wao kwenye siasa tuna safari ndefu!Lisu aliapa wanae watasoma international school tu hawaji soma Kayumba za serikali .Mchangieni nyie ambao muko tayari kuchangia wakati wanenu wanasema shule choka mbaya
Tiari apo alipo ni mchawi mchawi sio lazima awe na tunguri uchawi ni pamoja na kichukia mafanikio ya watu! Au kuchukia watoto wasio wako kupata elimu bora!mbona waloahidi kumchangia hawaumii kuliko ww usiemchangia??uzeen ww utawanga nakuambia