Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,756
Kwa hiyo kila wasemacho akina Maria Tsehai et Al ni cha KWELI ?!!Huyu mama alipokuwa makamu aliburuzwa na sasa ni Rais pia anaburuzwa ! aliyatakia nini madaraka huyu , au ndio maana Sukuma gang hawakutaka awe kiongozi ?
Nani wa kumburuza mh.Rais SSH?!!
Yupi huyo ?!!!
Mh.Rais ana washauri wa kisiasa....wanapomueleza jambo HAWAMLAZIMISHI...kwa hiyo akiamua kufuata USHAURI WAO kwa muktadha mpana wa maslahi ya nchi ndiyo KUWAOGOPA?!! Ndio KUBURUZWA?!! Khaa 🤣🤣