AlP0L0
JF-Expert Member
- Apr 23, 2011
- 6,044
- 4,249
Hakuna aliesema Mbowe aombe msamaha.Uoni kuomba msamaha ni kukubali kosa??
Hakuna aliesema Mbowe aombe msamaha.Uoni kuomba msamaha ni kukubali kosa??
Hakusema asemehewe??Hakuna aliesema Mbowe aombe msamaha.
Huu ndiyo ukweli kwenye hoja mbili! Leo Mahakama inatoa uamuzi kama Mbowe ana kesi ya kujibu au lah! Kipi hasa hawataki kusubr na kesi yenyewe imepelekwa haraka sana ili apate haki yake? Kwanini wanataka afutiwe kesi eti haina tija kwa Tanzania wala kwa CCM au Chadema? Wanaforce Rais aingilie mahakama alafu wakikaa tena wanakuja na gear yakwamba Rais haeshimu Katiba na Sheria za Nchi.....Kuhusu suala la wabunge 19 sikubaliani na mtizamo wa Lissu
Ni mpaka pale uamuzi wa rufaa yao huko kwenye chama utakapohitimishwa
Wabunge 19 wa CHADEMA bado ni wabunge halali.. CHADEMA iache kutumia mabavu itumie haki na demokrasia. Lakini pia CHADEMA haiwezi kuwa mwamuzi wa mwisho dhidi ya wabunge .. baada ya uamuzi huo wabunge 19 wana uwezo wa kuwasilisha pingamizi mahakamani kama ilivyokuwa kwa Zitto Kabwe
Uzoefu unaonesha kuwa CHADEMA haizingatii hata utaratibu wa katiba yao ktk kumfuta mtu uanachama badala yake hutumia mabavu na maamuzi ya watu wachache waliojimilikisha chama
KUHUSU SUALA LA KUINGILIA MAHAKAMA UKWELI NI KUWA CHADEMA KTK HILI INAINGILIA UHURU WA MAHAKAMA.. KUFANYA EXTERNAL INFLUENCE JUU YA KESI ILIYOPO MAHAKAMANI NI KUINGILIA UHURU WA MAHAKAMA PIA. SEMA KWA SABABU JAMBO HILI LIMEWAGUSA WAO NA NDIYO MAANA INAONEKANA SIYO KUINGILIA UHURU WA MAHAKAMA
KWA mtizamo wangu naona kuwa suala la kesi ya Mbowe kwa kuwa tayari lipo mahakamani; tuwaachie mahakama kazi hiyo ya kutafsiri sheria na tuwaamini kuwa watafanya uamuzi wa haki.
Endapo maamuzi ya mahakama itaonekana kutoridhika upo utaratibu wa kukata rufaa
... uko sahihi; hoja ya msingi huo uhuru unapatikanaje? Unyang'anywe uhuru wako kidhalimu halafu uwapigie magoti kuomba urudishiwe uhuru wako ambao ni haki yako? Dah; you better die than doing that.Mkuu mbona hapa wote wanapigania kitu kimoja, mbowe awe huru
Huyo Zitto mnayemtetea kiasi hicho ni nani katika nchi hii?Kati ya Zitto na Lissu nani kiongozi wa CDM?Je,baada ya Zitto kudaiwa kumwombea msamaha Mh.Mbowe,nini kilibadilika kuhusu kesi ya Mbowe?
Naam wanajaribu kumwingiza Rais ktk mtego ili mwisho wa siku aonekane kama kinara wa kuvunja katiba na sheria.Huu ndiyo ukweli kwenye hoja mbili! Leo Mahakama inatoa uamuzi kama Mbowe ana kesi ya kujibu au lah! Kipi hasa hawataki kusubr na kesi yenyewe imepelekwa haraka sana ili apate haki yake? Kwanini wanataka afutiwe kesi eti haina tija kwa Tanzania wala kwa CCM au Chadema? Wanaforce Rais aingilie mahakama alafu wakikaa tena wanakuja na gear yakwamba Rais haeshimu Katiba na Sheria za Nchi
Sent using Jamii Forums mobile app
BUNGE HALINA TAARIFAHao wanawake 19 sio wanachama wa chama cha Chadema kwani walishafukuzwa na kamati kuu unless wawe reinstated na Baraza Kuu kufuatia rufaa waliokata.
Mimi naona tofauti kati ya Zito na Lissu:Sasa wale pingapinga FC mliompinga zitto kuomba kwa rais gaidi amsamehewe njooni mpige makofi kwa tundu tafadhali.
Matokeo ya wanachopigania ni sawa Mbowe atakua huru. Ila zitto anaomwombea msamaha while Lissu anataka kesi ifutwe. Maana yake kwa mujibu wa Zitto Mbowe ana hatia, while Lissu anaona Mbowe Hana hatia.Mkuu mbona hapa wote wanapigania kitu kimoja, mbowe awe huru
We jamaa ni mental staff, hivi umemwelewa lissu?
elewa Lissu hajamuombea Mbowe msamaha bali amemuagiza rais afute mashtaka yasiyo na tija yaan ya mchongo tofauti na kibaraka wenu zitto
Kusamehewa ni kwamba ametenda kosaMkuu mbona hapa wote wanapigania kitu kimoja, mbowe awe huru
Nenda kwa zito akuzalisheKwani zito hakusema hayo?
Mbona hujampongeza na kupa hiyo hadhi wakatu Tundu ka cooy kwa zito?
ila Zitto alipoomba hilo akaonekana kiazi !Wanasiasa wenye akili kama za lissu wamekuwa adimu sana siku hizi, wengi ni wachumia tumbo wasioweza kujenga hoja
Maccm mengi hayana akili ya kujua tofauti ya hayaKwa muktadha wa swala la Mbowe lilivyo, Haitaji msamaha, na wala sio sahihi kutumia neno msamaha sababu hana kosa alilofanya ambalo yahitajika aombe au aombewe msamaha.
Jaribu kuzitafakari hizi kauli mbili, Na utaona mantiki ya swala la Mbowe.
---
“mwenzetu hayupo hapa kwa sababu ana changamoto za kisheria, itafutwe namna, ASAMEHEWE” - Zitto Kabwe
“kesi ya mwenyekiti Mbowe ni 'ubatili mtupu na ushahidi ni wa uongo' na hailisaidiu taifa kwa lolote, IONDOLEWE”
- Tundu Lissu
#76
Sio kweli, Magufuli ndio alikuwa engineer wa mradi huu ili awatumie hao wanawake kuhadaa wafadhili kwamba kuna wapinzani kwenye kamati mbalimbali za bunge ili iwe kigezo cha kupata Budget Support toka kwa hao wafadhili japo sidhani kama huu mpango umepata mafanikio yaliyokusudiwa.BUNGE HALINA TAARIFA
Mahakama ikikuhukumu miaka 10 na ukakata rufaa,je kipindi unasubiri rufaa ianze kusikilizwa utakuwa nje kama raia huru au utaendelea kutumikia hukumu yako ya miaka 10 mpaka hapo rufaa yako itakapohitimishwa?Same na wale wabunge 19 maadamu wamefukuzwa uanachama hawapaswi kuwepo bungeni mpaka pale rufaa zao zitakapowarejeshea uanachama na chama kuridhia wakawe wawakilishi wake......Kuhusu suala la wabunge 19 sikubaliani na mtizamo wa Lissu
Ni mpaka pale uamuzi wa rufaa yao huko kwenye chama utakapohitimishwa
Wabunge 19 wa CHADEMA bado ni wabunge halali.. CHADEMA iache kutumia mabavu itumie haki na demokrasia. Lakini pia CHADEMA haiwezi kuwa mwamuzi wa mwisho dhidi ya wabunge .. baada ya uamuzi huo wabunge 19 wana uwezo wa kuwasilisha pingamizi mahakamani kama ilivyokuwa kwa Zitto Kabwe
Uzoefu unaonesha kuwa CHADEMA haizingatii hata utaratibu wa katiba yao ktk kumfuta mtu uanachama badala yake hutumia mabavu na maamuzi ya watu wachache waliojimilikisha chama
KUHUSU SUALA LA KUINGILIA MAHAKAMA UKWELI NI KUWA CHADEMA KTK HILI INAINGILIA UHURU WA MAHAKAMA.. KUFANYA EXTERNAL INFLUENCE JUU YA KESI ILIYOPO MAHAKAMANI NI KUINGILIA UHURU WA MAHAKAMA PIA. SEMA KWA SABABU JAMBO HILI LIMEWAGUSA WAO NA NDIYO MAANA INAONEKANA SIYO KUINGILIA UHURU WA MAHAKAMA
KWA mtizamo wangu naona kuwa suala la kesi ya Mbowe kwa kuwa tayari lipo mahakamani; tuwaachie mahakama kazi hiyo ya kutafsiri sheria na tuwaamini kuwa watafanya uamuzi wa haki.
Endapo maamuzi ya mahakama itaonekana kutoridhika upo utaratibu wa kukata rufaa