Tundu Lissu: Kufuta kesi ya Mbowe sio kuingilia Uhuru wa Mahakama

.....Kuhusu suala la wabunge 19 sikubaliani na mtizamo wa Lissu

Ni mpaka pale uamuzi wa rufaa yao huko kwenye chama utakapohitimishwa

Wabunge 19 wa CHADEMA bado ni wabunge halali.. CHADEMA iache kutumia mabavu itumie haki na demokrasia. Lakini pia CHADEMA haiwezi kuwa mwamuzi wa mwisho dhidi ya wabunge .. baada ya uamuzi huo wabunge 19 wana uwezo wa kuwasilisha pingamizi mahakamani kama ilivyokuwa kwa Zitto Kabwe

Uzoefu unaonesha kuwa CHADEMA haizingatii hata utaratibu wa katiba yao ktk kumfuta mtu uanachama badala yake hutumia mabavu na maamuzi ya watu wachache waliojimilikisha chama

KUHUSU SUALA LA KUINGILIA MAHAKAMA UKWELI NI KUWA CHADEMA KTK HILI INAINGILIA UHURU WA MAHAKAMA.. KUFANYA EXTERNAL INFLUENCE JUU YA KESI ILIYOPO MAHAKAMANI NI KUINGILIA UHURU WA MAHAKAMA PIA. SEMA KWA SABABU JAMBO HILI LIMEWAGUSA WAO NA NDIYO MAANA INAONEKANA SIYO KUINGILIA UHURU WA MAHAKAMA

KWA mtizamo wangu naona kuwa suala la kesi ya Mbowe kwa kuwa tayari lipo mahakamani; tuwaachie mahakama kazi hiyo ya kutafsiri sheria na tuwaamini kuwa watafanya uamuzi wa haki.

Endapo maamuzi ya mahakama itaonekana kutoridhika upo utaratibu wa kukata rufaa
Huu ndiyo ukweli kwenye hoja mbili! Leo Mahakama inatoa uamuzi kama Mbowe ana kesi ya kujibu au lah! Kipi hasa hawataki kusubr na kesi yenyewe imepelekwa haraka sana ili apate haki yake? Kwanini wanataka afutiwe kesi eti haina tija kwa Tanzania wala kwa CCM au Chadema? Wanaforce Rais aingilie mahakama alafu wakikaa tena wanakuja na gear yakwamba Rais haeshimu Katiba na Sheria za Nchi
 
Hao wanawake 19 sio wanachama wa chama cha Chadema kwani walishafukuzwa na kamati kuu unless wawe reinstated na Baraza Kuu kufuatia rufaa waliokata.
 
Mkuu mbona hapa wote wanapigania kitu kimoja, mbowe awe huru
... uko sahihi; hoja ya msingi huo uhuru unapatikanaje? Unyang'anywe uhuru wako kidhalimu halafu uwapigie magoti kuomba urudishiwe uhuru wako ambao ni haki yako? Dah; you better die than doing that.
 
Akifanya Lisu ana akili, akifanya Zitto ccm B. Acheni unafiki Zitto amewatangulia na hammuwezi.
Huyo Zitto mnayemtetea kiasi hicho ni nani katika nchi hii?Kati ya Zitto na Lissu nani kiongozi wa CDM?Je,baada ya Zitto kudaiwa kumwombea msamaha Mh.Mbowe,nini kilibadilika kuhusu kesi ya Mbowe?
Utetezi wa ccm kuhusu CDM kumpinga Zitto msingi wake nini?
 
Huu ndiyo ukweli kwenye hoja mbili! Leo Mahakama inatoa uamuzi kama Mbowe ana kesi ya kujibu au lah! Kipi hasa hawataki kusubr na kesi yenyewe imepelekwa haraka sana ili apate haki yake? Kwanini wanataka afutiwe kesi eti haina tija kwa Tanzania wala kwa CCM au Chadema? Wanaforce Rais aingilie mahakama alafu wakikaa tena wanakuja na gear yakwamba Rais haeshimu Katiba na Sheria za Nchi

Sent using Jamii Forums mobile app
Naam wanajaribu kumwingiza Rais ktk mtego ili mwisho wa siku aonekane kama kinara wa kuvunja katiba na sheria.

Kwa mtizamo wangu nadhani wasubiri tu mchakato wa Mahakamani kwa kuwa kesi ipo mahakamani na mahakama imejitahidi kwa kiasi kikubwa kusikiliza kesi hii haraka haraka
 
Ulaya hamna maisha ya ujanjaujanja na hivi passport tiss washapita nayo
 
Wanasiasa wenye akili kama za lissu wamekuwa adimu sana siku hizi, wengi ni wachumia tumbo wasioweza kujenga hoja
ila Zitto alipoomba hilo akaonekana kiazi !

Watanzania tuna safari ndefu sana
 
Kwa muktadha wa swala la Mbowe lilivyo, Haitaji msamaha, na wala sio sahihi kutumia neno msamaha sababu hana kosa alilofanya ambalo yahitajika aombe au aombewe msamaha.

Jaribu kuzitafakari hizi kauli mbili, Na utaona mantiki ya swala la Mbowe.
---
“mwenzetu hayupo hapa kwa sababu ana changamoto za kisheria, itafutwe namna, ASAMEHEWE” - Zitto Kabwe

“kesi ya mwenyekiti Mbowe ni 'ubatili mtupu na ushahidi ni wa uongo' na hailisaidiu taifa kwa lolote, IONDOLEWE
- Tundu Lissu

#76
Maccm mengi hayana akili ya kujua tofauti ya haya
 
BUNGE HALINA TAARIFA
Sio kweli, Magufuli ndio alikuwa engineer wa mradi huu ili awatumie hao wanawake kuhadaa wafadhili kwamba kuna wapinzani kwenye kamati mbalimbali za bunge ili iwe kigezo cha kupata Budget Support toka kwa hao wafadhili japo sidhani kama huu mpango umepata mafanikio yaliyokusudiwa.
 
.....Kuhusu suala la wabunge 19 sikubaliani na mtizamo wa Lissu

Ni mpaka pale uamuzi wa rufaa yao huko kwenye chama utakapohitimishwa

Wabunge 19 wa CHADEMA bado ni wabunge halali.. CHADEMA iache kutumia mabavu itumie haki na demokrasia. Lakini pia CHADEMA haiwezi kuwa mwamuzi wa mwisho dhidi ya wabunge .. baada ya uamuzi huo wabunge 19 wana uwezo wa kuwasilisha pingamizi mahakamani kama ilivyokuwa kwa Zitto Kabwe

Uzoefu unaonesha kuwa CHADEMA haizingatii hata utaratibu wa katiba yao ktk kumfuta mtu uanachama badala yake hutumia mabavu na maamuzi ya watu wachache waliojimilikisha chama

KUHUSU SUALA LA KUINGILIA MAHAKAMA UKWELI NI KUWA CHADEMA KTK HILI INAINGILIA UHURU WA MAHAKAMA.. KUFANYA EXTERNAL INFLUENCE JUU YA KESI ILIYOPO MAHAKAMANI NI KUINGILIA UHURU WA MAHAKAMA PIA. SEMA KWA SABABU JAMBO HILI LIMEWAGUSA WAO NA NDIYO MAANA INAONEKANA SIYO KUINGILIA UHURU WA MAHAKAMA

KWA mtizamo wangu naona kuwa suala la kesi ya Mbowe kwa kuwa tayari lipo mahakamani; tuwaachie mahakama kazi hiyo ya kutafsiri sheria na tuwaamini kuwa watafanya uamuzi wa haki.

Endapo maamuzi ya mahakama itaonekana kutoridhika upo utaratibu wa kukata rufaa
Mahakama ikikuhukumu miaka 10 na ukakata rufaa,je kipindi unasubiri rufaa ianze kusikilizwa utakuwa nje kama raia huru au utaendelea kutumikia hukumu yako ya miaka 10 mpaka hapo rufaa yako itakapohitimishwa?Same na wale wabunge 19 maadamu wamefukuzwa uanachama hawapaswi kuwepo bungeni mpaka pale rufaa zao zitakapowarejeshea uanachama na chama kuridhia wakawe wawakilishi wake.
Kuhusu suala la Mbowe kuiachia na kuamini mahakama itafanya Haki,Unataka kutuambia mahakama hizi hazijawahi kuhukumu watu kwa kuonea?Rejea hukumu ya Sugu na Mwasonga mpaka mahakama ya rufaa iliposema walionewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom