Angalau Chadema itatoka ICU maana Kakobe alikuwa anaizidi CDM kwa umaarufu, wote waliufyata angalau Sasa tutawaona kina Mbowe kwenye press conference za Lissu
Ndiyo akili yako ilipoishia hapo. Kwani uliambiwa kuna mashindano ya umaarufu kati ya Chadema na Kakobe?
Umaarufu bado anao [HASHTAG]#ngwinimkazavyuma[/HASHTAG] anayetenda maovu kila kukicha hata mkewe kuona hafai kuwa Rais wa Watanzania hivyo kugoma kumfanyia kampeni.
Uache kukurupuka na kuandika pumba.
Huyo Mkewe ni Mke Mwenzio?
Pambana kutoa Chama chako ICU sio kupambana na Rais utapasuka Msamba
Nendeni mkatubuHuyo Mkewe ni Mke Mwenzio?
Pambana kutoa Chama chako ICU sio kupambana na Rais utapasuka Msamba
Nendeni mkatubu
Shetani la lumumba hilo mkuu halitaki kutubuNdiyo akili yako ilipoishia hapo. Kwani uliambiwa kuna mashindano ya umaarufu kati ya Chadema na Kakobe?
Umaarufu bado anao [HASHTAG]#ngwinimkazavyuma[/HASHTAG] anayetenda maovu kila kukicha hata mkewe kuona hafai kuwa Rais wa Watanzania hivyo kugoma kumfanyia kampeni.
Uache kukurupuka na kuandika pumba.
Kwaiyo dhambi zenu ni viroba na madawa ya kulevyaTushatubu ndio sababu haturuhusu Tena Viroba na madawa ya kulevya Mitaani
AZAM TV si inamilikiwa na Bakhresa?
Haogopi kuulizwa uraia wake?
Th Lips of Righteousness Teach Many but Fools Die for Want of Wisdom.Mjulishe na Mwenzako hii sio ya kukosa... Vita yake anianza upya.. atapiga pembe zote unazozijua...
View attachment 663919