Yaani unafananisha, kazi ambayo vigezo vyake vyamtosha mtu wa darasa la saba mwenye kujua kusoma na kuandika dhidi ya kazi ya kitaaluma ati???yani kutoka kuwa mbunge mpaka kuwa advocacy officer?pathetic
Yaani unafananisha, kazi ambayo vigezo vyake vyamtosha mtu wa darasa la saba mwenye kujua kusoma na kuandika dhidi ya kazi ya kitaaluma ati???yani kutoka kuwa mbunge mpaka kuwa advocacy officer?pathetic
Jiwe analala na mafaili? Anakesha usiku kucha
Yeyote amchukiae Lissu hatauona uzima wa milele
Nani nafsi inamsuta kila siku ?!
Mjomba kulindwa sana watu sio ndio kuwa unaishi kwa upendo ama maisha mazuri,Allah anamvuta vuta huenda akafanya toba,Mimi naamini wale wote waliopanga njama za kumuua Lissu Allah atawahukumu kwahapa duniani adhabu ndogo,kaburini ndio kabisa hapo bado kusimama kiyama bado,Dunia isituhadae jamani
Kwahiyo kama ameweza kutuma barua ya maombi ya kazi pamoja na CV, alishindwa kweli kumtaarifu Speaker kwa maandishi au SMS? Kumbe Mh. Ndungai yuko sahihi
Jiwe anatakiwa nae amuombe msamaha TL kwa ile mvua ya Kalashnikov!!!
LA sivyo ataishi maisha ya mashaka sana! Na hatutaacha kumnanga kwa uhalifu aliomfanyia Lissu!
Jiwe anaishi kwa mashaka na wasiwasi mkubwa ndio maana ulinzi wake utafikiri nchi iko vitani
Kwa ulinzi ule nani anaishi kwa mashaka?
the word is "cantankerous"
Ni shida
Kwann asijiajili???..CCM watafura kwa HASIRA.
..Nia yao ilikuwa TL akawapigie magoti.
..faida ya kuwa na elimu na maarifa yanayotakiwa popote duniani ndiyo hiyo.
..siyo kuwa na elimu halafu huna mahali pa kwenda isipokuwa kuwa mtumwa wa CCM.
Hii haimzuiiKwahiyo hajiungi tena ACT ? ukiwa muongo usiwe msahaulifu
Bado unafanya kazi ya ulinzi?Roho Baya La Joka Moja Ikulu, Imesambaa Kwa Watu Wengine Tayari.