Diason David
JF-Expert Member
- Aug 2, 2018
- 7,562
- 7,348
Wasaliti kivipi sijakuelewa?!Taja wa wasaliti
Wasaliti kivipi sijakuelewa?!Taja wa wasaliti
Kibaya zaidi mtahukumiwa hukumu Sawa na wewe unaezini na kuiba kukuMjomba kulindwa sana watu sio ndio kuwa unaishi kwa upendo ama maisha mazuri,Allah anamvuta vuta huenda akafanya toba,Mimi naamini wale wote waliopanga njama za kumuua Lissu Allah atawahukumu kwahapa duniani adhabu ndogo,kaburini ndio kabisa hapo bado kusimama kiyama bado,Dunia isituhadae jamani
Nenda na wewe kabebe boxMbeba box ulaya ana maisha kuliko mbunge wa Tz.
Jiwe anatakiwa nae amuombe msamaha TL kwa ile mvua ya Kalashnikov!!!
LA sivyo ataishi maisha ya mashaka sana! Na hatutaacha kumnanga kwa uhalifu aliomfanyia Lissu!
Mmh mi nilijua 2020 lissu anagombea uraisi?Miafrika inaroho mbaya sana,.Kapigwa lisasi imefurahi, kavuliwa ubunge imefurahi zaidi. Leo kusikia anaweza pata dili imechefuka rohoni chefuuuu!
Utashangaa wakatuma ujumbe serikali inamuitaji!
Nenda na wewe kabebe box
Kunywa mirinda nyeus ya jero nalipaCha kushangaza maisha ya Mashaka Unaishi wewe badala ya jiwe...
Very candangalas
Ndoto za kugombea uraisi zimeyeyuka? Bavicha bana mnaji mix tu!Shida nini kama mshahara wa ubunge ni USD 6000 kwa mwezi huku kua officer unaramba USD 9500 baada ya kodi..........shida ya akili za ki-CCM na KICHADEMA zimekaa kinjaa njaa tu kuhisi ubunge ndio kazi inayolipa duniani.
Au unadhani naye ni mpuuzi kama wewe alienda kusoma ili awe maarufu na si kukidhi basics needs zake
Mmh mi nilijua 2020 lissu anagombea uraisi?
Mmh achana na waliotaka kumuua lissu, wewe mwenyewe tu utahukumiwa na hata huyo lissu sio malaika kana kwamba hatahukumiwa! Kwa suala la kuhukumiwa kila mtu ajiandaeMjomba kulindwa sana watu sio ndio kuwa unaishi kwa upendo ama maisha mazuri,Allah anamvuta vuta huenda akafanya toba,Mimi naamini wale wote waliopanga njama za kumuua Lissu Allah atawahukumu kwahapa duniani adhabu ndogo,kaburini ndio kabisa hapo bado kusimama kiyama bado,Dunia isituhadae jamani
yani kutoka kuwa mbunge mpaka kuwa advocacy officer?pathetic
yani kutoka kuwa mbunge mpaka kuwa advocacy officer?pathetic
Ungejibu hoja yake badala ya kujificha kwenye neno taswiraKama hufahamu maana ya taswira unauliza nini kama sio ujuha? Go back to school.
Jf raha sana ! mtu yuko Mbagala Kiburugwa lakini anajifanya yuko Brussels !Ndugu zangu,
Kama hatabadilisha maamuzi basi Tundu Lissu ataanza kazi katika taasisi moja nchini Ubelgiji kama "advocacy officer".
Japo dili hili linamchanganya kuanza au kutoanza kufanya Ila amepewa hadi tarehe 20.09.2019 ili kuthibitisha kama atafanya au la,japo hata asipothibitisha wadau wamekubali kugharamia maisha yake ughaibuni.
Muda utaamua.
Wakudadavuwa
Brussels
Uzuri wa JF ndio huu , mtu yuko Mbagala Kiburugwa lakini anajifanya yuko BrusselsNdugu zangu,
Kama hatabadilisha maamuzi basi Tundu Lissu ataanza kazi katika taasisi moja nchini Ubelgiji kama "advocacy officer".
Japo dili hili linamchanganya kuanza au kutoanza kufanya Ila amepewa hadi tarehe 20.09.2019 ili kuthibitisha kama atafanya au la,japo hata asipothibitisha wadau wamekubali kugharamia maisha yake ughaibuni.
Muda utaamua.
Wakudadavuwa
Brussels
Ungejibu hoja yake badala ya kujificha kwenye neno taswira
Ndugai mbna yupo sahihi, yaliyobak ni maigizo ya katiba na kuonyeshana umahiri wa kujua vifungu vya sheriaKwahiyo kama ameweza kutuma barua ya maombi ya kazi pamoja na CV, alishindwa kweli kumtaarifu Speaker kwa maandishi au SMS? Kumbe Mh. Ndungai yuko sahihi
yani kutoka kuwa mbunge mpaka kuwa advocacy officer?pathetic
Lumumba mnachekesha kweli eti Wakudadavuwa Brussels, hata JKN airport hujawahi kanyaga.Ndugu zangu,
Kama hatabadilisha maamuzi basi Tundu Lissu ataanza kazi katika taasisi moja nchini Ubelgiji kama "advocacy officer".
Japo dili hili linamchanganya kuanza au kutoanza kufanya Ila amepewa hadi tarehe 20.09.2019 ili kuthibitisha kama atafanya au la,japo hata asipothibitisha wadau wamekubali kugharamia maisha yake ughaibuni.
Muda utaamua.
Wakudadavuwa
Brussels