Aisee. Awamu hii CCM Haina hiyana na mabeberu na misaada yao. Porojo za kujitegemea za awamu ya tano tia pipani! Kweli usipokuwapo na lako halipo.Kesho utasikia EU waimiminia misaada Tanzania.
Wazungu siyo wajinga wanajua tofauti ya mbwa na mwenye mbwa kwa sababu wao ni rafiki sana wa mbwa majumbani mwao!
Waliingia na gia ya kumsifia,wakijua ukimsifu baaasi analegea,hawakujua huyu ni mtemi Hangaya,kawatolea nje.Tumetumia miaka 5 tukimkosoa Magufuli arudishe utawala wa Sheria na democracy nchini. Tulimchallenge dhidi ya vitendo vya kuteka na kuua, kunyang'anya fedha matajiri na kutumia raslimali za umma kujenga Kijijini kwake Chato.
Amekuja Rais SSH, amebadili hali ya hewa kisiasa na kiuchumi nchini. Na mwanzoni hata nyinyi CHADEMA mulimshangilia kuwa MAMA ANAIPIGA MWINGI.
Sasa mumefanya UPUMBAVU WENU wa kukosa busara na subira, mnataka na Mimi niwaunge mkono?? No hiyo itafanywa na MISUKULE ya Mbowe tu, not me
Kwani mleta mada amesema nini kinachomuhusu lissu kwenye picha hiyo?Sasa David Mc Alister anahusika nini na SOVEREIGNTY ya Tanzania?!!!!!
Ujinga mwingine abaki nao huyu mzururaji anayetukuza WAZUNGU NA MAMBO YAO YOTE......
Mzungu alimtumia Saddam Hussein na Gaddafi na mwishowe wote ni mashuhuda kwa kilichotokea......Sasa Tundu Lissu atafika lini huko?!!!!
Dunia imejaa WANAHARAKATI.....maajabu hakuna.....
miafrika wew nanani?? em jaribu kujiweka ktk ilo group la wajinga wew mwenyewe, sio kuwaingiza hata wasiohusika, hujui akili za kila mwafrika ziko vipi, acha chuki zakipuuziWazungu ni wakimbizi acha ufala. Huoni walivyo muassassinate gadafi kwa kuwa alikuwa anawanyanyasa sana wapinzani. Jpm ameua na kupiga risasi wapinzani na yeye wazungu wakatusaidia kumfyekelea mbali. Hivyo wazungu wanamsaada sana . Wazungu wasingekuwepo tungechinjana sana mana miafrika hatuna akili lazima tuwe regulated ili tuishi kwa kuheshimiana.
Tena ni matokeo ya demokrasia pevu katika nchi za mabeberu ambapo wananchi wa nchi hizo walijitokeza kwa wingi zaidi kushinikiza serikali zao kuwekea vikwazo vikali zaidi serikali na makampuni ya makaburu hadi waache mfumo wa apartheid na kuwaachia huru kina Mandela...mabadiliko ya Afrika Kusini yalipatikana baada ya mabeberu kupunguza kwa kiwango kikubwa support yao kwa utawala wa makaburu.
Na yeye JPM wazungu wakatusaidia kumfyekelea mbali.Wazungu ni wakimbizi acha ufala. Huoni walivyo muassassinate gadafi kwa kuwa alikuwa anawanyanyasa sana wapinzani. Jpm ameua na kupiga risasi wapinzani na yeye wazungu wakatusaidia kumfyekelea mbali. Hivyo wazungu wanamsaada sana . Wazungu wasingekuwepo tungechinjana sana mana miafrika hatuna akili lazima tuwe regulated ili tuishi kwa kuheshimiana.
Mbaya wake aliyetaka kumuua ni nani?Mr belgiji kakenua meno utafikiri kamuona Mungu.
Hivi kinachofanya Lisu aendelee kukaa kwa beberu ni nini wakati mbaya wake alishakufa?
Yawezekuwa alimwona pindi shetani alivyotaka kuichomoa roho take kilatili🤔.Mbaya wake aliyetaka kumuua ni nani?
Mbowe ni GAIDI...
HAYA MENGINE MAIGIZO TU!
Kwa nini hamtaki kumrudisha dereva wa Lissu aje atowe maelezo yeye alipona vipi risasi ilhali yeye ndie alikuwa upande wa mpigaji?
Chadema bhana!
Hao EU Ndio haohao. Juzi kati walimuahidi Samia kufanya nae kazi bega kwa bega!
Hapo lissu kamtembelea sh**a mwenzake na wakaongea na kunywa kahawa na kupiga picha.
Yule wakili wenu Amsterdam aliishia wapi vile?
Huyu unae mtukana anakupigania lkn kwa vile miafrica tuna laana unaamuka kubwatuka Kama takoUnaweza kukuta huyo mzungu anamchumbia lisu
USSR
Hasie penda madaraka Nani Katiba mpya imeletereza mpk kesi ya ugaidi kwanini upo upo Kama mbwa poliYani anatafuta madaraka na manufaa binafsi ya kisiasa kwa kuomba watanzania wenzie wasisaidiwe.
Ivi uyu anautofauti gani na waasi tunaowasikiaga uko kongo?
Mi sahihi kabisa mzungu anajua utu wa mtu ata iweje mwafrica sisi ni chunusi kabisa just imagine mzungu hasingekuwepo dunia hii Hawa viongozi wangekuwa wanatuchinja mchana kweupeWakati wa jpm chadema ilikuwa inaonekana kama takataka. Hata wakishinda mkurugenzi anaambiwa atangaze mwanaccm hivyo hivyo bila kujali ukifanya mikutano mkutano mzima unazungukwa na pilisi au mnapigwa mabomu tena riasi za moto. Sasa unaona viongozi wa kiafrika ni watu au mashetani. Si bora mzungu akutawale tu