4G LTE
JF-Expert Member
- Aug 4, 2015
- 6,777
- 10,533
Ni aibu nimeishuhudia mimi wakongwe juu wakilaumiana kilichompeleka balozi kujibizana ni nini ilihali hawezi kucontrol emotional zake hadi kushindwa kujibu swali kwanini wapinzani hawakauki korokoroni?Balozi aibu? Ulikuwa una sikiliza upande mmoja.
Hata ndani ya JF kila mmoja na hoja yake. Mimi nnaamini Tundu Lissu hakutaka kuuliwa kwa bahati mbaya.
Sitaki kuwa nje ya objective zako. Lissu alionekana kama msaliti kwenye serikali hii hadi amiri jeshi mkuu akasema askari wanajua kazi kwa wasaliti.
Sent using Jamii Forums mobile app