Tundu Lissu katoa somo sana katika siasa za Tanzania

technically

JF-Expert Member
Jul 3, 2016
11,956
48,752
Upinzani hasa Tundu Lissu na Chadema umeshinda kwa 100% ajenda zao zote walizozisimamia Leo mama Samia ndio anazifanyia kazi .

Nakumbuka Tundu Lissu alizunguka nchi na kukusanya maelfu ya watu na kuwaambia ukweli juu ya utawala wa Magufuli.

Watu walielewa ila somo halikuwaingia waliokuwa watawala wa utawala wa Hayati Magufuli.

Sasa Mama anawaumbua kwamba ukitaka kutawala vema lazima usimamie kile watu wengi wanachokitaka.

Kuanzia Sera za uchumi
Sera za elimu
Sakata la corona
Swala la Democrasia
Maswala ya TRA
Jinsi ya kuvuta wawekezaji
Uhuru wa vyombo vya habari
Kuongeza mishahara kwa wafanyakazi
Ajira mpya kwa vijana
Hali ya mahakama na binge kuwa hoi

Ukisikiliza hotuba za Lissu wakati anazunguka nchi mwaka Jana ndio utanielewa.

Leo ndio wimbo wa taifa wa chama kile kile kilicho madarakani.

Liwe fundisho kwa watawala wa kiafrika kuwa tunatakiwa kuwa na siasa za hoja sio polojo na publicity kama ilivyokuwa utawala wa Magufuli.

Kwamba Leo waliokejeli hoja za Tundu lissu Leo ndio vipaza sauti wa hoja hizo hizo za Mama samia.

Tujifunze kuweke akiba ya maneno.
 
Mwendazake alikuwa ni Ŕais wa ajabu kutokea duniani - nchi inarudi where it used to be we hope, wabunge mlioingia mjengoni kwa mgongo wa mwendazake kuleni hela za mwisho mwisho ili mstaafu.
Barua ya Mwanasheria Tito ina ukweli 99%. Mama Samia una kazi kubwa sana kuirudisha nchi yetu hapo ilipokuwepo awali hasa jambo la udugu na upendo...haki za binafamu na utawala wa sheria mwendazake kavuruga kila sehemu
 
Siku zote na jua upande wa pili (upinzani huwa unamulika pale serikali ilipokosea au kushindwa na nn kinatakiwa) ila kwa huku Africa na baadhi nchi za mashariki ya kati inaonekana upinzani unataka kuwanyang'anya keki mdomoni,, kumbe siyo) chama changu cha CCM tusipo angalia tutukuja kuondoka madarakani bila kupenda,, kwa viboko,, kupigwa mawe,, kwa kushindwa kuongoza nchi!!!!
 
Sasa TUMECHOKA na hotuba awaambie mawaziri wake waanze KUCHAPA KAZI!😔😔😔
 
Upinzani hasa Tundu Lissu na Chadema umeshinda kwa 100% ajenda zao zote walizozisimamia Leo mama Samia ndio anazifanyia kazi .

Nakumbuka Tundu Lissu alizunguka nchi na kukusanya maelfu ya watu na kuwaambia ukweli juu ya utawala wa Magufuli.

Watu walielewa ila somo halikuwaingia waliokuwa watawala wa utawala wa Hayati Magufuli.

Sasa Mama anawaumbua kwamba ukitaka kutawala vema lazima usimamie kile watu wengi wanachokitaka.

Kuanzia Sera za uchumi
Sera za elimu
Sakata la corona
Swala la Democrasia
Maswala ya TRA
Jinsi ya kuvuta wawekezaji
Uhuru wa vyombo vya habari
Kuongeza mishahara kwa wafanyakazi
Ajira mpya kwa vijana
Hali ya mahakama na binge kuwa hoi


Ukisikiliza hotuba za lissu wakati anazunguka nchi mwaka Jana ndio utanielewa.

Leo ndio wimbo wa taifa wa chama kile kile kilicho madarakani.

Liwe fundisho kwa watawala wa kiafrika kuwa tunatakiwa kuwa na siasa za hoja sio polojo na publicity kama ilivyokuwa utawala wa Magufuli.

Kwamba Leo waliokejeli hoja za Tundu lissu Leo ndio vipaza sauti wa hoja hizo hizo za Mama samia.

Tujifunze kuweke akiba ya maneno.
Endeleeni kujiliwaza. Watanzania hawawezi kumchagua Kichaa Lissu!
 
Upinzani hasa Tundu Lissu na Chadema umeshinda kwa 100% ajenda zao zote walizozisimamia Leo mama Samia ndio anazifanyia kazi .

Nakumbuka Tundu Lissu alizunguka nchi na kukusanya maelfu ya watu na kuwaambia ukweli juu ya utawala wa Magufuli.

Watu walielewa ila somo halikuwaingia waliokuwa watawala wa utawala wa Hayati Magufuli.

Sasa Mama anawaumbua kwamba ukitaka kutawala vema lazima usimamie kile watu wengi wanachokitaka.

Kuanzia Sera za uchumi
Sera za elimu
Sakata la corona
Swala la Democrasia
Maswala ya TRA
Jinsi ya kuvuta wawekezaji
Uhuru wa vyombo vya habari
Kuongeza mishahara kwa wafanyakazi
Ajira mpya kwa vijana
Hali ya mahakama na binge kuwa hoi


Ukisikiliza hotuba za lissu wakati anazunguka nchi mwaka Jana ndio utanielewa.

Leo ndio wimbo wa taifa wa chama kile kile kilicho madarakani.

Liwe fundisho kwa watawala wa kiafrika kuwa tunatakiwa kuwa na siasa za hoja sio polojo na publicity kama ilivyokuwa utawala wa Magufuli.

Kwamba Leo waliokejeli hoja za Tundu lissu Leo ndio vipaza sauti wa hoja hizo hizo za Mama samia.

Tujifunze kuweke akiba ya maneno.
wewe mbowe komaa
 
Upinzani hasa Tundu Lissu na Chadema umeshinda kwa 100% ajenda zao zote walizozisimamia Leo mama Samia ndio anazifanyia kazi .

Nakumbuka Tundu Lissu alizunguka nchi na kukusanya maelfu ya watu na kuwaambia ukweli juu ya utawala wa Magufuli.

Watu walielewa ila somo halikuwaingia waliokuwa watawala wa utawala wa Hayati Magufuli.

Sasa Mama anawaumbua kwamba ukitaka kutawala vema lazima usimamie kile watu wengi wanachokitaka.

Kuanzia Sera za uchumi
Sera za elimu
Sakata la corona
Swala la Democrasia
Maswala ya TRA
Jinsi ya kuvuta wawekezaji
Uhuru wa vyombo vya habari
Kuongeza mishahara kwa wafanyakazi
Ajira mpya kwa vijana
Hali ya mahakama na binge kuwa hoi


Ukisikiliza hotuba za lissu wakati anazunguka nchi mwaka Jana ndio utanielewa.

Leo ndio wimbo wa taifa wa chama kile kile kilicho madarakani.

Liwe fundisho kwa watawala wa kiafrika kuwa tunatakiwa kuwa na siasa za hoja sio polojo na publicity kama ilivyokuwa utawala wa Magufuli.

Kwamba Leo waliokejeli hoja za Tundu lissu Leo ndio vipaza sauti wa hoja hizo hizo za Mama samia.

Tujifunze kuweke akiba ya maneno.
Huyo ndio maana ya mawazo mbadala na sii uadui ili manufaa ya wachache yapatikane.
 
Maajabu kutoka kwa Nyumbu wa Ufipa.
Wagombea wote wa uchaguzi CCM na wapinzani walihubiri haya mambo tangia kampeni za miaka ya 1995 huko,eti leo hii Nyumbu mmoja anasema Lisu ndo ameanzisha hili somo!!.
Mpeni"hi"Mdude mwambieni wembe wa sasa unakata upande wa pili.
 
27 Reactions
Reply
Back
Top Bottom