Kweli nakuunga mkono jamaangu. Hivyo hata tukiitwa "wapumbavu" hapa Tz kama bado tuna watu ka weye baasi bwana nimekubali tu wapumbavu. Hivi kwako wapinzani ni mabaradhuli au? Hivi unajua hata kama ni chama kimoja wakiitisha uchaguzi maanake ni kuwa kujitokeze wa kumpinga aliyeko madarakani?? Sasa kama hawatakaa washinde, uchaguzi ni wa nini?? Hayo mahela yooote wanayokwenda kuyamwaga kwa gharama za uchaguzi ambao hakuna mshindani si akheri wangenunua mchele wakagawia kila familia Tz tukala wali??Wapinzani ni watu wa kushangaza sana, yani kweli wana matumaini ya kushinda uchaguzi huu. Hahah hakuna rangi wataacha kuona