Tundu Lissu: Kama risasi 16 za 'watu wasiojulikana' waliotumwa kuniua hazikuninyamazisha, kuninyang'anya mshahara hakutaweza kuninyamazisha

Hoja iko palepale kwanini mtu alipwe posho wakati hayuko kazini? Kwanini posho ya dereva ilipwe wakati dereva hayuko ubelgiji? Na bosi wake hana gari huko? Kwanini alipwe posho ya mafuta wakati kalazwa wodini? Mbona watumishi wengine wakiugua posho zinasimama na analipwa nusu mshahara na badae anafutwa kazi?

Mgonjwa yuko wodini cnn alikuwa anatibiwa nini? Tena balozi wetu masilingi alienda akamwona hapohapo cnn.
 
Mkuu chukua hatua,kuna ofisi ya kijiji/mtaa,ofisi ya kata/tarafa/ kuna diwani,mbunge,Mkuu wa wilaya ,Mkurugenzi wa wilaya,Afisa elimu na hao waote ni viongozi.Ungeamsha hio bongo lala yako ofiki uwaone uwaeleze na wakueleze wanachofanya kutatua hilo tatizo.
Miaka 57 ya uhuru umeshindwa sasa ndiyo utatatua tatizo?
Hao uliowataja kwani hawajui tatizo?
Tatizo kipaumbele mpo tayari kumhonga mpinzani ahame chama na mrudie uchaguzi kuliko kununua vitanda au kupeleka maji shuleni
 
Hapo unamaanisha Taifa au Serikali?

Kwa nini siyo Magufuli hapa?

Hadi hapo umeshabadilika mweshimiwa, haukuwa hivi. Kama ilivyo asili ya wenye chama linapokuja suala la pesa, umefanana nao kabisa

Mweshimiwa hapa ndiyo kwenye msingi wa hoja yenyewe, umeongelea mambo mengi mengine ambayo hayahusiani na kilichotokea hapa ukapaongelea kijuu juu sana, siyo kwa bahati mbaya, najua.
Mweshimiwa hembu wafahamishe watanzania wenzako na wapenda haki popote walipo taratibu za kupata kibali cha spika zipoje, na kama utakuwa umepata nafuu uwahakikishie kuwa ulizifuata wapate kukutete kwa hoja


Pole mgonjwa! Hope unachougua siyo zaidi ya hayo majeraha 16 ya risasi. Ugua pole na Mungu akakuponye

Mweshimiwa hembu wafahamishe watanzania wenzako na wapenda haki popote walipo taratibu za kupata kibali cha spika zipoje, na kama utakuwa umepata nafuu uwahakikishie kuwa ulizifuata wapate kukutete kwa hoja.

Sijuwi unataka Lissu yupi akuhakikishie kama alifuata taratibu za kupata kibali maana Lissu ninayemfahamu mimi wa Sept 7,mchana, alikuwa mahututi,hajitambuwi au nusu mfu kwa hiyo hakushiriki uamuzi wowote juu ya matibabu yake.

Hizo buku 7 zenu zinawaondolea UTU kabisa.
 
Tatizo la lissu ni ubinafsi anaangalia maslahi yake binafsi na sio maslahi ya taifa, marazote anaponyimwa kitu anadai mbona fulani anapewa? Huo ni utoto, badala ya kupigania yeye kama yeye anaanza kuingiza na wengine.
 
Mnaomzungumzia mkono, kwani ameonekana cnn? Tatizo wakwenu kaonekana cnn, sasa ulazwe muhimbili uonekane kwenye kitchen party arusha halafu useme unaonewa? Kivipi?
 
Mnaomzungumzia mkono, kwani ameonekana cnn? Tatizo wakwenu kaonekana cnn, sasa ulazwe muhimbili uonekane kwenye kitchen party arusha halafu useme unaonewa? Kivipi?

Hili Jambo litazame sana kwa jicho la tatu na athari zake. Kiuchumi,kisiasa,kimahusiano lakini pia tazama mioyo ya watu imehifadhi nini.
 
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu!

Wote tunajua karibia kazi zote za wabunge zinakwenda sambamba na malipo ya allowance ( posho), ikiwemo kuhudhuria bungeni pamoja na vikao vya kamati.

Pale jimboni mbunge ana ofisi na kuna katibu ambaye humsaidia mbunge katika kutekeleza majukumu yake hivyo hata kama mbunge hayupo ofisi yake ipo na kazi zinaendelea kwa sababu tunaishi katika dunia ya teknolojia.

Juzikati hapa mbunge wa Tarime mjini alikuwa mahabusu kule Segerea jijini Dsm karibia km 1000 kutoka jimboni kwake lakini ofisi yake iliendelea kutoa Huduma ikiwemo kununua mabati na vifaa vingine kwa shule mbalimbali.

Binafsi sijawahi kuwasikia wapiga kura wa Singida mashariki wakilalamika kukosa Huduma za ofisi ya mbunge, ndio kusema kazi zinafanyika.

Point yangu ni kuwa Tundu Antipas Lisu kunyimwa posho mbalimbali ni sawa kabisa kwa utaratibu wa jinsi ya kulipwa posho hizo umeanishwa.
Ila kwenye kuzuia mshahara wake napata taabu kidogo na ndio najiuliza kwani mbunge anatakiwa afanye kazi zipi ndipo alipwe mshahara....... Kazi ambazo kwa sasa hazifanyiki pale Singida mashariki kwa sababu Lisu yuko katika sayari nyingine?

Ikumbukwe kuwa bunge letu ndio kioo na kitovu cha kuonyesha namna haki inavyopaswa kutendeka ili sisi wengine tujifunze kupitia hapo.... Na lisituachie shaka hata kidogo kwa kila uamuzi linaochukua.

Niendelee kuwatakia Kwaresma yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
Endeleeni kumtetea Jiwe ipo siku mtakuja kujutia nafsi zenu!
 
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu!

Wote tunajua karibia kazi zote za wabunge zinakwenda sambamba na malipo ya allowance ( posho), ikiwemo kuhudhuria bungeni pamoja na vikao vya kamati.

Pale jimboni mbunge ana ofisi na kuna katibu ambaye humsaidia mbunge katika kutekeleza majukumu yake hivyo hata kama mbunge hayupo ofisi yake ipo na kazi zinaendelea kwa sababu tunaishi katika dunia ya teknolojia.

Juzikati hapa mbunge wa Tarime mjini alikuwa mahabusu kule Segerea jijini Dsm karibia km 1000 kutoka jimboni kwake lakini ofisi yake iliendelea kutoa Huduma ikiwemo kununua mabati na vifaa vingine kwa shule mbalimbali.

Binafsi sijawahi kuwasikia wapiga kura wa Singida mashariki wakilalamika kukosa Huduma za ofisi ya mbunge, ndio kusema kazi zinafanyika.

Point yangu ni kuwa Tundu Antipas Lisu kunyimwa posho mbalimbali ni sawa kabisa kwa utaratibu wa jinsi ya kulipwa posho hizo umeanishwa.
Ila kwenye kuzuia mshahara wake napata taabu kidogo na ndio najiuliza kwani mbunge anatakiwa afanye kazi zipi ndipo alipwe mshahara....... Kazi ambazo kwa sasa hazifanyiki pale Singida mashariki kwa sababu Lisu yuko katika sayari nyingine?

Ikumbukwe kuwa bunge letu ndio kioo na kitovu cha kuonyesha namna haki inavyopaswa kutendeka ili sisi wengine tujifunze kupitia hapo.... Na lisituachie shaka hata kidogo kwa kila uamuzi linaochukua.

Niendelee kuwatakia Kwaresma yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!

Yohana!!
 
Kama hafati sheria walizonazo huko Bungeni.. anyamaze tu.
Blah blah zote hizo anafikiri wenye chama watampa mwanya wa kuwania uraisi..
Tangu aombe ombe pesa kwa kudanganya vipi.. bado anazo? Kama gangwe kweli asingelia lia tena..
Pathetic...
Ni sheria gani amevunja kama unaijua?
Tuambie kifungu gani cha katiba ya nchi kimevunjwa...
Mwenye blah blah ni wewe unaekuja bila ushahidi.
 
Sijuwi unataka Lissu yupi akuhakikishie kama alifuata taratibu za kupata kibali maana Lissu ninayemfahamu mimi wa Sept 7,mchana, alikuwa mahututi,hajitambuwi au nusu mfu kwa hiyo hakushiriki uamuzi wowote juu ya matibabu yake.

Hizo buku 7 zenu zinawaondolea UTU kabisa.
Kwamba tararibu zinataka mbunge akipigwa risasi 16 mchana wa tarehe 7 Septemba ndo inakuwa kibali cha spika we taahira?
 
Watajibu tu kama ya pesa za wahisani 6.7% Abbas akasema 69%.
Nimesoma humu JF jioni hii kuwa Uongozi wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania umesimamisha rasmi mshahara wa Mbunge wa Singida Mashariki Tundu A.M. Lissu kwa kile kinachotajwa kuwa Bunge halijui/halina taarifa juu ya alipo Mbunge huyo.

Kwa nimjuavyo Mbunge Lissu,kama habari hiyo ni ya kweli,hawezi kunyamaza na kuacha jambo hilo lipite kimyakimya. Natarajia kumuona na kumsikia Lissu akieleza,kuchambua na kuanika kila jambo linalohusu jambo hilo. Ni kama Lissu amepewa mada mpya ya kuiandikia na kuisemea baada ya ukimya wake wa siku kadhaa.

Kama ndivyo,wahusika wajiandae na majibu kwa yatakayoandikwa na kusemwa na Lissu juu ya suala hilo mapema. Yetu ni macho na masikio huku chaguzi zikikaribia kwa kasi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tufanye kweli lakini si akikuwa anakuja na kuondoka? Sasa yeye Lissu akimaliza anaenda kusema kwa wazungu. anazurura dunia nzima. hii si zarau kweli?
TL alishambuliwa kwa risasi 16 Wala haumwi Busha mkuu.
Swala la kuzurura ni kukosa hoja kwa ccm na serikali yake ambayo inajiita nchi.
Nani kiongozi wa bunge au serikali anajua maendeleo yako kama mgonjwa aje aseme amepona anazurura?
Hamtaki afanye mazoezi.??. . Uchunguzi umewashinda mnakuja na hoja ya anazurura kweli?.
 
Kama hafati sheria walizonazo huko Bungeni.. anyamaze tu.
Blah blah zote hizo anafikiri wenye chama watampa mwanya wa kuwania uraisi..
Tangu aombe ombe pesa kwa kudanganya vipi.. bado anazo? Kama gangwe kweli asingelia lia tena..

Mama haya mambo yanarudi kwako usikandamize anayeonewa maana na wewe au familia yako mahala fulani itakandamizwa mara 100. TUBU ili laana kama hizi zisikupate
 
Jiwe anachekesha kweli ,sijui anafikiri yeye ni Mungu hata akimnyima mshahara wake atashindwa kuishi .Amefukuza na kutumbua wangapi kwa kuwaonea lakini mpaka Leo wanaishi wao na familia zao yeye sio Mungu ni rais tu na wala hafiki popote .

Sasa km anaishi unalalamika nn!?Mwenzio TL amechoka kutoa tigo...maana pesa ya bepar haitoki buree...najua mnampenda rungu limeishamuangukia nakushauri wewe na mnaomuhurumia kamsaidieni kutoa tigooo
 
Hakuna majibu , nani wa kuandaa majibu zuzu anawapelekesha vibaya hata akiwaambia kufanya vitu vya ajabu wao wanafanya tu Hakuna kuhoji .
 
Back
Top Bottom