mkafrend
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 3,047
- 1,503
Sasa ni wazi kabisa kuwa tunatawaliwa na dikteta
Acha upuuzi huo - kama ni mara ya kwanza kufahamu neno hilo mbona bado unamwita Mbowe Mwenyekiti pamoja na kusalia kwenye nafasi hiyo kwa miongo kibao?