seedfarm
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 260
- 2,654
Members, Mahojiano aliyoyafanya Mwandishi Jenerali Ulimwengu kupitia Jeneralionline pamoja na Tundu Lissu kuna mambo ya msingi Tundu Lissu amehoji.
Mosi: Je, mkataba wa kujenga uwanja wa ndege Chato lini ulipelekwa bungeni? Ni Mtanzania gani anafahamu kilichoandikwa ndani ya mkataba huo, Adai serikali inaleta maneno matamu tu kama zamani.
Pili, Mkataba wa stiglers gorge lini ulipelekwa bungeni ili kuhakiki kinachoandikwa na kusemwa ni kweli, adai haya mambo ya kuficha mkataba hakuna mwenye uchungu na rasilimali zetu, adai kwanini iwe siri.
Tatu, adai kwenye madini ni maneno tu yanazungumzwa, mkataba wa madini kati ya Barrick na Tanzania hujawahi peleka bungeni kujadiliwa, adai wanaongea tu majukwaani kupamba the mambo. Tundu Lissu anadai hakuna anayepigania madini nchi hii kwani mikataba imekuwa ikifichwa awamu zote mpaka sasa.
Tundu Lissu anadai yeye amekuwa akiomba mikataba iwe wazi tangu enzi za Mkapa mpaka sasa hii mikataba mipya inafichwa.
Je, kuna anayefahamu ukweli wa mambo haya, Mkataba wa uwanja wa ndege Chato nani anafahamu?
Je, na huu mkataba wa Barrick na Tanzania nani aliwahi kuuona, nini yameandikwa ndani ya mkataba?
Je, na ujenzi wa Stiglers Gorge nini kimeandikwa ndani ya mkataba na lini bunge lilijadili?
Mosi: Je, mkataba wa kujenga uwanja wa ndege Chato lini ulipelekwa bungeni? Ni Mtanzania gani anafahamu kilichoandikwa ndani ya mkataba huo, Adai serikali inaleta maneno matamu tu kama zamani.
Pili, Mkataba wa stiglers gorge lini ulipelekwa bungeni ili kuhakiki kinachoandikwa na kusemwa ni kweli, adai haya mambo ya kuficha mkataba hakuna mwenye uchungu na rasilimali zetu, adai kwanini iwe siri.
Tatu, adai kwenye madini ni maneno tu yanazungumzwa, mkataba wa madini kati ya Barrick na Tanzania hujawahi peleka bungeni kujadiliwa, adai wanaongea tu majukwaani kupamba the mambo. Tundu Lissu anadai hakuna anayepigania madini nchi hii kwani mikataba imekuwa ikifichwa awamu zote mpaka sasa.
Tundu Lissu anadai yeye amekuwa akiomba mikataba iwe wazi tangu enzi za Mkapa mpaka sasa hii mikataba mipya inafichwa.
Je, kuna anayefahamu ukweli wa mambo haya, Mkataba wa uwanja wa ndege Chato nani anafahamu?
Je, na huu mkataba wa Barrick na Tanzania nani aliwahi kuuona, nini yameandikwa ndani ya mkataba?
Je, na ujenzi wa Stiglers Gorge nini kimeandikwa ndani ya mkataba na lini bunge lilijadili?