Tundu Lissu - Je kafanya tuliyotarajia?

Wana JF nakumbuka November 2010 niliwaletea taarifa za matokeo ya ubunge jimbo la Singida mashariki, ambapo Tundu Lissu alikuwa akiongoza.
Wachangiaji walionyesha matarajio makubwa ya mchango wake bungeni.
Hebu pitia thread ile na uone michango ya watu na linganisha utendaji wa Lissu kwa kipindi hiki kifupi bungeni.

https://www.jamiiforums.com/tanzania-2010-2015/82601-tundu-lissu-naye-mwendo-mdundo.html

It is true. Tundu Lisu amekidhi matarajio ya Waliomchagua. Kama ingelikuwa sio yeye miswada yenye makosa/iliyochakachuliwa /fake mingi ingelipita unnoticed!!! Amekidhi mahitaji
 
Wana JF nakumbuka November 2010 niliwaletea taarifa za matokeo ya ubunge jimbo la Singida mashariki, ambapo Tundu Lissu alikuwa akiongoza.
Wachangiaji walionyesha matarajio makubwa ya mchango wake bungeni.
Hebu pitia thread ile na uone michango ya watu na linganisha utendaji wa Lissu kwa kipindi hiki kifupi bungeni.

https://www.jamiiforums.com/tanzania-2010-2015/82601-tundu-lissu-naye-mwendo-mdundo.html

Tuna kila sababu ya kumshukuru Mungu kupata jembe T.A.M.Lissu, lakin awe mwangalifu kwani kura zake alipigiwa na watu wa jimbo lake sio watanzania wote, Mulika nyoka huanzia miguuni pake.
 
Ukitaka kufahamu zaidi jinsi alivyotimiza matarajio ya wapigakura wake fika ofisi za mkoa wa Singida, siku hizi hakuna miradi hewa!!! kisa Tundu Lissu atawaumbua!
 
Tuna kila sababu ya kumshukuru Mungu kupata jembe T.A.M.Lissu, lakin awe mwangalifu kwani kura zake alipigiwa na watu wa jimbo lake sio watanzania wote, Mulika nyoka huanzia miguuni pake.

Ndugu Msambaru unataka kusema jamaa hajafanya kitu jimboni?! Kama kuna kitu unataka kifanywe, tafadhali wasiliana na mbunge wako. Nijuavyo mambo makubwa kafanya huko...has ile kuondoa unyanyasaji wa watu na serikali. Ni swala la kumpa ushirikiano, na is kukaa kutegemea afanye kila kitu.

Ila ujue Tundu kabla ya kuja kugombea ubunge alikuwa akilitumikia taifa kwa njia ya uanaharakati, akitetea haki za wanyonge kitaifa. Sitegemei unataka aache kazi hiyo ati kwa kuwa amekuwa mbunge... ataendelea kulitetea taifa hili mpaka ukombozi upatikane.
 
hii ni machine safiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! tungekuwa na watu wenye kujituma kutumia taaluma zao kama huyu ninaimani tungekuwa tume piga hatua kwenye mambo mengi sana
 
T. L. anastahili pongezi si kwa jimbo lake tu pia kwa Taifa zima. Lakini inasikitisha hatuoni anayefaa kuchambuliwa utendaji wake huko ccm si ndani ya chama wala serikalini mara nyingi tumewachambua viongozi wa Cdm. Yawezekana wenzetu wanayofanya wananchi wakiyajua watapigwa mawe.
 
Ndugu Msambaru unataka kusema jamaa hajafanya kitu jimboni?! Kama kuna kitu unataka kifanywe, tafadhali wasiliana na mbunge wako. Nijuavyo mambo makubwa kafanya huko...has ile kuondoa unyanyasaji wa watu na serikali. Ni swala la kumpa ushirikiano, na is kukaa kutegemea afanye kila kitu.

Ila ujue Tundu kabla ya kuja kugombea ubunge alikuwa akilitumikia taifa kwa njia ya uanaharakati, akitetea haki za wanyonge kitaifa. Sitegemei unataka aache kazi hiyo ati kwa kuwa amekuwa mbunge... ataendelea kulitetea taifa hili mpaka ukombozi upatikane.
Basi achague 1 kati ya hayo, awe mwanaharakati kama Ananiliea Nkya au mbunge ili ijulikane, jimboni kunahitaji uratibu na uhamasishaji wa rasilimali watu, ardhi n.k ktk kujiletea maendeleo.
 
Kutokana na hali halisi jinsi ilivokuwa ukilinganisha na sasa nafkiri tundu lissu ameplay part yake kama mbunge nikiwa na maana mwakilishi wa wananchi na pia kama msomi ameweza kutumia knowledge yake ya sheria ili kuhakikisha watanzania tunapata kile tunachostahili kupata nikiwa na maana katiba bora siyo mpya japo bado kuna baadhi ya sehemu mambo hayajawa sawa ila kidongo angalau
 
Hahahahah TZ PRIDE sikufichi ulichotaka ni kumshusha lissu ila umeona jamaa ni the best katika bunge ,jaribu mbinu nyingine hii umeshindwa nimepitia michango yoooote inamkubali
 
Hahahahah TZ PRIDE sikufichi ulichotaka ni kumshusha lissu ila umeona jamaa ni the best katika bunge ,jaribu mbinu nyingine hii umeshindwa nimepitia michango yoooote inamkubali

The Only...you got me wrong! Kuna thread nilianzisha Nov 1, 2010 kutoa taarifa za ushindi wa Lissu. Watu walichangia na kushukuru, wakionyesha matarajio makubwa. Sasa jamaa ameshafanya kazi ya ubunge kwa mda, nimerudi nawauliza je amefikiwa matarajio tuliyotegemea?

Hakuna sehemu nilionyesha kumshusha ua namna gani. Kwa taarifa yako mimi ni mmoja wa watu tulimtambulisha Lissu maeneo ya kwetu kwa ajili ya kupigiwa kura. Nilipokuwa metallurgist migodini way back niliwahai kushare some data kwa ajili ya kazi zake za unaharakati wa mazingira. Lissu ni jamaa ninayemheshimu sana...in fact he is brilliant.
Hasa hasa nilitakakuwaonyesha watu matarajio yenu yamefikiwa na ataendelea kufanya makubwa, maana ana uwezo na uzalendo.

***njaghamba iuhoma ilolo isekhuuu***
 
The Only...you got me wrong! Kuna thread nilianzisha Nov 1, 2010 kutoa taarifa za ushindi wa Lissu. Watu walichangia na kushukuru, wakionyesha matarajio makubwa. Sasa jamaa ameshafanya kazi ya ubunge kwa mda, nimerudi nawauliza je amefikiwa matarajio tuliyotegemea?

Hakuna sehemu nilionyesha kumshusha ua namna gani. Kwa taarifa yako mimi ni mmoja wa watu tulimtambulisha Lissu maeneo ya kwetu kwa ajili ya kupigiwa kura. Nilipokuwa metallurgist migodini way back niliwahai kushare some data kwa ajili ya kazi zake za unaharakati wa mazingira. Lissu ni jamaa ninayemheshimu sana...in fact he is brilliant.
Hasa hasa nilitakakuwaonyesha watu matarajio yenu yamefikiwa na ataendelea kufanya makubwa, maana ana uwezo na uzalendo.

***njaghamba iuhoma ilolo isekhuuu***

Wiki iliyopita nilifika SGD baada ya miaka kadhaa. Kwa maoni yangu kazi imefanyika hasa jimboni kwa Lisu, hasa pale Ikungi, makiungu na vijiji vingi tu pamechange sana. Hapo penye red " Iyei Njaghamba haswa tri uhoma ilolo tu, iuhoma kighuu wadii " Tungekuwa nao japo majimbo mawili tu kama TAL nadhani SGD ingeshika kasi zaidi. Bravo Mbunge wangu Lissu. Khua mwimo tratra
 
He has exceeded the expectation.! We expected him to be under the hood, but look at him, he is getting on top of the hood..Bravo T.A.M Lissu.
 
wakati mwingine huwa na washangaa sana wabunge wa CCM wanaposimama na kutumia siku tatu kujadili umahiri wa Lisu katika fani ya sheria.
 
The Only...you got me wrong! Kuna thread nilianzisha Nov 1, 2010 kutoa taarifa za ushindi wa Lissu. Watu walichangia na kushukuru, wakionyesha matarajio makubwa. Sasa jamaa ameshafanya kazi ya ubunge kwa mda, nimerudi nawauliza je amefikiwa matarajio tuliyotegemea?

Hakuna sehemu nilionyesha kumshusha ua namna gani. Kwa taarifa yako mimi ni mmoja wa watu tulimtambulisha Lissu maeneo ya kwetu kwa ajili ya kupigiwa kura. Nilipokuwa metallurgist migodini way back niliwahai kushare some data kwa ajili ya kazi zake za unaharakati wa mazingira. Lissu ni jamaa ninayemheshimu sana...in fact he is brilliant.
Hasa hasa nilitakakuwaonyesha watu matarajio yenu yamefikiwa na ataendelea kufanya makubwa, maana ana uwezo na uzalendo.

***njaghamba iuhoma ilolo isekhuuu***
hapana shida mpiganaji we are then of the same coin side.nilikimiss-interpret kamanda.
 
Haina ubishi jamaa ni jembe la ukweli kuanzia jimboni mpaka ktk level ya kitaifa ukitaka kuamini linganisha jimbo lake na baadhi ya majimbo ya magambaz
 
Back
Top Bottom