TzPride
JF-Expert Member
- Nov 2, 2006
- 2,616
- 1,167
Wana JF nakumbuka November 2010 niliwaletea taarifa za matokeo ya ubunge jimbo la Singida mashariki, ambapo Tundu Lissu alikuwa akiongoza.
Wachangiaji walionyesha matarajio makubwa ya mchango wake bungeni.
Hebu pitia thread ile na uone michango ya watu na linganisha utendaji wa Lissu kwa kipindi hiki kifupi bungeni.
https://www.jamiiforums.com/tanzania-2010-2015/82601-tundu-lissu-naye-mwendo-mdundo.html
Wachangiaji walionyesha matarajio makubwa ya mchango wake bungeni.
Hebu pitia thread ile na uone michango ya watu na linganisha utendaji wa Lissu kwa kipindi hiki kifupi bungeni.
https://www.jamiiforums.com/tanzania-2010-2015/82601-tundu-lissu-naye-mwendo-mdundo.html