abdulrahim
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 408
- 286
Habari wakuu!!
Ninavyofahamu Mimi kwa upeo wangu mdogo pale MTU binafsi unapodhulumiwa haki yako nazani kila mmoja hujisikia vibaya na utapambana kwa hali yeyote uipate haki yako hata kama yule aliyekudhulumu alitumia sheria kukunyang'anya haki yako..
Najua fika kwamba haki inayoliliwa sasa na SJMT kutokana na makosa yaliyofanyika hapo nyuma itatugharimu saana kwani mchukua haki ana Nguvu kubwa mnooo..
Watanzania tufike wakati tuachane na UNAFIKI...hivi unazani wakati wa biashara za utumwa Mkoloni aliwahi waza kwamba anadhulumu? Nina imani kama angewaza hivyo Africa tusingekuwa hapa tulipo.
Hawa jamaa hawana uzuri saana kwetu, Siku zote ni watu wa maslahi yao kwanza..
Ktk hili namuunga mkono CinC wetu 100% hata kama tutarudi nyuma kama wazimbambwe Nina imani sisi wabongo ni wajanja zaidi ya Wazimbabwe..
Mh. Lissu naomba utuache kwanza kama vipi nenda Mjengoni ukampe mkuu mkakati wa kudai haki yetu.
Ninavyofahamu Mimi kwa upeo wangu mdogo pale MTU binafsi unapodhulumiwa haki yako nazani kila mmoja hujisikia vibaya na utapambana kwa hali yeyote uipate haki yako hata kama yule aliyekudhulumu alitumia sheria kukunyang'anya haki yako..
Najua fika kwamba haki inayoliliwa sasa na SJMT kutokana na makosa yaliyofanyika hapo nyuma itatugharimu saana kwani mchukua haki ana Nguvu kubwa mnooo..
Watanzania tufike wakati tuachane na UNAFIKI...hivi unazani wakati wa biashara za utumwa Mkoloni aliwahi waza kwamba anadhulumu? Nina imani kama angewaza hivyo Africa tusingekuwa hapa tulipo.
Hawa jamaa hawana uzuri saana kwetu, Siku zote ni watu wa maslahi yao kwanza..
Ktk hili namuunga mkono CinC wetu 100% hata kama tutarudi nyuma kama wazimbambwe Nina imani sisi wabongo ni wajanja zaidi ya Wazimbabwe..
Mh. Lissu naomba utuache kwanza kama vipi nenda Mjengoni ukampe mkuu mkakati wa kudai haki yetu.