Uchaguzi 2020 Tundu Lissu is Real Man!! Real opposition candidate in Tanzania history

Najua meko atatumia nguvu zake zote na majeshi yake yote na hapo ndio mambo yatamuharibikia zaidi.
Magufuli angeanza kufungasha vilago kuondoka Ikulu mapema hawezi kupambana na Lissu kwenye sanduku la kura atapata aibu kubwa.

Watanzania sio wajinga waliekuwa wakimsubiri kwa muda mrefu ndio kaja sasa miaka mingi tuliitaji mgombea mwenye ushawishi na anayetoka kwenye pure opposition political party na sasa kapatikana.

Njia pekee ya kumzuia Lissu ilikuwa kama alivyofanywa mwaka 2017 ikashindikana sasa hakuna njia nyingine ya kumzuia .


Napokea simu kutoka Kila Kona ya Tanzania pia napata kutembea nchii hii Kila siku Lissu toka amerudi kabadilisha kabisa upepo was siasa za Tanzania.

Hakuna njia ya kumzuia Lissu naapa kuhama Tanzania kama Lissu atashindwa kwa sanduku la kula na Magufuli msione watanzania wamenyamaza Hali ni tete Sana wataishangaza dunia mwaka huu.

Lissu anaenda kuivunja vunja kabisa CCM .

Navishukuru vyombo vya Dolla kwa kuanza kusoma halama za wakati mwende hivyo hivyo mpaka mshindi halali atangazwe.
Amini amini nakwambia ndugu, CCM kinaenda kuwa Chama pinzani baada ya uchaguzi wa October 2020.

Hakuna njia Magufuli atamshinda Lissu mwaka huu. Narudia tena na tena, hakuna namna Magufuli atamshinda Lissu mwaka huu!
TL ndio chaguo letu watanzania
Na hata huo uraisi wa TLS , CCM walimpiga figisu asiwe raisi ila hawakumweza!!!

Achana na mpakwa mafuta wa MUNGU Tundu Antipas Lissu wewe!!!
Nakuhakikishia technically ndani ya C CM kunaenda kufanyika usaliti wa Hali ya juu kwa Karne hii.
CCM watapata aibu ya karne huu utakuwa uchaguzi wa kihistoria. Hata ubunge watapigwa kipigo cha mbwa koko
 
Wshabiki wa chadema ni wapuuzi sana!

Miezi miweili iliyopita kilio kilikuwa tume huru sasa hivi wanajiona washindi kabla hata ya kampeni.
 
Wshabiki wa chadema ni wapuuzi sana!

Miezi miweili iliyopita kilio kilikuwa tume huru sasa hivi wanajiona washindi kabla hata ya kampeni.
Chadema inaogopwa sana, tv na radion zimezimwa ili CDM wasionekane, hata bunge live iliondolewa kwa hofu ya chadema
 
alipokuwa rais wa TLS alifanya nini ili tumuamini kuongoza nchi?

Kabla hata hajawa Rais wa TLS wakati wa serikali ya awamu ya tatu amepambana sana na serikali anatetea wachimbaji wado wakati huo hakuna chombo chochote kinachowajali ikiwa ni pamoja na serikali.
 
Magufuli angeanza kufungasha vilago kuondoka Ikulu mapema hawezi kupambana na Lissu kwenye sanduku la kura atapata aibu kubwa.

Watanzania sio wajinga waliekuwa wakimsubiri kwa muda mrefu ndio kaja sasa miaka mingi tuliitaji mgombea mwenye ushawishi na anayetoka kwenye pure opposition political party na sasa kapatikana.

Njia pekee ya kumzuia Lissu ilikuwa kama alivyofanywa mwaka 2017 ikashindikana sasa hakuna njia nyingine ya kumzuia .


Napokea simu kutoka Kila Kona ya Tanzania pia napata kutembea nchii hii Kila siku Lissu toka amerudi kabadilisha kabisa upepo was siasa za Tanzania.

Hakuna njia ya kumzuia Lissu naapa kuhama Tanzania kama Lissu atashindwa kwa sanduku la kula na Magufuli msione watanzania wamenyamaza Hali ni tete Sana wataishangaza dunia mwaka huu.

Lissu anaenda kuivunja vunja kabisa CCM .

Navishukuru vyombo vya Dolla kwa kuanza kusoma halama za wakati mwende hivyo hivyo mpaka mshindi halali atangazwe.
Mahoka haya, hebu usimfananishe JPm na vitu vya hivyo! Magu 5 tena 28 oct
 
Acha ujinga wewe mtoto. Magufuli hana haja ya kufanya kampeni. Lissu atashinda kwa kura za JF tu. Kuna mgombea alikuwa gari lake linasukumwa km 10 hakushinda, mwinge watu walipiga deki barabara ili apite lakina hakushinda sembuse Lissu ambaye jina lake halifi hata Chalinze. Tujikumbushe
View attachment 1531414

Achana yule alikuwa hawezi hakuongea dk 15 lakini alipata kura zaidi ya milion 6 je angekuwa na uwezo wa kuongea ingekuwaje.
 
Amini amini nakwambia ndugu, CCM kinaenda kuwa Chama pinzani baada ya uchaguzi wa October 2020.

Hakuna njia Magufuli atamshinda Lissu mwaka huu. Narudia tena na tena, hakuna namna Magufuli atamshinda Lissu mwaka huu!
'Lakini tunaambiwa kuwa Magufuli hana historia ya kushinda kihalali katika chaguzi zote alizo wahi kushiriki hapa Nchini, mara nyingi anasaidiwa na goli la mkono, pengine itakuwa shida watalaam wa goli la mkono amewaweka benchi. Pengine hakujua kuwa siasa ni upepo unaweza kubadili uelekeo muda wowote.
 
Ni wapumbavu tu ndo watamuona Tundu Lissu katika muktadha huo ulioueleza!

Tangu nipate akili za kufuatilia siasa za Tanzania sijawahi kuona Mgombea Urais ambaye sera zake ni kufanya personal attack za Rais badala ya kuleta sera .

Acha muendelee kujipa MATUMAINI lakini mark my words, hakuna Mgombea Urais upinzani, Lissu anaamini tukio lake lile litamuongezea kura, but he's sure that nothing he will get .

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Soma comment hapo ndipo utajiona ww mpumbavu.Muda wa kampeni bado utasikia sera zake.Misukule ya CCM jiandae kufungasha vilago mwaka huu.
 
alipokuwa rais wa TLS alifanya nini ili tumuamini kuongoza nchi?
Alifanikiwa kujenga jengo la wakili house
Alifanikiwa kupunguza gharama za ada za uwakili
Alifanikiwa kuifanya TLS iwe huru kukemea uvunjifu wa sheria na haki za binadamu
Alisababisha Kanuniza uchaguzi wa TLS zibadilishwe ili kuzuia Mbunge au kiongozi wa chama cha siasa kugombea uongozi kwenye TLS
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom