technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,842
Magufuli angeanza kufungasha vilago kuondoka Ikulu mapema hawezi kupambana na Lissu kwenye sanduku la kura atapata aibu kubwa.
Watanzania sio wajinga waliekuwa wakimsubiri kwa muda mrefu ndio kaja sasa miaka mingi tuliitaji mgombea mwenye ushawishi na anayetoka kwenye pure opposition political party na sasa kapatikana.
Njia pekee ya kumzuia Lissu ilikuwa kama alivyofanywa mwaka 2017 ikashindikana sasa hakuna njia nyingine ya kumzuia .
Napokea simu kutoka Kila Kona ya Tanzania pia napata kutembea nchii hii Kila siku Lissu toka amerudi kabadilisha kabisa upepo was siasa za Tanzania.
Hakuna njia ya kumzuia Lissu naapa kuhama Tanzania kama Lissu atashindwa kwa sanduku la kula na Magufuli msione watanzania wamenyamaza Hali ni tete Sana wataishangaza dunia mwaka huu.
Lissu anaenda kuivunja vunja kabisa CCM .
Navishukuru vyombo vya Dolla kwa kuanza kusoma halama za wakati mwende hivyo hivyo mpaka mshindi halali atangazwe.
Watanzania sio wajinga waliekuwa wakimsubiri kwa muda mrefu ndio kaja sasa miaka mingi tuliitaji mgombea mwenye ushawishi na anayetoka kwenye pure opposition political party na sasa kapatikana.
Njia pekee ya kumzuia Lissu ilikuwa kama alivyofanywa mwaka 2017 ikashindikana sasa hakuna njia nyingine ya kumzuia .
Napokea simu kutoka Kila Kona ya Tanzania pia napata kutembea nchii hii Kila siku Lissu toka amerudi kabadilisha kabisa upepo was siasa za Tanzania.
Hakuna njia ya kumzuia Lissu naapa kuhama Tanzania kama Lissu atashindwa kwa sanduku la kula na Magufuli msione watanzania wamenyamaza Hali ni tete Sana wataishangaza dunia mwaka huu.
Lissu anaenda kuivunja vunja kabisa CCM .
Navishukuru vyombo vya Dolla kwa kuanza kusoma halama za wakati mwende hivyo hivyo mpaka mshindi halali atangazwe.