Tundu Lissu is just another greedy and unpatriotic Politician to sit on J-Smith lap

mitigator, do not avoid issues- the issue here is that Mh. Lissu is a stooge-
to help you i inter face
Dictionary result for stooge
/stuːdʒ/
noun
plural noun: stooges
  1. 1.
    DEROGATORY
    a subordinate used by another to do unpleasant routine work.


  2. 2.
    a performer whose act involves being the butt of a comedian's jokes.
You mean this man is a puppet like any other?
 
Ndugu Watanzania kumbukeni tarehe 7 September 2017. 7 September 2017 risasi 32 zilirindima Dodoma.Risasi 16 zilizama mwilini wa mkweli. Watanzania kumbukeni 7 September 2017 siku ambayo juhudi ya kusitisha ukweli ilishindikana.
 
Huyo jamaa ni puppet anayetumika kwa maslahi ya propaganda za wazungu, miaka nenda rudi wamewatumia watu wa aina hiyo kueneza fikra zao na hata kuwapandikiza ili waendelee kuchuma rasilimali kwa bei chee
 
mitigator, sina tatizo na mtu wa kawaida kukosa hoja za kushawishi watu, tatitizo langu ni kwa msomi, mwanasheria, mme wa mtu, baba wa watoto, mbunge ya jimbo, kutumika kwa kupewa hoja za kusema; kuelekezwa pa kwenda kusemea; halafu anaungwa mkono na kutetewa na watu kama wewe
Haya ni maoni yako ndugu kijana wa Bashite!!
 
Siko hapa kushawishi watu mkuu nipo hapa kuexpress my thinking.
Now you are coming.......Nilichokua nabishana na wew kulazima mawazo yako binafs kuita facts.Now, i have understood your opinions backed from Lumumba corrido!!!
 
No doubt the author is not Tanzanian,possibly He is from West Africa probably He is Nigerian....

Mkuu andika kiswahili lugha ya Taifa la Tanzania ili watanzania wengi wapate kufahamu ujumbe wako
 
Pumbav,ulitaka wampeleke muhimbili waanze kufuata taratibu?Mtu kalambwa risasi 16 zimeingia mwilini,huo muda wa kufuata taratibu ungetoka wapi?Acheni upumbav,msidhani kila ni mjinga!
Mlitegemea atakufa lakini amepona,na watanzania walionesha umoja kwenye kumchangia!
LIissu ashakubali kuwa serikali ilikataa kumtibu,hategemei huo muujiza!Ndio maana anasema,hata mkiimnyima huo mshahara,hafi njaa!!!!!Shwaini
Ni watu wangapi mahututi wanapitia Muhimbili na kwenda india?Nani aliyekwambia risasi ikakaa mwilini kuna madhara?
 
No doubt the author is not Tanzanian,possibly He is from West Africa probably He is Nigerian....

Mkuu andika kiswahili lugha ya Taifa la Tanzania ili watanzania wengi wapate kufahamu ujumbe wako
Unataka niweke na Swahili version?
 
Now you are coming.......Nilichokua nabishana na wew kulazima mawazo yako binafs kuita facts.Now, i have understood your opinions backed from Lumumba corrido!!!
Mwanzoni mwa thread yangu kuna maelezo yangu na mwishoni pia.Hapo katikati nimekuwekea facts tupu.
Wewe Ufipa wamekulipa sh ngapi?
 
Ni watu wangapi mahututi wanapitia Muhimbili na kwenda india?Nani aliyekwambia risasi ikakaa mwilini kuna madhara?
Acha upumbavu,uzuri mtego huo watu waliushtukia!Mlitaka mmalize kazi akiwa hospitali!
Hamjatoa hela ya matibabu na ametibiwa kwa michango ya watanzania!
Mnyimeni mshahara na tutamchangia!
 
Acha upumbavu,uzuri mtego huo watu waliushtukia!Mlitaka mmalize kazi akiwa hospitali!
Hamjatoa hela ya matibabu na ametibiwa kwa michango ya watanzania!
Mnyimeni mshahara na tutamchangia!
Mbona alitibiwa dodoma Regional hospital na madaktari bingwa wa Serikali ya Magufuli?Anaposema serikali ya Magufuli ni mbaya anawasahau manesi na madaktari wakiomhudumia pake dodoma ni wa Serikali tena ya Magufuli.
 
Many poor Tanzanians who are struggling on daily basis to get a simple daily meal,clean and safe water ,shelter and descent hospital care are disturbed to see how can someone like Tundu lissu who came from similar poor enviroment was able to afford expensive medical care abroad sometimes relaxing with a glass of Chimay on his hospital bed!!
View attachment 1018154

Many Poor Tanzanians are asking themselves why Tundu lissu and his party leaders refused to sort medical care at Super specialiality goverment hospital namely Muhimbili Hospital and insisted to go outside Tanzania while ignoring and preventing Parliamentary ways of handling sick MPs.?

Authorities are asking themselves how come the driver who was with Tundu lissu escaped unhurt from the car which was hit with more than 38 bullets through left front door /side and by miracle hit Tundu lissu on his right side.
Thereafter the driver has been hiding from meeting the Tanzania Police instead he is roaming around the globe and sometimes enjoying media interviews.

Here is the answer.....

Tundu lissu is just another "catch" of an Amercan Agent who gain wealth by destroying Africa and Africanized Good Goverments for benefit and interests of USA.

Jeffrey Smith of an NGO Vanguard Africa is the one who is sponsoring Tundu lissu probably from the days even before Magufuli came into power...Tundu lissu has became another unpatriotic and greedy African puppet person who happen to sit on the lap of a Trophy hunter calling himself Agent of Change.

Who is Jefrey Smith.....follow this truncated piece of an article from our neighbour Malawian..


Jeffrey Smith, masquerades as an American human rights activist, but in all honesty, he is a ‘Regime Change Agent’ in Africa. By his own admission he also provided U.S. Government contacts with regular programming and political updates for the African continent.

This definitely ‘bought’ him a few ‘new friends’… Smith is currently the Executive Director of Vanguard Africa, ‘a nonprofit organization dedicated to supporting free and fair election processes and consolidating pro-democracy forces in Sub Saharan Africa’ and also dedicated to… protecting the interests of the US government in the continent.

Smith extensively uses social media to advance his evil agenda. He engages formidable Public Relations manipulators to achieve his goals. He is a master of the ‘framing effect’.

He was allegedly involved in Gambia’s regime change in 2016; he helped oust the-then President Yayah Jammeh and put in his place a US-friendly figure, Adama Barrow…all for the good of the Gambian people of course…not for the capitalist American pockets.

He also reportedly orchestrated the recent political upheaval in Zimbabwe, as he works for the opposition party ‘Movement for Democratic Change’; yes, American political consultants are willing to go to great lengths to ensure that their candidates win presidential elections or have a favourable public image. Smith’s name was also linked to similar incidents in Gabon and Kenya. He is also currently meddling in Algerian politics as he is very busy working with the opposition to oust sitting President, Abdelaziz Bouteflika.

It now appears that Malawi is next on the list. Chilima recently went on a ‘private trip’ to Washington DC. As you can imagine the trip was not that private, since Twitter was flooded with pictures of a smiling Chilima with Jeffrey Smith at the Voice of America (VOA) international multimedia Agency.

According to sources close to Chilima, the duo had a four-hour meeting planning the details of the upcoming Malawian elections; as in, how to rig them and how Smith and other US coteries will benefit from the deal.

Because it is well-known that foreign interference entities genuinely care about the welfare of the people around the world…and no doubt this is also the case with Malawi.

Dirty Jeffrey Smith has spent years seemingly relentless in his quest to make capital and money from meddling in Africa’s poor countries. He takes advantage of greedy and unpatriotic politicians like Saulos Chilima to make his multi-million dollar election rigging deals at the expense of poor and innocent citizens.

What is more is that where his rigging attempts fails, he resorts to sponsor post elections violence which often times leads to loss of innocent lives and property rendering targeted countries poorer.

Chilima has reportedly promised Smith and his acolytes a myriad of economic deals and benefits, IF they help him win the elections.

Well, worst case scenario, they can always rig them; Smith is a proved subject-matter expert. Funny how Americans hate it when other nations meddle in their internal affairs…or elections, but they, themselves, do it on a regular basis -without the same scruples for that matter- in any country that such schemes are feasible, again ‘on the guise of the good’.

On that note, US ambassador in Malawi Virginia Palmer has been seen -on numerous occasions- attending some UTM events e.g., the UTM convention. It is quite strange that she only chooses to attend UTM’s events and not events of other political parties…She does not even bother to fake it. ‘Ain’t Nobody Got Time for That’…

There is factually little doubt that Malawi’s CSOs, NGOs and even renowned journalists will fall prey to Smith’s systematic form of purposeful persuasion and propaganda techniques, as he is going to tout the ‘vote for change’ and ‘political freedom’ slogans everywhere, but what ‘change’ and what ‘freedom’ -really- are we talking about here?

Chilima does not even realize that he would be totally dependent on these people, IF he ever won the elections.

Does he care? Not really, as long as he wins. Funny how Chilima denounces corruption, nepotism, egoism and abuse of power, when he is the living epitome of all the disgraceful traits he so vehemently despises.

Well, selling out your country to the highest bidder, just to sit in the President’s chair, what does that say for you, Mr. Chilima?

By Falles Kamanga
My Take:
Tundu lissu has no any support From Amercan people or European good people but he is just receiving money to sell our beloved Tanzania.

Jefrey Smith should stop immediately to provoke the AFRICAN BULLDOZER John Pombe Magufuli because nothing can stop the spirit of the Magufulication of Africa.

African union should declare Vanguard Africa as the Agent of Chaos and obstacle to truly African development.

Fellow Tanzanians and patriotic Africans embrace the future of Africa through Magufuli's way of bringing about inclusive economy and the sweet taste of true freedom.

CC:Kamati ya Bunge Ulinzi,Usalama na mambo ya nje.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Ila kwa Tanzania yetu huyo mnafiki hawezi kufanikiwa. Naamini vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vilishamtambua siku kibao na ndiyo maana hizo hela za kuivuruga Tanzania Mh. Lissu anapata mgao, akina Mh. Mbow na wapinzani wengi kama akina Mh. Zito ni wanufaika wa hiyo migao ya kuvuruga amani ili wafaidike wao. Time will tell, Tanzania tuna system inayoenda mpaka kwa balozi wa nyumba 10!
 
Back
Top Bottom