SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,760
Wewe ndiye una stress za kutatuliwa marinda fala weweUsiniletee mimi hizi stress zako za maisha hapa!
Wewe ndiye una stress za kutatuliwa marinda fala weweUsiniletee mimi hizi stress zako za maisha hapa!
Kwani wewe unavyosema Lissu ni shoga siyo kumtusi au unajiona wewe una kinga ya kutukana watu bila kujibiwa sawa sawa na upumbavu wako? Heshima ni kuheshimiana,usipoheshimu wengine nawe huwezi kuheshimiwa. Tatizo lako ni malezi ya kishenzi uliyopata utotoni ndiyo maana huna adabu.Mtu asie na hasira hawezi kujibu majibu ya hovyo namna hiyo!
Namjua huyo jamaa ukimgusa Lisu tu hupanic na kuja na matusi kama hivyo, mods huwa wanamshughulikia sana ilanhakomi.
Na ukiona mtu anapata hasira, kupanic na kutukana hovyo namna hiyo ujue ni stress za maisha, na pengine hapo alipo hajui atakula nini
Ujasiri wetu uleulee wa nyuma ya keyboard ndounaoturudisha nyumaNimeanza kupata mashaka na hii issue ya Tundu Lissu iweje CHADEMA wako kimya juu ya kuishinikiza serikali kuanzisha uchunguzi huru?..iweje wanaharakati wa tweeter hawaweki pressure kwa serikali ili ukweli ueleweke na haki ipatikane?....Au tunaisubiri serikali yenyewe iamue kufanya uchunguzi?
Nilitegemea mambo mazito yalitoikuta CHADEMA kama watu kupotea, kufa na kushambuliwa wanachama na wapenzi wahamasishwe umma ujue ukweli na hatua zichukuliwe kwa wahusika..Sioni harakati zozote zaidi ya mchezo wa paka na Panya CHADEMA na Serikali....kuna vilivyojificha bila shaka..
Baba yako ni director wake.Lisu ni msanii
Tutajie mmoja aliyepitia makubwa kama Lissu.Tundu amekutana na akili kubwa Tanzania
Wale aliodhani ni wajinga na wasiojua kiingereza wamemwambia ulinzi na usalama ni wajibu wa serikali kwa kila raia.
Yeye anataka ulinzi binafsi sasa alishawahi jiuliza wangapi wamepitia magumu kama yeye na wako salama nchini? Je aliambiwa walipewa ulinzi binafsi!?
Kama nani wataje hawo waliohai ambao walipitia kama alivyopitia Lissu?Wapo waliouwawa kwa risasi na wapo walichomwa moto na kuzikwa kabisa
Huwa hupitii habari? Au hao wao sio watanzania?
Pia chadema waliwatuma walizni siku ya tukio waondoke,.walitumiza cctv camera ziondolewe baada ya tukio, walikuwa Wana toa amri kwa wananchi wasimfanyie maombi.Kitendo cha CDM kumficha dereva sina imani na CDM.nahisi ni wenyewe walitumana kufanya la kufanya.
Kwani magufuli anauzalendo aliouonesha?Ndio ujue Tundu Lissu ni mtu mbinafsi mroho wa madaraka na mlaku. Kutokana na sifa hizo ndio unakuta amekua kibaraka amekumbatiwa na mabwana hadi anatetea ushoga.
Wakati magufuli alikua tayari kuyatoa maisha yake akiongoza nchi ili watu wake wapate maendeleo ya kiuchumi bila kuwaogopa maadui wenye nguvu kama makampuni ya nchi za kibeberu Tundu lissu amekua akikimbia nchi eti kuhofia maisha yake huku akionyesha uoga kama ule wa kunguru.
Nikuulize wewe unayemhusudu tundu lissu. Hivi mtu muoga kama tundu lissu anaweza kuongoza mapambano yoyote ya kisiasa na kiuchumi kutetea umma? Tangu akoswekoswe kuuliwa na watu wasiojulikana sera yake imekua kulalamika kuhusu usalama wake binafsi wala sio shida za wananchi.
Tundu lissu is a running dog and puppet of imperialists. He is just a lame duck.
Maisha yako magumu usitake kuja kumalizia hasira kwangu wewe!Kwani wewe unavyosema Lissu ni shoga siyo kumtusi au unajiona wewe una kinga ya kutukana watu bila kujibiwa sawa sawa na upumbavu wako? Heshima ni kuheshimiana,usipoheshimu wengine nawe huwezi kuheshimiwa. Tatizo lako ni malezi ya kishenzi uliyopata utotoni ndiyo maana huna adabu.
Duniani tunatawaliwa na ubinafsi, wanachadema hawako tayari kulipigia suala la Lisu kwa sababu wanajua atapata umaatufu na kuvombea tens uraisi wakati wao wenyewe pia wanautaka uraisi.Nimeanza kupata mashaka na hii issue ya Tundu Lissu iweje CHADEMA wako kimya juu ya kuishinikiza serikali kuanzisha uchunguzi huru?..iweje wanaharakati wa tweeter hawaweki pressure kwa serikali ili ukweli ueleweke na haki ipatikane?....Au tunaisubiri serikali yenyewe iamue kufanya uchunguzi?
Nilitegemea mambo mazito yalitoikuta CHADEMA kama watu kupotea, kufa na kushambuliwa wanachama na wapenzi wahamasishwe umma ujue ukweli na hatua zichukuliwe kwa wahusika..Sioni harakati zozote zaidi ya mchezo wa paka na Panya CHADEMA na Serikali....kuna vilivyojificha bila shaka..
Dogo tafuta hela!Wewe ndiye una stress za kutatuliwa marinda fala wewe
Wewe mwongoJamaa anajua hatuwezi kupata ushahidi kuhusiana na hiyo simu aliyopigiwa hivyo anacheza na akili zetu tu.
Sina maisha magumu ndiyo maana sijipendekezi kwa hilo chama lenu la kigaidi kutegemea kuteuliwa. Nina uwezo wa kukuweka ndani ukala ukashiba na kujirusha utakavyo ilimradi tu unipe huo mdomo wa chupa. Kwa vile unakaa kwa dada yako basi unaona wote maisha yametushinda, shoga mbovu wewe.Maisha yako magumu usitake kuja kumalizia hasira kwangu wewe!
Tafuta hela acha kumtetea Lisu mwenzio anakula raha huko ubelgiji huku wewe unapiga miayo hapa.
Ona sasa ulivyo na stress!
Huyu mzee anatakiwa ashitakiwe kabisa.Siri Katoa kauli mbaya kabisa kwa Mtu ambae alistahiki kumsaidiani hadi dakika ya mwisho kabisa iko spare haki yake. Tundu Lisu.
Kazi ya polisi yoyote Ni kulinda usalama wa raia pamoja na Mali zao.
Leo hii Tundu Lisu amekua mlemavu,kilema sio kwa kuzaliwa,Bali kushambuliwa.
Mtu pekee hapa Tanzania alietakiwa kusaidia Lissu kuwapata mateso wake Ni IGP ambae kwa sasa Ni Siri.
Lakini Siro kageuka na kuwa mdhihaki mkubwa wa Lisu.
Kujiita Lisu kilema anaetegemea msaada kwa wazungu Ni kashfa kubwa Sana kwa IGP.
Ingekua Ni nchi nyingine nchi nyingine Leo hii Siro angekua ameshaondolewa madarakani.
Lakini kwa vile nchi hii ni nchi ya hovyo hakuna hatua zote Za kinudhamu zitakazochukuliwa.
Shida iliyopo hapo alipo Ana kadi ya CCM mfukoni,akistaafu ataenda kugombea Jimbo la ubunge,kama ilivyokua kwa Alfred Tibaigana,ingawa hakufanikiwa.Huyu mzee anatakiwa ashitakiwe kabisa
Stress za maisha zitakuua dogo!Wewe nitakusaka lazima nikuweke kitu kigumu chenye ncha butu ndiyo utaniheshimu choko mbovu wewe
Lissu anaitosha kabisa kuikabili serikali peke yake. Chadema Acha waendelee kudai katiba na kujenga ofisi nchi nzimaNimeanza kupata mashaka na hii issue ya Tundu Lissu iweje CHADEMA wako kimya juu ya kuishinikiza serikali kuanzisha uchunguzi huru?..iweje wanaharakati wa tweeter hawaweki pressure kwa serikali ili ukweli ueleweke na haki ipatikane?....Au tunaisubiri serikali yenyewe iamue kufanya uchunguzi?
Nilitegemea mambo mazito yalitoikuta CHADEMA kama watu kupotea, kufa na kushambuliwa wanachama na wapenzi wahamasishwe umma ujue ukweli na hatua zichukuliwe kwa wahusika..Sioni harakati zozote zaidi ya mchezo wa paka na Panya CHADEMA na Serikali....kuna vilivyojificha bila shaka..