Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,257
- 8,779
Lisu akishinda natoa bure gari yangu ukweli
Ndivyo mnavyodanganywa Lumumba baada kushiba sahani ya pilau na kupewa paketi ya sigara na buku 7 ??
Lisu akishinda natoa bure gari yangu ukweli
achana na hayo mi tz cn makazi Sana ila Lisu akishinda njoo chukua gari yako lumumba cjawahi kufika huko
Endeleeni kujidanganya hadi vijijini lisu kawashika watu nilikuwa kamsamba huko sumbawanga ila vijana wanamkubali balaa hadi nikashangaaSaccos wana ilani kwani?. Ilani yao ni matusi, na kutembeza bakuli kwenye kampeni zao ndicho wajuacho. Taifa hili linahitaji kiongozi shupavu, Mzalendo, mwenye nia ya dhati ya kuwaleta maendeleo kwa watanzania. Bungeni tuliwapa nafasi, badala ya kutuwakilisha vyema nyie ni kupinga kila kitu, kususa,safari hii mtaula wa chuya. U Rais mpaka udiwani ni kijani tupu.
we endelea kuota ukiamka nstue tujadiliW
Wenye akili zetu imara tunamuelewa vizuri sio huyo mzee wa makodi kila kona afu ndo ananunua ndege hizo hela zetu na kulipa wasanii kwenye kampeni bora lisu anaomba sio lazima kuchangia ila huyo jamaa ole usitoe kodi
Amani iwe nanyi.
Tangu kuanza kwa kampeni za uchaguzi mkuu mwaka huu, ukiacha Mgombea Urais wa CCM rais Magufuli anayetetea nafasi yake ananadi vizuri ilani ya chama chake, Wagombea wa vyama vingine hata ilani ya chama hawana!!
Mfano mgombea urais kupitia CHADEMA Tundu Lisu ameonekana mara kadhaa kwenye majukwaa ya kampeni akijaribu kuwafundisha watanzania kuhusu rais Magufuli alivyo! Yani Lisu badala ya kunadi ilani na Sera ya chama chake anatumia muda wote wa kampeni akitaja jina la Magufuli! Hivi Magufuli ndiyo ilani ya chadema?
Nikuambie tu Tundu Lisu, sisi watanzania huna cha kutufundisha kuhusu rais Magufuli.
1. Magufuli ametutumikia akiwa waziri kwa miaka 20 tangu enzi hizo kwenda Mtwara unatumia siku mbili kwenye meli, mpaka enzi hizi ambazo Mtwara unatumia masaa sita tu kufika ukiteleza kwenye lami, mjenzi wa mabarabara yote hayo ni Magufuli ,hivyo tunamjua huna cha kutufundisha.
2. Magufuli tulimchagua sisi wenyewe October 2015 tukiwa tunamjua na tumehangaika kwa miaka 5 akikomesha rushwa ufisadi,elimu bure, flyover na akirejesha nidhamu serikalini. Wewe Lissu ndiyo uje kutufundisha leo kuhusu Magufuli?
3. Tundu Lisu ulituambia tukibadili sheria za madini tutashitakiwa MIGA tukuulize je tumeshitakiwa MIGA?
Umekuwa mbunge kule Singida kwa miaka 10 je una lipi la kukumbukwa na wananchi wa jimbo lako?
Lisu umekuwa rais wa TLS je una lipi la kukumbukwa hapo?
Kwa ufupi sisi wananchi tunatakiwa tufundishwe kuhusu wewe Lisu ni mtu wa namna gani kwa sababu huna kitu cha kuonekana ulichowafanyia wananchi zaidi ya makelele na kutukana serikali.
Tundu Lisu wewe siyo mzalendo wa nchi yetu hivyo hufai kuwa rais na hutakaa uwe rais wa Tanzania na tarehe 28 October tutakupa fundisho kali la kwamba watanzania siyo wajinga wa kuchagua mtu yoyote hata mtetezi wa mabeberu.
watu wameenda kuwatazama akina Ali Kiba kuona show ya bureBinafsi nimehudhuria mkutano wa CCM kuanzia Bukoba Mjini na Biharamulo. Kagera na haswa Biharamulo wamejitokeza kwa wingi kumpokea mgombea wa CCM John Magufuli, yanayosemwa ni uzushi tu..ukweli usemwe, Kama hukua eneo la tukio usipoteze muda kubishana
acha ulimbukeni gari sio ishu siku hizi, toa hicho kizibo watu tukifakamie ndo utapata akiliLisu akishinda natoa bure gari yangu ukweli
Amani iwe nanyi.
Tangu kuanza kwa kampeni za uchaguzi mkuu mwaka huu, ukiacha Mgombea Urais wa CCM rais Magufuli anayetetea nafasi yake ananadi vizuri ilani ya chama chake, Wagombea wa vyama vingine hata ilani ya chama hawana!!
Mfano mgombea urais kupitia CHADEMA Tundu Lisu ameonekana mara kadhaa kwenye majukwaa ya kampeni akijaribu kuwafundisha watanzania kuhusu rais Magufuli alivyo! Yani Lisu badala ya kunadi ilani na Sera ya chama chake anatumia muda wote wa kampeni akitaja jina la Magufuli! Hivi Magufuli ndiyo ilani ya chadema?
Nikuambie tu Tundu Lisu, sisi watanzania huna cha kutufundisha kuhusu rais Magufuli.
1. Magufuli ametutumikia akiwa waziri kwa miaka 20 tangu enzi hizo kwenda Mtwara unatumia siku mbili kwenye meli, mpaka enzi hizi ambazo Mtwara unatumia masaa sita tu kufika ukiteleza kwenye lami, mjenzi wa mabarabara yote hayo ni Magufuli ,hivyo tunamjua huna cha kutufundisha.
2. Magufuli tulimchagua sisi wenyewe October 2015 tukiwa tunamjua na tumehangaika kwa miaka 5 akikomesha rushwa ufisadi,elimu bure, flyover na akirejesha nidhamu serikalini. Wewe Lissu ndiyo uje kutufundisha leo kuhusu Magufuli?
3. Tundu Lisu ulituambia tukibadili sheria za madini tutashitakiwa MIGA tukuulize je tumeshitakiwa MIGA?
Umekuwa mbunge kule Singida kwa miaka 10 je una lipi la kukumbukwa na wananchi wa jimbo lako?
Lisu umekuwa rais wa TLS je una lipi la kukumbukwa hapo?
Kwa ufupi sisi wananchi tunatakiwa tufundishwe kuhusu wewe Lisu ni mtu wa namna gani kwa sababu huna kitu cha kuonekana ulichowafanyia wananchi zaidi ya makelele na kutukana serikali.
Tundu Lisu wewe siyo mzalendo wa nchi yetu hivyo hufai kuwa rais na hutakaa uwe rais wa Tanzania na tarehe 28 October tutakupa fundisho kali la kwamba watanzania siyo wajinga wa kuchagua mtu yoyote hata mtetezi wa mabeberu.