Tundu Lissu hukumtendea haki Pinda kumtaka ajiuzulu

Pamoja na ukweli huo wa kumtaka Pinda ajiuzuru kwa kushindwa kutatua tatizo la madaktari lakini ukweli utabaki kuwa Lisu aliuliza swali la nyongeza kwa sauti (Tone) ya kejeli na hivyo kumfanya Pinda kukasirika!

Ni maoni yangu kuwaasa wabunge na hasa wa upinzani watumie lugha ya heshima na laini wanapouliza maswali magumu au kutoa hoja ngumu kwa serikali!


Ndugu, liserikali lenyewe lisivyo sikivu nalilivyo dhaifu na legelege ukilisema kwa lugha laini litakuelewa? Waache wapinzani walifokee bwana tushalichoka.
 
Kitendo cha kumtaka Waziri Mkuu Pinda ajiuzulu, Mhe.Lisu hakutenda haki.Pinda mara alipoteuliwa tu kuwa waziri Mkuu alijitambulisha kuwa ni mtoto wa mkulima.Kusema hivyo haimaanishi kuwa yeye ni mkulima.Na wote tunajua jinsi watoto wa wakulima wasivyopenda kilimo.Kwa hiyo kumtaka mtoto wa mkulima arudi kulima,aache ulaji alionao sasa,ni sawa na kumwambia ajiue.
Lisu alimtaka PM ajiuzulu wadhifa huo kwa kushindwa kutatua suala la mgomo wa madaktari wakati wa maswali ya moja kwa moja kwa Waziri Mkuu,leo asubuhi.Katika hatua ya kustaabisha,Pinda amekiri kuwa amefanya kila awezalo na ameshindwa.Ndipo katika swali la pili la nyongeza,Lisu akirudia wito wake ule ule alioutoa katika swali la msingi,kwa kiingilishi alisema : 'If you have done everything in your power and failed why dont you resign?'.Spika akasema swali hilo lisijibiwe kwani limerudiwa.Lakini Pinda alisema '...Mhe.Lisu lugha hiyo si nzuri sana.....mimi nakuheshimu sana....'

....Liwalo na liwe...
 
If you have done everything in your power and failed why don't you resign?

This is one of the best questions ever! Umefanya kila lililo ndani ya mamlaka/uwezo wako lakini umeshindwa kupata solution then what next? Hapa ndipo inapokuja ile dhana ya uwajibikaji ambayo inaonekana kuwa ngumu sana kwa watawala wetu. Uzuri hata PM mwenyewe awali alishakubali kushindwa kwenye hiyo issue.

Hili suali la Lissu likipata waandishi wazuri wakaliandikia paper ya uhakika ni milestone muhimu sana kwenye kuelekea ukombozi wa kweli wa taifa letu. Ni swali fupi lakini lenye mantiki na maana kubwa kuliko kawaida.
 
Alilosema Pianda jana 'liwalo na liwe' ilikuwa siyo kejeli.? Au mnaona vya wengine tu..na bado hadi 2015 yatafanyika mengi. Jasho la mlpa kodi hilo mtalioga mwaka huu..
 
Pinda ana takiwa akubari ukweli kuwa kama mwenyewe ame kili kujaribu na ameshindwa ana subiri nini kuachia ngazi.
 
Pinda amepagawa Leo bungeni pale alipoanza na ..Mhe.waziri mkuu, badala ya kusema Mhe.spika. Hata angekuwa kikwete angepagawa. Lissu anacheza Kama Xavi wa Spain!
 
Pinda ana takiwa akubari ukweli kuwa kama mwenyewe ame kili kujaribu na ameshindwa ana subiri nini kuachia ngazi?
 
Maelezo mengi lakini utumbo mtupu!
Kaka hiyo point lakini tusiache na kuangalia upande wa pili point yako kuu kuhusu suala la utawala wa demokrasia na siasa za vyama. Ambapo utawala uliopo unaposhindwa kutatua matatizo ya jamii inaweza ondolewa vilevile kwa namna hilehile iliyo ifikisha hapo.

Kwa maana hiyo madaktari pia walikuwa na option ya kusema uchaguzi ujao CCM isipojirekebisha watachagua chama mbadala kitakachojali maslahi yao, lakini suala la kusema adui ni Pinda pekee ni la kipuuzi. Yeye ni mtekelezaji lakini si mpanga bajeti za serikali, akisema kajitahidi kashindwa ni kwamba hana tena huwezo wa kuwashawishi wanao toa hizo hela hili hayo mahitaji yakamilishwe sasa why him always?

Serikali ndio inayopanga priorities za matumizi ikiongozwa na sera za chama tawala, kama CCM ni wezi na hawajali makazi na mazingira ya kazi ya madaktari si kosa la mgonjwa kupewa adhabu. Ni madktari kutafuta mbinu zao especially pressuring hili kuijuza jamii ubovu wa makazi na matibabu unatokana na vyanzo vipi hili watu wajue wanapoichagua CCM wajue kabisa kulala chini ni mtindo mmoja na kutopata huduma sahihi is a norm.

Serikali inamajukumu mengi na mahitaji mengi na makundi mengi ya kuyaridhisha katika bajeti hiyo hiyo uchwara ni vigumu kuliridhisha kila kundi katika jamii hila so far serikali yetu imejikita katika kujiridhia wao tu. lakini si kosa la mgonjwa kwenye jamii yeye si mpangaji kabisa wa matumizi na pengine hata hajui haki zake nchini.

Madkatari kama wasomi wana jukumu la kutoa pressure zao kupitia maandishi magazetini au audio media's kuujulisha umma katika harakati za kuitoa serikali mbovu kama wanaiona hivyo. Lakini kwa kuwa adhibu wagonjwa au kumtaja Pinda kila saa ni weak arguments na kutuachia maswali mengi sana kuhusu uwezo wao wa kufikiri madkatari wetu; au labda hawa amini kama CCM inaweza tolewa madarakani ndio maana inawaadhibu wasio stahili kupitia adhabu kwa wasio husika, now that is not thinking outside the democracy of multi parties.
 
Hivi Pinda anafikiri bunge ni kama vikao ya ukoo ama??? Kama anakubali hadharani kuwa ameshindwa halafu Lisu anamuomba ajiuzuru kuna tatizo gani?? Watu wako serious na maswala ya nchi yeye anasema eti nakuheshimu..... hayo maneno ni ya kusema nje ya bunge siyo wakati wa maswali na majibu. Kama hataki maswali awaombe magamba wenzake wabadilishe huo utaratibu badala ya kupotezea wananchi muda.
 
Pamoja na ukweli huo wa kumtaka Pinda ajiuzuru kwa kushindwa kutatua tatizo la madaktari lakini ukweli utabaki kuwa Lisu aliuliza swali la nyongeza kwa sauti (Tone) ya kejeli na hivyo kumfanya Pinda kukasirika!

Ni maoni yangu kuwaasa wabunge na hasa wa upinzani watumie lugha ya heshima na laini wanapouliza maswali magumu au kutoa hoja ngumu kwa serikali!

Utawezaje kulia huku ukiwa unacheka? Hakuna binadamu wa hivyo, lazima umaanishe unachokiongea otherwise hauko sawa mentally.
 
Ntakutukana, u sound Homosexual.... Lugha laini unaijua ww....!!!?? People are dying wakikosa huduma, PM confirmed he failed.... So akae pembeni even by force of people if possible.... Ww unaongelea "lugha laini ya vitandani au" Dead man is walking....

Pamoja na ukweli huo wa kumtaka Pinda ajiuzuru kwa kushindwa kutatua tatizo la madaktari lakini ukweli utabaki kuwa Lisu aliuliza swali la nyongeza kwa sauti (Tone) ya kejeli na hivyo kumfanya Pinda kukasirika!

Ni maoni yangu kuwaasa wabunge na hasa wa upinzani watumie lugha ya heshima na laini wanapouliza maswali magumu au kutoa hoja ngumu kwa serikali!
 
mbona ilishamshinda siku nyingi jk nae akaingilia kata imekuwaje tena swala limerudi kwa pinda?
 
Kitendo cha kumtaka Waziri Mkuu Pinda ajiuzulu, Mhe.Lisu hakutenda haki.Pinda mara alipoteuliwa tu kuwa waziri Mkuu alijitambulisha kuwa ni mtoto wa mkulima.Kusema hivyo haimaanishi kuwa yeye ni mkulima.Na wote tunajua jinsi watoto wa wakulima wasivyopenda kilimo.Kwa hiyo kumtaka mtoto wa mkulima arudi kulima,aache ulaji alionao sasa,ni sawa na kumwambia ajiue.
Lisu alimtaka PM ajiuzulu wadhifa huo kwa kushindwa kutatua suala la mgomo wa madaktari wakati wa maswali ya moja kwa moja kwa Waziri Mkuu,leo asubuhi.Katika hatua ya kustaabisha,Pinda amekiri kuwa amefanya kila awezalo na ameshindwa.Ndipo katika swali la pili la nyongeza,Lisu akirudia wito wake ule ule alioutoa katika swali la msingi,kwa kiingilishi alisema : 'If you have done everything in your power and failed why dont you resign?'.Spika akasema swali hilo lisijibiwe kwani limerudiwa.Lakini Pinda alisema '...Mhe.Lisu lugha hiyo si nzuri sana.....mimi nakuheshimu sana....'

Kauli ya Pinda imenitia moyo maana akisema 'na liwe liwalo' ujue mtu angeokotwa kwenye msitu wa Mabwepande. Kwanza mie nauza kile kiwanja nilichonunua juzi kwani kama mambo yenyewe ndi hivi!
 
...kumtaka mtoto wa mkulima arudi kulima,aache ulaji alionao sasa,ni sawa na kumwambia ajiue...

Ulichoandika hapa si sawa kwani umeshindwa kujenga hoja. Suala la uwajibikaji wa kimadaraka matokeo yake sio kifo. Hivyo hakuna ulinganifu mkuu.

Lisu alimtaka PM ajiuzulu wadhifa huo kwa kushindwa kutatua suala la mgomo wa madaktari...

Sidhani kama hicho ndicho Tundu Lissu alichomaanisha, ila majibu ya mheshimiwa Waziri Mkuu ndio hasa yaliyopelekea ndugu Lissu amshinikize Waziri Mkuu ajiuzulu. Kitendo cha Waziri Mkuu kukiri kuwa, " nimefanya kila niwezalo na nimeshindwa", huu ni udhaifu kimadaraka. Maana ya kauli hii ni marudio ya ile kauli yake tata ya "liwalo na liwe", ila tu wakati huu imetolewa kwa lugha laini.

Katika hatua ya kustaabisha...

Mwisho, sasa ndugu mleta mada hii kama umestaajabishwa na kauli ya Pinda, mbona kichwa cha habari hakioneshi hivyo?
jamani mwacheni pinda asije akalia tena bure
 
Kaka hiyo point lakini tusiache na kuangalia upande wa pili point yako kuu kuhusu suala la utawala wa demokrasia na siasa za vyama. Ambapo utawala uliopo unaposhindwa kutatua matatizo ya jamii inaweza ondolewa vilevile kwa namna hilehile iliyo ifikisha hapo.

Kwa maana hiyo madaktari pia walikuwa na option ya kusema uchaguzi ujao CCM isipojirekebisha watachagua chama mbadala kitakachojali maslahi yao, lakini suala la kusema adui ni Pinda pekee ni la kipuuzi. Yeye ni mtekelezaji lakini si mpanga bajeti za serikali, akisema kajitahidi kashindwa ni kwamba hana tena huwezo wa kuwashawishi wanao toa hizo hela hili hayo mahitaji yakamilishwe sasa why him always?

Serikali ndio inayopanga priorities za matumizi ikiongozwa na sera za chama tawala, kama CCM ni wezi na hawajali makazi na mazingira ya kazi ya madaktari si kosa la mgonjwa kupewa adhabu. Ni madktari kutafuta mbinu zao especially pressuring hili kuijuza jamii ubovu wa makazi na matibabu unatokana na vyanzo vipi hili watu wajue wanapoichagua CCM wajue kabisa kulala chini ni mtindo mmoja na kutopata huduma sahihi is a norm.

Serikali inamajukumu mengi na mahitaji mengi na makundi mengi ya kuyaridhisha katika bajeti hiyo hiyo uchwara ni vigumu kuliridhisha kila kundi katika jamii hila so far serikali yetu imejikita katika kujiridhia wao tu. lakini si kosa la mgonjwa kwenye jamii yeye si mpangaji kabisa wa matumizi na pengine hata hajui haki zake nchini.

Madkatari kama wasomi wana jukumu la kutoa pressure zao kupitia maandishi magazetini au audio media's kuujulisha umma katika harakati za kuitoa serikali mbovu kama wanaiona hivyo. Lakini kwa kuwa adhibu wagonjwa au kumtaja Pinda kila saa ni weak arguments na kutuachia maswali mengi sana kuhusu uwezo wao wa kufikiri madkatari wetu; au labda hawa amini kama CCM inaweza tolewa madarakani ndio maana inawaadhibu wasio stahili kupitia adhabu kwa wasio husika, now that is not thinking outside the democracy of multi parties.

Wazo lako la kusubiri hadi baada ya miaka mitano ndo usuluhishe kwa kuchagua chama kingine si wazo la kidemokrasia. Demokrasia ni pamoja na kukosoana au kukubaliana kutofautiana lakini bila kugombana. Kwa hali ilivyo unataka tuamini kuwa matatizo ni kuyasubirisha 2015 ili tuje tuchague chama kingine badala ya CCM. Wazo hili upungufu wake ni kuwa tayari baada ya miaka mitano tutakuwa hatuna hata pa kusemea na uchaguzi unaweza usiitishwe tukiendelea na ubabe walionao jamaa hawa kwa sasa. Kwa hiyo lazima waelezwe mapema isijefika 2015 wakasema hatutoki ng'o
 
For how long we should remain without solution for doctors' strikes? Nina ndugu yangu yuko serious kapelekwa hospitali jana (Kibosho hospital) hakuhudumia kuwa zima kwa kuwa madaktari wako kwenye vikao visivyoisha.
Problems are everywhere even in the elite countries, and the solutions are sought systematically ...a step to another. But the problems with our over-ambitious interns is that they want to became millionaires overnight thru our noses...yes thru our nosed because the salary package they are dying for (irrespective of the resultant of human death and suffering) comes from one busket: Our tax money, which ofcourse must necessarirly be shared equitably ..and not greedly as they expect. Education sector, agricultural sector, infrastrucure sector just to mention a few are also as important as medical sector. Having said that does not mean that I wholly stand by the government on episode...And infact the government is reaping from the error it commited during Mkapa reign when they decided to review upward salary perks of TRA worker, wrongly thinking that they will eventually boost tax collections. Government erred also by succumbing to MPs Demands to raise astronomically their salaries and other benefits without considering the fate of other government workers. It was a grave mistake and infact it has let loose the pandora box resulting to the Hell and confusion we are witnessing....GREEDY!
 
Pamoja na ukweli huo wa kumtaka Pinda ajiuzuru kwa kushindwa kutatua tatizo la madaktari lakini ukweli utabaki kuwa Lisu aliuliza swali la nyongeza kwa sauti (Tone) ya kejeli na hivyo kumfanya Pinda kukasirika!

Ni maoni yangu kuwaasa wabunge na hasa wa upinzani watumie lugha ya heshima na laini wanapouliza maswali magumu au kutoa hoja ngumu kwa serikali!

Ulitaka amuambieje! Kuwa PM sio uungu mtu kuwa huwezi kudharauliwa. Pinda kajidharau yeye mwenyewe kwa kukiri kushindwa. That was a stupid thing for him to say in the first place!
 
Back
Top Bottom