tramadol
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 5,383
- 4,317
Nimefuatilia kampeni za uchaguzi kwa wagombea wa nafasi ya uraisi 15 huku wengine wakishindwa kufanya kampeni na wengine kujitoa na huyu Tundu Lissu kupata wafuasi wengi lakini wanaokwenda kumshangaa kupona kufa baada ya risasi 38 na 16 kumpata mwilini.
Majority ya Watanzania wana imani kubwa sana na Serikali ya awamu ya 5 kutokana na yale yaliyofanyika hivyo sio rahisi kwa Tundu Lissu kushinda uchaguzi
Mh. Magufuli atashinda uchaguzi huu kwa asilimia kubwa kutokana na Watanzania kujenga imani naye.
Matamshi ya Tundu Lissu na Maalim Seif kwenye uchaguzi huu ni matamshi ya shari na sio ya amani na Watanzania hawapendi machafuko hivyo sio rahisi kabisa kushinda.
Majority ya Watanzania wana imani kubwa sana na Serikali ya awamu ya 5 kutokana na yale yaliyofanyika hivyo sio rahisi kwa Tundu Lissu kushinda uchaguzi
Mh. Magufuli atashinda uchaguzi huu kwa asilimia kubwa kutokana na Watanzania kujenga imani naye.
Matamshi ya Tundu Lissu na Maalim Seif kwenye uchaguzi huu ni matamshi ya shari na sio ya amani na Watanzania hawapendi machafuko hivyo sio rahisi kabisa kushinda.