johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,878
- 141,811
Makamu mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu amesema hawatamwekea dhamana mwenyekiti wao iwe polisi au mahakamani waliomkamata wakitaka ama wamuachie au wamfunge tu.
Kama chama tulishakubaliana Kiongozi yoyote akikamatwa kiutata tusimuwekee dhamana, amesema Tundu Lissu.
Kama chama tulishakubaliana Kiongozi yoyote akikamatwa kiutata tusimuwekee dhamana, amesema Tundu Lissu.