Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,356
- 21,390
Hana cha ujanja wowote, si kakataa ku cooperate (kupimwa mkojo) basi ataendelea kukaa mahabusi mpaka Polisi watakapo kamilisha upelelezi kwa kutumia vyanzo vingine
Kama angekubali kupimwa mkojo nadhani mda huu angekuwa mtaani
Unajua sheria zinazotaka kumpima mtu mkojo na damu??Ni mahakama peke yake na inamfumo wake,hayo mengine mje mumsingizie anatumia Sembe la CCM.