Tundu Lissu hapa umechemka

Then badilisha huo mtazamo wako (kama ulivyosema you stand to be corrected), kwa sababu si mtazamo sahihi.....Mzee Kitundu amefanya personal attacks. Ni haki ya mtu aliyekuwa attacked ku-respond, akipenda kufanya hivyo !

I stand to be corrected, Nilidhani issue yoyote yenye uhusiano na kuvuliwa madaka kwa Zito imefungwa. Kujiuzuru kwa Mzee Kitundu ni continuation ya Zito saga hivyo sikutegemea mwana Chadema tena Kiongozi kuizungumzia jukwaani . Nilidhani kama kiongozi, TL angekuwa kimya kama ilivyokuwa kimya kwa baadhi ya hoja. Kinachoonekana sasa ni ngonjera tu. Huku Lisu, huku Mrema, huku Afande Sele, nadhani nidhamu ya usemaji haijakaa sawa.
 
Huyu jamaa hamna kitu kabisa ofisi miaka 20 ipo sebuleni kwa kitundu leo unakuja kuleta ngonjera humu bila aibu hamna haya nyie chadema hata kidogo.
Hayo ndo tunayokataa... sasa ikiwa sebuleni ndo uunge mkono wasaliti na uende kinyume na maamuzi ya Kamati Kuu kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA? Huo ni wehu!
 
waliopata vilema na wengine kupoteza ndugu zao wao waseme nini??
Kumbe yeye hakuwa mwanamageuzi basi alikuwa anaganga njaa tu. Kakutana na tapeli nchemba, si ajabu hata hio sebule amejengewa na ccm ndio maana kaamua sasa kuonyesha uhalisia wake.
kuna siku mtakuja kumsema slaa kama mnavyo wasema wengine.
 
Nadhani kwa busara hata kwa personal attacks asingetakiwa kujibu kwani alivyo TL kwa sasa anaonekana zaidi kama kiongozi wa Chadema kuliko ubinafsi wake. Pili mjadala si ulifungwa?

Then badilisha huo mtazamo wako (kama ulivyosema you stand to be corrected), kwa sababu si mtazamo sahihi.....Mzee Kitundu amefanya personal attacks. Ni haki ya mtu aliyekuwa attacked ku-respond, akipenda kufanya hivyo !
 
Wewe ni kilaza. Kwani Zitto ni mpenda maendeleo? Zitto ni mvurugaji, mtu ambaye hajasoma management na uongozi. Hata sisi wananchi wa kawaida kabisa tulikuwa tunaona hafuati protocol na taratibu za chama. Hata ccm ambao hawafai kuendelea kuongoza nchi hii zaidi, viongozi wao wana maadili na kufuata taratibu za chama chao. Any way, Zitto alikuwa akifanya kazi aliyotumwa na ccm ya kuivuruga CDM. Ila CDM walimshtukia mapema na kumshughulikia
 
Hivi ndugu zangu wakeleketwa wenzangu wa vyama vya siasa.....!!!! Hatuna majibu kwa Saizi Yangu zaidi ya matusi? Lini mtajifunza kujibu hoja....? huu ni upuuzi, ndo maana inafika mahali tunashindwa kujibu hoja na kuzitolea majibu fasaha na baadala yake tunatoa majibu ya kihuni na kusapoti maamuzi ya kipumbavu na ujinga wa Viongozi wetu hata kama wameteleza, huu ni upumbavu uliokisiri..... Nafurashwa sana na Viongozi wa vyama vyetu...!!! Baadhi ni wakomavu wanajibu hoja ila cha ajabu Wanachama mmekuwa kama Punda ambaye bila kupigwa hafikishi mzigo... hii siyo stile ya uumini wa vyama jibu hoja kwa hoja... kwa mantiki hii tutawajengea heshima hata wanaotuongoza....
 
Nimesikitishwa na kitendo cha Tundu Lisu kumjibu Mzee Kitundu, aliyekuwa mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Singida.

Kumjibu mzee huyu aliyejiuzuru uenyekiti ni kuendeleza "ngonjera" au "taarabu" ambazo zimekuwa zikiendelea kila uchao.

Mlishatueleza kuwa mjadala kuhusu Zitto umefungwa, sasa kuliuwa na haja gani ya kumjibu mzee Kitundu?

Discipline ya kuongea ndani ya CHADEMA nadhani haipo kabisa, kila anayejisikia anasema.

Taasisi haiendeshwi hivyo.

Wengine tumefurahi sana alivyojibu make maCCM yalikuwa bado yanapiga kelele na tamko la kipuuzi la Kitundu. SI umeona makelele yamepungua?
 
Tangu akiwa shule Tunduewy Lissuew alikuwa hivyo hivyo, yaani hovyo hovyo. Ana hulka ya ubishi. Hata akiwa shule walimu walimchukia sana. Alikuwa anafukuzwa shule kila mara. Na alikuwa anahamahama shule kutokana na utukutu na ukorofi wake. Mara nyingi walimu walimpeleka hospitali kupimwa kwa sababu walidhani ana celebral malaria. Chadema walighafilika kumuweka katika madaraka ya juu huyu bwana. Kikichemka watalia. Nendeni shule zake zote alosoma mtaona records zake zilivyo. Au uliza walosoma naye. Mie nilisoma naye. Pia mulizeni nd. Mwita Marwa Nyansogone yupo Halmashauri (M) DSM. Alikuwa rafiki yake sana na sasa bado ni rafiki yake ingawa yeye yuko NCCR Mageuzi alikohamia baada ya kukosana nao hasa alipouwawa ajalini Mh. Chacha Wangwe.
 
Wewe ni kilaza. Kwani Zitto ni mpenda maendeleo? Zitto ni mvurugaji, mtu ambaye hajasoma management na uongozi. Hata sisi wananchi wa kawaida kabisa tulikuwa tunaona hafuati protocol na taratibu za chama. Hata ccm ambao hawafai kuendelea kuongoza nchi hii zaidi, viongozi wao wana maadili na kufuata taratibu za chama chao. Any way, Zitto alikuwa akifanya kazi aliyotumwa na ccm ya kuivuruga CDM. Ila CDM walimshtukia mapema na kumshughulikia

Akili yako finyu sana. Wachagga ndo wavurugaji. Mtei na wenzake ndo chimbuko ya migogoro ndani ya CDM. Chunga sana huyu kizee. Alimkorofisha sana hata Mwalim Nyerere akamtimua. Chunga ni hatari mno huyu kizee.
 
Tatizo tunawajadili sana watu badala ya masuala......hapa issue ilikuwa ni kujenga hoja kwamba either TL yuko sahihi au si sahihi....
 
Wewe ni kilaza. Kwani Zitto ni mpenda maendeleo? Zitto ni mvurugaji, mtu ambaye hajasoma management na uongozi. Hata sisi wananchi wa kawaida kabisa tulikuwa tunaona hafuati protocol na taratibu za chama. Hata ccm ambao hawafai kuendelea kuongoza nchi hii zaidi, viongozi wao wana maadili na kufuata taratibu za chama chao. Any way, Zitto alikuwa akifanya kazi aliyotumwa na ccm ya kuivuruga CDM. Ila CDM walimshtukia mapema na kumshughulikia
Nahisi kama umekuwa subjective sana....labda ungefanya ulinganifu na utofauti kuipa hoja mashiko, alafu sijaiona link ya kusoma uongozi na kuwa kiongozi mzuri...sijui wewe unaonaje?ni vizuri kama una mifano..tushee
 
Nimesikitishwa na kitendo cha Tundu Lisu kumjibu Mzee Kitundu, aliyekuwa mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Singida.

Kumjibu mzee huyu aliyejiuzuru uenyekiti ni kuendeleza "ngonjera" au "taarabu" ambazo zimekuwa zikiendelea kila uchao.

Mlishatueleza kuwa mjadala kuhusu Zitto umefungwa, sasa kuliuwa na haja gani ya kumjibu mzee Kitundu?

Discipline ya kuongea ndani ya CHADEMA nadhani haipo kabisa, kila anayejisikia anasema.

Taasisi haiendeshwi hivyo.
Ulitaka amhurumie kwa ajili ya UMRI!??? eti ehh!! pole we live by standards and no more!! no less!! TL go I say gooo let them cry!!
 
Nimesikitishwa na kitendo cha Tundu Lisu kumjibu Mzee Kitundu, aliyekuwa mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Singida.

Kumjibu mzee huyu aliyejiuzuru uenyekiti ni kuendeleza "ngonjera" au "taarabu" ambazo zimekuwa zikiendelea kila uchao.

Mlishatueleza kuwa mjadala kuhusu Zitto umefungwa, sasa kuliuwa na haja gani ya kumjibu mzee Kitundu?

Discipline ya kuongea ndani ya CHADEMA nadhani haipo kabisa, kila anayejisikia anasema.

Taasisi haiendeshwi hivyo.

Unafikiri kusoma ndio kuwa na akili? Tundu shule alienda kufuta ujinga tu siyo kujiongezea akili. Akili huwa ni za kuzaliwa kila mtu ana zake, kwa sakata hilo, Tundu kadhihirisha usemi wa Akili Kubwa na Akili Ndogo.
 
Nimesikitishwa na kitendo cha Tundu Lisu kumjibu Mzee Kitundu, aliyekuwa mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Singida.

Kumjibu mzee huyu aliyejiuzuru uenyekiti ni kuendeleza "ngonjera" au "taarabu" ambazo zimekuwa zikiendelea kila uchao.

Mlishatueleza kuwa mjadala kuhusu Zitto umefungwa, sasa kuliuwa na haja gani ya kumjibu mzee Kitundu?

Discipline ya kuongea ndani ya CHADEMA nadhani haipo kabisa, kila anayejisikia anasema.

Taasisi haiendeshwi hivyo.
Mjadala umefungwa Kigoma leo Dr.Slaa anajuta kumjua Zitto.
 
Back
Top Bottom