SAIZI YANGU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2013
- 381
- 83
- Thread starter
- #21
Kama unaamini Lissu yupo sawa basi nimeanza kuamini kuwa CHADEMA haina miiko ya uongozi. Kila mmoaja anaamua lake na kusema. Ukitaka kuthubitisha hili ona matamko yalivyo mengi. Kwa mtindo huu hatuwapi nchi mkaangoza maana kila mtu anasema tu.
Msaliti huyo hakuna haja ya kumjadili.LISSU YUPO SAWA