kama kiongozi mtendaji anafaa sana, that is WAZIRI MKUU ila tukiwa practical, SLAA na PINDA wanafaa kuwa marais
kama kiongozi mtendaji anafaa sana, that is WAZIRI MKUU ila tukiwa practical, SLAA na PINDA wanafaa kuwa marais
Huyu Lissu si ndiye baadhi ya wabunge wa CCM walisema hana akili akapimwe na wanashangaa alisoma shule gani ya sheria? Kaaaaaaaazi kweli kumbe mwehu anaweza akamuona mtu mzima kuwa ndiyo mwehu, hapa inabidi kumbe wale wabunge wa CCM wakaangaliwe vizuri akili zao
Unaonaje Kikwete akiongezewa awamu ya tatu.Hafai kuwa Rais, labda PM
Unaonaje Kikwete akiongezewa awamu ya tatu.