gspain
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,892
- 5,946
Mkuu kwa vifungu ulivyo nukuu mwenyewe huko juu, kampeni huanza baada ya nomination ya tume. Kwa tafsiri hiyo hakuna kitu kinaweza kuitwa kampeni so far sababu tume bado haijafanya nomination.
Ukiachana na tafsiri za kisheria, kwa maana tu ya kawaida unawezaje kusema mtu anafanya kampeni kabla ya uteuzi wa tume, je asipopitishwa na tume kugombea?
Unasema Magu alikuwa akitafuta wadhamini bali Lissu anafanya kampeni, unawezaje kutofautisha kutafuta udhamini na kufanya kampeni?
Je tume imeweka utaratibu wowote wa ni namna gani mtu akutane na wadhamini wake hadi useme anavyofanya Magu ni sawa na Lissu anakosea?
Ukiachana na tafsiri za kisheria, kwa maana tu ya kawaida unawezaje kusema mtu anafanya kampeni kabla ya uteuzi wa tume, je asipopitishwa na tume kugombea?
Unasema Magu alikuwa akitafuta wadhamini bali Lissu anafanya kampeni, unawezaje kutofautisha kutafuta udhamini na kufanya kampeni?
Je tume imeweka utaratibu wowote wa ni namna gani mtu akutane na wadhamini wake hadi useme anavyofanya Magu ni sawa na Lissu anakosea?
Unajadili kwa hasira sana ila ii kuwa wakati Magufuli anaongea na wana CCM ndipo alikuwa anatafuta wadhamini kama mgombea ndani ya chama chake, hakukusanya mkutano wa hadhara kutafuta wadhamini. Kosa hili limeshafanyika sana Tanzania lakini ni kinyume cha sheria,
Alipokuwa anaongea na wanachi njiani kutoka Lupaso, alikuwa anaongea nao kama rais wa Tanzania, na ni sehemu ya amjukumu yake katika position hiyo. Hapo ndipo power of incumbency inambeba, na huwezi kuitengua kwa sababu yeye ni Magufuli jiwe. bali ataendeleakuwa Rais hadi October 30.