Karibuni masijala
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 409
- 135
Wanabodi,
Ametoa kauli hiyo alipoulizwa na Mtangazaji wa ETV Kuhusu usaliti unaofanywa na Wanaoumbuliwa na Kamanda BEN Saanane. Amedai wanafanya hayo wamkimlenga Dr kwa Mapendo watanzania waliyo nayo anzia akiwa Mbunge wa Karatu na URAIS.
Hivyo kuna kundi linawatumia kwani linamwona Dr Slaa ni tishio linatumia fedha nyingi kuwapa wamwangamize. Akashukuru USALITI wao umebainika na chama kitawashulikia kwa mujibu wa taratibu bila kujali wao ni wakina nani.
Wazee wa PM7 Mmeshanipata?
Wana JF Habari ndiyo hiyo toka kwa Mnadhimu wa Kambi RASMI.
Changia maoni juu ya mtazamo wa kamanda Lissu dhidi ya wakina masalia or PM7, Hatua watakazochukuliwa.
Ametoa kauli hiyo alipoulizwa na Mtangazaji wa ETV Kuhusu usaliti unaofanywa na Wanaoumbuliwa na Kamanda BEN Saanane. Amedai wanafanya hayo wamkimlenga Dr kwa Mapendo watanzania waliyo nayo anzia akiwa Mbunge wa Karatu na URAIS.
Hivyo kuna kundi linawatumia kwani linamwona Dr Slaa ni tishio linatumia fedha nyingi kuwapa wamwangamize. Akashukuru USALITI wao umebainika na chama kitawashulikia kwa mujibu wa taratibu bila kujali wao ni wakina nani.
Wazee wa PM7 Mmeshanipata?
Wana JF Habari ndiyo hiyo toka kwa Mnadhimu wa Kambi RASMI.
Changia maoni juu ya mtazamo wa kamanda Lissu dhidi ya wakina masalia or PM7, Hatua watakazochukuliwa.